Issa Michuzi na vekesheni

Issa Michuzi na vekesheni

Status
Not open for further replies.
Naamini katika motto ya JF, where we dare to talk openly, hivyo naheshimu mawazo ya wote, wanaokubaliana na wasiokubaliana na mada. Ila nalaumu wanaotumia matusi.

Baada ya kusoma michango mbalimbali, nimegundua kuwa watanzania bado tuna safari ndefu sana kuelekea maendeleo na chachu ya kupata uongozi bora.


Nimekuja kuhitimisha kuwa, kukosa elimu ya uraia na kutokujua maadili ya uongozi na pia wajibu na maadili ya mtumishi wa umma, ndiko kunakopelekea hata CCM kuendelea kuchukua ushindi masiku nenda masiku rudi. Kama hapa JF kisiwe kisima cha kukutanisha great thinkers tu, bali kiwe kisima cha kuzalisha hao magreat thinkers. Together WE CAN
help to change Tanzania to become a better place.

Nashauri kama kuna member/s w/anaweza kuweka elimu ya uraia na maadli ya uongozi hapa jamvini, kwa kiasi kidogo tu, na tukawa tunaiupdate hiyo thread appropriately, basi nadhani tutafanikiwa kuwaelimisha na kuwafumbua macho Watanzania walio wengi. Elimu hii iwekwe kwenye jukwaa maalum ambalo members wengi wanaojiunga na ambao hawajui what JF is here for walifunze.

JF haiko kwa ajili ya kutukana, iko kwa ajili ya kuelimisha, kukosoa, kujenga etc.. Hivyo basi hapa Michuzi hatukanwi, haonewi wivu, bali ni scrunity ya kawaida kwa vile yeye ni mfanyakazi wa serikali (analipwa kwa kutumia pesa za wavuja jasho).

Over.

 
Last edited by a moderator:

Ila ujue humu hoja hujobiwa kwa hoja na si matusi mkuu. Michuzi ni rafiki yangu sana ila siwezi kumchekea endapo atafanya ukiukaji wowote kwani najua hakuna kitu kinachoitwa bahati mbaya. Kila jambo limekusudiwa na limepagwa.



Michuzi kahamasisha wadau waje kuchangia hoja hii. Nilidhani angetumia blog yake kuelezea vekesheni zake analipiwa na nani ili 'asishambuliwe'. Kwa nini Michuzi anajihami? Mbona haijawahi kutokea akiwahamasisha wananchi waje kuchangia mashambulizi ya L Masha, Rostam Aziz, Mbowe au Kikwete?

Hii ni dharau kwa wananchi na walipa kodi kwa ujumla kama anawanyali hivi, ilihali analipwa na fedha za wavuja jasho.


Hivyo huyo Tarishi, ni tarishi wa bwana Michuzi, nategemea wanatkuja wengi wa aina yake, Michuzi kawahamasisha kwenye blog yake kama ninavyoiweka hapo chini.
=======================================================================
Kutoka michuzi blog.
WADAU KUNRADHI,
KULE MTAA WA PILI (JAMII FORUM) KUNA MADA AMBAYO IMERUSHWA KWA MDAU ANAYEDAI KUUMIZWA SANA NA VEKESHENI ZA NANIHII, NA KUMSHAMBULIA SANA SANA. WADAU NAOMBA MCHANGIE HOJA HIYO BAADA YA KUISOMA KWENYE LINKI HIYO HAPO CHINI.

KWA UPANDE WANGU MSIKONDE WALA NINI. LIBENEKE LA VEKESHENI LITAENDELEA KAMA KAWA. MIE NARUDI MWEZI UJAO. HIVI SASA NAELEKEA UJERUMANI KISHA NTAENDA AUSTRALIA NA KUMALIZIA JAPAN.
-MICHUZI


https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum
/29662-issa-michuzi-na-vekesheni.html



 
Naamini katika motto ya JF, where we dare to talk openly, hivyo naheshimu mawazo ya wote, wanaokubaliana na wasiokubaliana na mada. Ila nalaumu wanautumia matusi.

