anawafisadi kivipi?The speacility ni kwamba,Michuzi anatufisadi na watu bado wanacheka na kufurahi eti ni....mwenzetu!WHY!HOW!safari hii kumkoma nyani thats it..no more no less.
kibaya zaidi kaenda kutundika huko kwake etii oooh anaonewa na kwa jeuri anadai ataenda sijui Australia/japan etc.
Hio haitusumbui hata ungeenda ahera ...but uende kivyako as a blogger not kwa kivuli cha Daily News na kula pesa yetu ya kodi kihivyo....nna hasira miye wee acha tu.
mkuu nikuulize swali...Michuzi ameenda mapumzikoni wakati wa ziara ya kikazi ya Mh Rais? Mkuu nadhani Bro Mithupu atatujulisha kama akiona umuhimu huo,lakini ziara za Rais ni pesa za walipa kodi,unless alitumia pesa yake mwenyewe kwenye ziara hiyo ya kikazi ya mkuu wa nchi....Wenye kuelewe zaidi hii issue watupe habari.
anawafisadi kivipi?
anafisadi kivipi? fafanuakama walipa kodi.....what else.
Mmmh, ndugu!!! Umejiunga ili kuishambulia JF?... blog yake yenye wafadhali wenye pesa kama VODACOM, je wewe unayehoji unajua vodacom wanamlipa shilingi ngapi kuwatangaza kwa wadau millioni sita dunia nzima walipo wabongo,je jamii forum mnao wafadhili
mkuu nikuulize swali...
....ulifehemu ratiba ya Mr michuzi akiwa majuu?
jamani michuzi kutumia neno vekesheni wewe limekuuma nini? hata kama hayuko vacation au yuko vacation si hoja ya kutuletea hapa nadhani kuna hoja za msingi zaidi kujadiliwa...................
Kama kweli anatumia kifaa cha kazi cha mwajiri (camera) kwa manufaa ya blog yake/kwa kupiga picha na kuweka kwenye blog yake basi litakuwa ni kosa, unless alikubaliana hilo na mwajiri wake.
Na pia kama anatoa same photos and video clips kwenye blog yake na kwa mwajiri wake pia ni kosa unless kuna makubaliano maalum na mwajiri wake.
Kama anatoa breaking news kwenye blog yake, kabla hizo news hazijatolewa na gazeti au website ya gazeti aliloajiriwa, basi ni kosa pia unless kuna makubaliano maalum na mwajiri wake au yeye ndio anampa favour mwajiri kwa kumpa habari ambazo tayari zipo Michuzi blog.
Kwa Michuzi kuzichukulia safari za kikazi kama vaccation ni kosa, anatakiwa ajue kwamba everyword counts. Kama analipiwa safari na Daily news, basi anatakiwa ajue kuwa ni pesa za walipa kodi, na anatakiwa awape heshima hao walipa kodi kwa kuonyesha kwamba hachukulii kazi yake kimzahamzaha. Vinginevyo, alivyosema mchangiaji mmoja hapa kwamba alichofanya Michuzi ni freudian slip, basi Michuzi inaelekea huwa hafanyi kazi zake ipasavyo.
Hata hivyo Michuzi kafanya bonge la courtesy call kwa JF kwa kuhamishia umma humu JF. As known, once you step in JF, it is hard to step out.
Kama haya yote sio kweli, ingekuwa vizuri kwa bwana Michuzi, ajitokeze na kuelezea huu utata.
Wengine tulidhani tatizo ni hilo neno "Vekesheni" Lakini inasemekana kuwa ni kweli yuko vacation.
Hakuna mtu mwenye chuki na michuzi,michuzi ni mtu wetu,ila kwenye issue za wananchi especially kodi zao tuwe makini,nidhamu ni muhimu kwenye issue flani zinazogusa maslahi ya wananchi,huwezi kuwa kwenye ziara ya kikazki inayotumia kodi ya wananchi halafu useme uko vekesheni,yeye ndo ana kazi ya kutujulisha kuwa ni neno tu na wala si ufujaji wa pesa za walalahoi kwa vacation badala ya kazi....Fuatilia mjadala na haswa bandiko la Mama.
