Israeli inasema malengo yao Gaza kaskazini yamefikiwa huku utawala wa Hamas ukisambaratishiwa mbali,yaainisha malengo matano ambayo yalikusudiwa.

Waongo hawa jamaa.
Tarehe 12 na 13 hamas walirusha rockets sderot na zilifanya uharibifu.
Ngoja ntafute ile habari niilete hapa.
Hamas hawajadhibitiwa.
 
Hamas siyo jeshi kama anavyitakabyeye, kila mmmoja hap I ni kamanda.

Unewamalizq Hamas na sasa wanakupiga mpaka ndani ya Tel Aviv?
Anatafuta njia za kuondoka tu h8yo huku aonekane kaiwezq kazi.

Alichiweza huyu ni kibomowa majengo kuuwa watoto na wanawake tu.

Hamas ndiyo kwanza wanekuja na ilaha mpya. Zinawadunguwa mazayuni vibaya sana.

Hatudanganyiki.
 
Hamas wanatembeza kichapo balaa
 
  • Targeting commanders
  • Purge the area of terrorists
  • Gather intelligence
  • Locate and destroy rockets
  • Eliminate the subterranean capability (tunnels)
1. Failure
2. failure
3. fairule
4. fairule
5. failure
jifurahishe tu watu wapo Gaza na nasikia washatia miguu huko Lebanon

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
vipi kukomboa mateka siyo malengo vipi tapata tenda ya vyama chakavu huko Gaza vile vifaru na magari ya vita yaliharibiwa na Hamas.

Vipi malengo ya vifo vya wanajeshi vingapi?

Malengo ya wanajeshi vilema wangapi?
mkuu wai hospital una ugonjwa wa akili , wenzio wanaenda ICJ kulia lia wewe upo busy kujifurahisha huku

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
vipi kukomboa mateka siyo malengo vipi tapata tenda ya vyama chakavu huko Gaza vile vifaru na magari ya vita yaliharibiwa na Hamas.

Vipi malengo ya vifo vya wanajeshi vingapi?

Malengo ya wanajeshi vilema wangapi?
mkuu wai hospital una ugonjwa wa akili , wenzio wanaenda ICJ kulia lia wewe upo busy kujifurahisha huku

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
 
lin walisema lin wanaenda kuokoa mateka

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
We jamaa ficha ujinga wako hata kidogo.
Netanyahu alisema vita haitaisha mpaka mateka waokolewe na hamas wafutwe.
Ila mateka hajaokoa na hamas bado wanadunda.
Tarehe 12 na 13 Sderot imepigwa na hamas rockets mmedhibiti wapi sasa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…