Israeli wanakufa njaa karibuni

Israeli wanakufa njaa karibuni

Wanao Lima ni watu gani 😂 wafanyakazi wote wako hao ni wa Palestin sa nani atafanya kazi hio 😂

Afu Israel hajitegemei kila kitu kuna vyakula vinatoka nje we tulizana na bado watajuta mchezo ndio umeanza 😂
Robots zinalima kwa artificial intelligence (akili bandia).

Jamaa wanaumiza vichwa aisee, pia kumbuka wapo jangwani ila ndio nchi inayoongozea kwa kuwa na wingi wa maji ya kutumia mara tatu kuliko matumizi yao.

vitu vingine wakihitaji vinaletwa na ndege
 
Robots zinalima kwa artificial intelligence (akili bandia).

Jamaa wanaumiza vichwa aisee, pia kumbuka wapo jangwani ila ndio nchi inayoongozea kwa kuwa na wingi wa maji ya kutumia mara tatu kuliko matumizi yao.

vitu vingine wakihitaji vinaletwa na ndege
Aisay sa hapa nani anaongea ukweli hawa au wewe

Israel: Israeli Food Supply Chain​

March 22, 2022 | Attaché Report (GAIN) | IS2022-0004

Link to report:​


Israel: Israeli Food Supply Chain

Israel is highly dependent on agricultural and food imports. Due to its limited arable land and water resources, the country’s dependence will only increase. Israel’s food supply chain is crucial for the stable availability of food, but various domestic and international events have had a substantial impact on it. Due to its unique geopolitical situation, Israel relies mainly on sea shipments.


View: https://youtu.be/iNWhKSx9DEg?si=Wq1h5fHTd8cnnxlq
 
Back
Top Bottom