Baada ya kusoma michango mbalimbali, nimegundua kuwa watanzania bado tuna safari ndefu sana kuelekea maendeleo na chachu ya kupata uongozi bora.


Nimekuja kuhitimisha kuwa, kukosa elimu ya uraia na kutokujua maadili ya uongozi, ndiko kunakopelekea hata CCM kuendelea kuchukua ushindi masiku nenda masiku rudi. Kama hapa JF kisiwe kisima cha kukutanisha great thinkers tu, bali kiwe kisima cha kuzalisha hao magreat thinkers. Together WE help CAN to change Tanzania to become a better place.

Nashauri kama kuna member/s w/anaweza kuweka elimu ya uraia na maadli ya uongozi hapa jamvini, kwa kiasi kidogo tu, na tukawa tunaiupdate hiyo thread appropriately, basi nadhani tutafanikiwa kuwaelimisha na kuwafumbua macho Watanzania walio wengi. Elimu hii iwekwe kwenye jukwaa maalum ambalo members wengi wanaojiunga na ambao hawajui what JF is here for walifunze.

JF haiko kwa ajili ya kutukana, iko kwa ajili ya kuelimisha, kukosoa, kujenga etc.. Hivyo basi hapa Michuzi hatukanwi, haonewi wivu, bali ni scrunity ya kawaida kwa vile yeye ni mfanyakazi wa serikali (analipwa kwa kutumia pesa za wavuja jasho).

Over.


WELL SAID TUKO PAMOJA,NIDHAMU YA WOGA NDO INATUKWAMISHA KILA SIKU.....Kwani Michuzi ni nani asikosolewe kama anafanya makosa?????NI KWELI KABISA ANAKULA PESA YA WAVUJA JASHO kiubwete....NA YEYE NI FISADI TU KAMA WENGINE.UBAYA UBAYA TUU......MPAKA KIELEWEKE.😕
 
Watu bana mbona mnapotosha mjadala wengine wanatumia lugha ambazo hazisistahili tutawareport kwa wahusika oooh!
 
Hivi huyu issa michuzi anafanya kazi ofisi gani ya serikali?
 



Michuzi kahamasisha wadau waje kuchangia hoja hii. Nilidhani angetumia blog yake kuelezea vekesheni zake analipiwa na nani ili 'asishambuliwe'. Kwa nini Michuzi anajihami? Mbona haijawahi kutokea akiwahamasisha wananchi waje kuchangia mashambulizi ya L Masha, Rostam Aziz, Mbowe au Kikwete?

Hii ni dharau kwa wananchi na walipa kodi kwa ujumla kama anawanyali hivi, ilihali analipwa na fedha za wavuja jasho.


Hivyo huyo Tarishi, ni tarishi wa bwana Michuzi, nategemea wanatkuja wengi wa aina yake, Michuzi kawahamasisha kwenye blog yake kama ninavyoiweka hapo chini.
=======================================================================
Kutoka michuzi blog.
WADAU KUNRADHI,
KULE MTAA WA PILI (JAMII FORUM) KUNA MADA AMBAYO IMERUSHWA KWA MDAU ANAYEDAI KUUMIZWA SANA NA VEKESHENI ZA NANIHII, NA KUMSHAMBULIA SANA SANA. WADAU NAOMBA MCHANGIE HOJA HIYO BAADA YA KUISOMA KWENYE LINKI HIYO HAPO CHINI.

KWA UPANDE WANGU MSIKONDE WALA NINI. LIBENEKE LA VEKESHENI LITAENDELEA KAMA KAWA. MIE NARUDI MWEZI UJAO. HIVI SASA NAELEKEA UJERUMANI KISHA NTAENDA AUSTRALIA NA KUMALIZIA JAPAN.
-MICHUZI


https://www.jamiiforums.com/celebrities-forum
/29662-issa-michuzi-na-vekesheni.html



ahaaa
kumbe ndo maana nilikuwa nashangaa watu walivyokuja kichwa kichwa kwa kutoa shutuma kwa mtoa hoja badala ya kuijadili hoja yenwewe.

