Swali jee amefanya kazi iliyompeleka au hakufanya?ilitakiwa umtathimini kwa vitendo vyake sio kauli yake,michuzi hutumia neno MY WIFE WAKE jee nini tafsiri yake? VAKESHENI imekuuma Mushi?tutajidili ya muhimu hapa michuzi anaonewa.
Kanda2 tusitoke nje ya mjadala,vekesheni imeniuma? Are you sure mkuu? Mbona hiyo anayoita vekesheni yeye ni maisha ya kawaida tu ya kila siku sometimes?
Kinachozungumziwa hapa ni kuhusu matumizi ya pesa za walipa kodi,Kwamba ametumia neno "Vekesheni" Mbona si dili? Hata hivyo habari ni kwamba uko vacation. So ni yeye mwenyewe mwenye majukumu ya kutueleza kuwa ya kazi ni kazi na kwa pembeni kuna vacation.
Na pia jamii ya aina gani tunajenga?Ok maybe kwasababu ni blogu ya Michuzi so tumezoea lugha hizo za kina maiwaifu wangu,Lakini yeye kama mtumishi wa serikali ni halali kusema unakwenda mapumziko badala ya kazini? Tena kwa kutumia pesa za umma?
Mimi nachofahamu ni kuwa kulikuwa na ziara ya Rais USA,na michuzi na yeye alikuwemo,wakati ziara ya Rais ilikuwa ya kikazi,Michuzi alikuwa vacation,sasa kama ni neno tu,yeye ndo aseme na si wewe umsemee.
Ndio maana nikasema toka mwanzo inawezekana ni hilo neno,lakini FMES akaja hapa akasema ni kweli yuko likizo kwani hata Mh Rais keshaondoka,na Michuzi pia na yeye si amesema bado anaedelea na likizo hadi sijui Japan? Nani angemuuliza kuhusu hilo kama hakuanzia na safari ya Mh Rais? Kwani ni mara ngapi Michuzi kasafiri sehemu mbali mbali na hakuna anyeuliza maswali hayo?
Ndio maana nikasema wenye insight zaidi ndo waseme maana ramifications ni nyingi,kuanzia kama hiyo globu yake ni personal ama ina mikataba,kazi zake alizoajiriwa na serikali nk. Hakuna mtu mwenye haja ya kuchimba zaidi ila cha muhimu ni kuhakikisha kodi za wananchi hazifujwi kwani tunataka kuendeleza kizazi cha mizaha inayotu cost kwa kutokuwa serious in almost everything?
Kusema uko vacation wakati uko kazini na halafu ukawa unapost picha zinazoonyesha kuwa uko vacation bila ya kutaja kazi,then watu watajiuliza,labda sasa tutajua kuwa Globu ni globu na Daily News ni Daily News,lets wait n c.