Israeli waanza kuizingira Gaza huku wakipenya ndani ndani

Wafilisti wengi walimalizwa baada ya jeshi la ufalme wa Israel kutawala eneo Hilo Miaka 1000 kabla ya kristo .
Wachache waliobaki walisambaa Cyprus , Italia, ugiriki , Malta , Lebanon .
Hawa wa sasahivi ni jamii nyingine sio wafilisti .
Na wafilisti eneo Lao la asili ni Gaza na sio maeneo mengine wanayopigania Kama watataka kujiita wafilisti .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…