Basi narudia kusema kwamba hata shetani ana watetezi wake. (msiniquote vibaya sijamuita michuzi shetani ebo!)
 



Michuzi kahamasisha wadau waje kuchangia hoja hii. Nilidhani angetumia blog yake kuelezea vekesheni zake analipiwa na nani ili 'asishambuliwe'.


Analipiwa na muajiri wake Daily News, ni sawa na mtumishi mwengine yoyote anayetumwa kikazi na mwajiri wake na ukisoma Daily news utakuta habari za hio ziara ya Rais US na picha ambazo zimeletwa na Michuzi, kwa hio kazi yake anaifanya kama alivyotumwa na muajiri wake na anatumia muda wake wa ziada ku-blog. As long as kazi aliyotumwa ameifanya, what he's doing on his spare time is none of our business!! Whether He's blogging or swim with Sharks that is his business.
Kwa wadau wengi tulioko nje tunaitegemea zaidi blog ya Michuzi kwa kupata habari na picha ya yale yaliojiri nyumbani na Michuzi ni hodari kwa hilo.
Watu wengi wanajaribu ku-blog lakini wengi wanashindwa kupata traffic kubwa kama Michuzi sababu hawako creative na wako slow ku-update blogs zao.
Let's give credit where credit's due.
 
Watu bana mbona mnapotosha mjadala wengine wanatumia lugha ambazo hazisistahili tutawareport kwa wahusika oooh!

kuna lugha gani chafu hapo juu????zaidi ya ukweli tuu...Hii nchi haitaendelea kama tutaendelea kuchekeana kihivyo,watu wanatumia vibaya nyadhifa zao ...watu mnasema wivu.HOW????😕
 
Hivi huyu issa michuzi anafanya kazi ofisi gani ya serikali?

Jamaa is supposed to be mwandishi na photo editor wa DAILY NEWS. Lakini cheki hiki kitu alichowahi kutamka Radio Butiama, Ohio. Niliposikia sikuamini masikio yangu:

"...hii blogu ni kama mdudu, akishakuingia hakutoki, na kweli, mimi sasa nimeprove kwamba ni kweli, kwa kweli, yani najikuta kwamba sasa hivi nakuwa dedicated zaidi huko kuliko hata huko Daily News. Saa zote naangalia vitu vya kuwapa wasomaji wangu..." (Hapa)
 
Jamaa is supposed to be photo editor wa gazeti la DAILY NEWS. Lakini cheki hiki kitu alichowahi kutamka kwa mtangazaji wa radio moja ya Kiswahili, Ohio. Niloposikia sikuamini masikio yangu:

"...hii blogu ni kama mdudu, akishakuingia hakutoki, na kweli, mimi sasa nimeprove kwamba ni kweli, kwa kweli, yani najikuta kwamba sasa hivi nakuwa dedicated zaidi huko kuliko hata huko Daily News. Saa zote naangalia vitu vya kuwapa wasomaji wangu..."
hehehehe
anatumia ofisi ya serikali kufanikisha kazi zake binafsi.... (hivi yale matangazo ktk blog yake analipia pasenti kwa bosi wake zaidi ya kodi)
And huyo ndiye mtanzania wa kupigiwa mfano teh teh wizi mtupu.

Kwa nini asije mtaani tujumuike ktk sekta binafsi kujiingizia faida??? Na kwa nini asiige mfano bora wa akina Invisible wa kuwa wajasiriamali wasioiegemea serikali ktk kuendesha forum???? wizi mtupu na ufinyu wa upeo kwa sana tu (na hasa wale wanaomtetea maana jamaa anajua afanyalo ila wao...).
 
hao ndio wanakula nchi na kumdanganya mkulu kuwa bado unakubalika.....wanatumbua tu maisha....siku zao zinahesabika...
 
