Watu Wema HawafiiRip kweli nimeamini watu hufa
I reserve my comment, maana hii comment yako ni exactly kile nilichotaka ku commentKuna muda alikuwa kama nembo ya shirikisho la soka Africa
RIP
Watu hufa mkuu.Rip kweli nimeamini watu hufa
Cameroon haoafai. Hata rais wao wa nchi anaishi hotelini SwitzerlandAlijichotea Mabilioni CAF ananunua majumba Paris ndo kafia huko?
Pole sanaWatu hufa mkuu.
Siku nimefiwa na mama ndio nilijua watu hufa