SNAP J
JF-Expert Member
- Dec 26, 2013
- 7,106
- 8,043
Karibu Nchi zote za Africa, kasoro zile zinazopatikana kaskazini mwa Africa (Northern African countries) zimepigwa ban na taifa la Israel ijumaa ya tarehe 26 Novemba 2021 kutokana na hatari ya kirusi kipya cha korona kilichopewa jina na la "Omicron" na shirika la afya duniani WHO ambacho kiligunduliwa Africa ya kusini wiki moja iliyopita.
Watu kutoka mataifa hayo ya Africa hawataruhusiwa kuingia Israeli.
Mpaka sasa mataifa mbali mbali duniani yameshaweka zuio la kusafiri katika nchi ya South Africa pamoja na nchi zinazopatikana kusini mwa bara la Africa kutokana na hofu ya kirusi hicho cha"Omicron".
Watu kutoka mataifa hayo ya Africa hawataruhusiwa kuingia Israeli.
Mpaka sasa mataifa mbali mbali duniani yameshaweka zuio la kusafiri katika nchi ya South Africa pamoja na nchi zinazopatikana kusini mwa bara la Africa kutokana na hofu ya kirusi hicho cha"Omicron".