Tetesi: Israel

xuxu meyu

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2014
Posts
426
Reaction score
369
Hivi nikweli ndio kinacho endelea israel tangu usiku wa leo.........?
 
Kweli mwenye taarifa kamili atujulishe
 
Hamas wamerusha rockets 400 zilizodakwa na Izrail 83, hizo nyengine zimepenya , sasaivi waizrail wamejificha kwenye mahandaki, shule na maofisi zimefungwa
 
Hamas wamerusha rockets 400 zilizodakwa na Izrail 83, hizo nyengine zimepenya , sasaivi waizrail wamejificha kwenye mahandaki, shule na maofisi zimefungwa
Haaa haaa haaa tupe chanzo cha habari yako mkuu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…