Analipiwa na muajiri wake Daily News, ni sawa na mtumishi mwengine yoyote anayetumwa kikazi na mwajiri wake na ukisoma Daily news .....
Kwa wadau wengi tulioko nje tunaitegemea zaidi blog ya Michuzi ....
Kumbe unajua kama ni mtumishi wa Daily News, asante kwa hilo. Je fedha zinazotumika Daily News, kuanzia kulipa mishahara na marupurupu ya safari zinatoka wapi? Daily News wana kisima au msitu wa pesa au ni pesa za walipa kodi?

Kwa vile wewe uko ughaibuni, unafurahia picha na updates huna cha kupoteza, lazima umpe credit Michuzi. Kwa wengine ambao katika mishahara yetu tunakatwa PAYE (pay as you earn) kutoka kwenye mishahara yetu, tunapata uchungu kuona pesa zinazotokana na jasho letu zinatumika ndivyo sivyo.
 
hehehehe
anatumia ofisi ya serikali kufanikisha kazi zake binafsi.... (hivi yale matangazo ktk blog yake analipia pasenti kwa bosi wake zaidi ya kodi)
And huyo ndiye mtanzania wa kupigiwa mfano teh teh wizi mtupu.

Kwa nini asije mtaani tujumuike ktk sekta binafsi kujiingizia faida??? Na kwa nini asiige mfano bora wa akina Invisible wa kuwa wajasiriamali wasioiegemea serikali ktk kuendesha forum???? wizi mtupu na ufinyu wa upeo kwa sana tu (na hasa wale wanaomtetea maana jamaa anajua afanyalo ila wao...).

Jamani jaman jamani, this is not fair at all. Hebu semeni wenyewe wangapi hivi leo ni waajiriwa aidha wa serikali au sekta binafsi na mna biashara/shughuli zenu binafsi za kijiongezea kipato na wakati mwingine hata mnachomoka kwenye ofisi zenu kwenda kufanikisha hizo shughuli zenu? Mbona wako walimu wengi wanaendekeza tuition zaidi na kutofundisha vizuri madarasani hampigi kelele? Mbona wako madaktari wengi wana kliniki au Hospitali zao na wakati mwingi wako huko hampigi kelele? Kwani Michuzi amelipiwa pesa na mwajiri wake kwenda kufanya shughuli zake binafsi? Si yuko kwenye kazi aliyotumwa na ofisi yake? Na wakati wa mapumziko anafanyakazi zake binafsi? Kwani hafanyi kazi aliyotumwa huko na anafanya kazi zake binafsi tuu? Hee! Ndugu zangu hebu tusipoteze mwelekeo wa mapambano dhidi ya mafisadi kwa kuletewa huu mjadala usio na tija hata kidogo. Nafikiri UW na dada yake Idda wametumwa kuja kutuvuruga hapa. Nasema acheni hizo tuendelee kuwaandama hawa mafisadi akina RA & co. ambao kwa hakika wamesababisha umaskini na taabu kwa ndugu zetu mpaka kieleweke. Aluta continua.
 

...Kwa vile wewe uko ughaibuni, unafurahia picha na updates huna cha kupoteza, lazima umpe credit Michuzi.

That's the nub of the whole thing really. Watu wanapenda kuona picha na ma update ya TZ. Hawana principle ya kusema, duu, huyu jamaa anatupa picha lakini anafanya haya kwa fursa, muda, camera ya serikali.

Hakutumwa Marekani kwenda kutengeneza video ya ma DJ wa Voice of America hukusu wanamuziki wa Marekani. Au kupiga picha akiwa na Chriss Tucker hotelini na "wadau" wengine wengine wasio na tija katika ku file reportza za DAILY NEWS.

Bosi wa DAILY NEWS anateuliwa na Rais, ni mtu mzito, anaweza na anatakiwa kum fire mwajiriwa anayetamka kwamba hana dedication na DAILY NEWS toka aanzishe blog.
 
