Mbona mleta mada alivyokuja hajahusisha dini na hajataja dini yake husika??Eti wapiganaji wa Hamas kujitangazia ushindi!! Wakiwa wapi? Humo kwenye mahandaki?
Hivi nyie ndugu zetu katika Imani mna matatizo Gani? Ndo maana Kuna Mtume mwingine wa Hezbollah anasema eti vita ya Gaza iliyoteketeza watu zaidi ya 25,000 lengo lilikuwa ni kupima uwezo wa Israel. Pathetic
Imani zingine ni majanga duniani
Mie naona watu mnaogeuza mijadala ya kidiplomasia kuwa ya kidini ni wajinga msiojielewa.
Jielewe kijana acha udini.
Hapo imezungumziwa vita sio dini.
Na ni kweli IDF anahelemewa tena sana tu.
Nitajie vita IDF aliopata wanajeshi wengi walemavu kupita hii??
Mpaka sasa kuna walemavu wakudumu 8000 ambao ni askari wa IDF..