Kwa kuwa kule nako kuna mashtaka ya kuwepo kwa thread hii huku JF, so nadhani member wa kule wengi wao wamefungua JF. You may read from 1st post, but hakuna umuhimu sana Mkuu.Kwani hii topic ina nini mpaka inaangaliwa hivi? What's so special?
I have to read from the 1st post?
Duuuu kumbe ndio maana huwa ana penda mambo mambo ya ki hanky panky, hanky panky, duuu, sishangai. Basi angeyafanya katika muda wake ati. Sio wakati wa ziara zake za serikali
Kama hapa alikuwa ng'ambo kalipiwa nauli kwenda kupiga picha za serikali, yeye akaenda kujipiga picha kwenye duka la DVD za porno akinunua dildo na user manual yake. Mtu asiyejiheshimu kama huyu hatakiwi kuwa editor gazeti la serikali. Wazazi wanaojaribu ku stear watoto wao waende kwenye magazeti ya maana ka DAILY NEWS hawatakiwi kukutana na mtu ambae yuko linked na ma blogu ya mapicha ya porno. Aaaaah, jamani!
kwanini huamini? wewe hii picha unaitafsiri vipi?Siamini kwamba huyu ni Michuzi, mpiga picha wa gazeti la serikali.
Mama kitu gani kinakufanya usiamini? Au jinsi alivyopozi kipicha picha huku mwenye duka akishangaa? Si yupo kazini na vekesheni?Siamini kwamba huyu ni Michuzi, mpiga picha wa gazeti la serikali.
Mama,Jmushi na mauza uza.
Michuzi kaanza kusafiri toka akiwa shirika la Reli,maswali mnayouliza kama kumdhalilisha muajiri wa Michuzi kuwa hajui taratibu za kazi.
Michuzi anatusadia sana waTanzania kwa kutumia muda wake kutuhabarisha hata kabla VODACOM hawaingia nae mkataba.tunapata taarifa za misiba nk vitu vingi muhimu,nadhani tumuunge mkono kwani mwajiri wake hajalalamika kuwa hafanyi kazi.
YO YO ,kwanini huamini? wewe hii picha unaitafsiri vipi?
Mama kitu gani kinakufanya usiamini? Au jinsi alivyopozi kipicha picha huku mwenye duka akishangaa?
Issa Michuzi kaandika kwenye blog yake kuwa yuko vekesheni, na kweli anatundika picha mbalimbali akiwa anajivinjari sehemu mbalimbali nchini Marekani.
View attachment 4638
Ninachojiuliza, je ni kweli amejilipia vekesheni hiyo yeye mwenyewe au yuko kwenye msafara wa Rais Kikwete nchini Marekani?
View attachment 4639
Kama yuko kwenye msafara wa rais, ina maana analipiwa gharama zote na pesa ya walipa kodi. Je ni halali kufanya ziara ya kikazi kuwa vekesheni yake na kufanya shughuli binafsi kama alivyoonyesha kwenye picha mbalimbali kwenye blog yake?
View attachment 4640
Kwa mshahara wa mfanyakazi wa serikali kama Issa, sio rahisi kufanya vekesheni sehemu mbalimbali za dunia, na kujigharimia mwenyewe. Je Issa Michuzi anapata wapi pesa hizi?
Je, Issa Michuzi ni fisadi au anafadhiliwa na mafisadi kwenye safari zake? Kama mfanyakazi wa serikali, Issa Michuzi anatumia muda kiasi gani ofisini, akilitumikia Taifa kama muda mwingi anakuwa safarini, na kwa nini anatumia muda wake mwingi kwenye shughuli zake binafsi kama safari zake zinalipiwa na walipa kodi?
Naomba kueleweshwa na yeyote mwenye kujua zaidi.
Picha zote zimetoka Michuzi blog.
Swali jee amefanya kazi iliyompeleka au hakufanya?ilitakiwa umtathimini kwa vitendo vyake sio kauli yake,michuzi hutumia neno MY WIFE WAKE jee nini tafsiri yake? VAKESHENI imekuuma Mushi?tutajidili ya muhimu hapa michuzi anaonewa.