Jamani jaman jamani, this is not fair at all. Hebu semeni wenyewe wangapi hivi leo ni waajiriwa aidha wa serikali au sekta binafsi na mna biashara/shughuli zenu binafsi za kijiongezea kipato na wakati mwingine hata mnachomoka kwenye ofisi zenu kwenda kufanikisha hizo shughuli zenu? ... Nafikiri UW ...ametumwa kuja kutuvuruga hapa. Nasema acheni hizo tuendelee kuwaandama hawa mafisadi akina RA & co. ambao kwa hakika wamesababisha umaskini na taabu kwa ndugu zetu mpaka kieleweke. Aluta continua.

Nashangaa unashabikia watu kutumia nafasi zao kuwezesha shughuli zao. Nasita kusema kuwa inawezekana na wewe uko kwenye kundi hilo kiasi kwamba unaona ni sawa kutumia muda au pesa za mwajiri kufanya mambo binafsi. Una element za ufisadi.

Huwezi kupanga cha kufanya hapa JF, fisadi ni fisadi. Yalekea kwa upande wako wewe FISADI ni RA & company. Nakukumbusha kuwa kwa JF fisadi ni fisadi, hata wewe kama ni fisadi tutakumulika, hata uwe fisadi sisimizi.

Bwana mashauri, wewe nani kakutuma?
 
Kumbe unajua kama ni mtumishi wa Daily News, asante kwa hilo. Je fedha zinazotumika Daily News, kuanzia kulipa mishahara na marupurupu ya safari zinatoka wapi? Daily News wana kisima au msitu wa pesa au ni pesa za walipa kodi?

Kwa vile wewe uko ughaibuni, unafurahia picha na updates huna cha kupoteza, lazima umpe credit Michuzi. Kwa wengine ambao katika mishahara yetu tunakatwa PAYE (pay as you earn) kutoka kwenye mishahara yetu, tunapata uchungu kuona pesa zinazotokana na jasho letu zinatumika ndivyo sivyo.
kula tano kwenye hiyo bold hapo. Inaniuma sana kwa sisi tunaokatwa kodi halafu watu wanachezea hazina kwa mambo yasiyo ya msingi. Kama anasema vekesheni anamaanisha vekesheni na si vinginevyo. Nina vijituhuma kadha wa kadha dhidi ya Misupu

  1. Nilishawahi kumkuta zaidi ya mara moja akitumia credit card yake kuetembelea website za ngono na kufanya bookings. Yaani badala ya kuijengea mazingia bora familia yake yeye anatumia jasho lake kutafuta machangudoa online.
  2. Alipiga zengwe mpaka akaingizwa ktk kamati maalum ya ushauri ya uanzishwaji nyumba ya utamaduni kwa kumtoa mdau mahsusi aliyechaguliwa kuwawakilisha wasanii ktk kamati hiyo ambapo matokeo yake kamati ile imefanya madudu yanayofunikwa hadi sasa. sijui kwa nini CAG hamuliki hizi kamati ndogondogo za kiraia.
  3. Ingawa ameajiriwa na serikali anatumia muda wake mwingi wa kazi kufanya kazi zake binafsi ambapo ukiondoa ile kampuni ya upigishaji picha pale posta mpya ambayo ana maslahi mule pia hutumia kamera ya ofisi (labda adeclare kuwa hajapewa vitendea kazi) kupiga deal zake binafsi.
Ukweli lazima usemwe. Na sisi tulio mtaa wa pili hatuna shaka kwani tunajua ktk mtaa wetu tunaelimika na kuburudika lakini yeye ktk mtaa wake anaburudisha tu bila kuelimisha.
 
Kumbe unajua kama ni mtumishi wa Daily News, asante kwa hilo. Je fedha zinazotumika Daily News, kuanzia kulipa mishahara na marupurupu ya safari zinatoka wapi? Daily News wana kisima au msitu wa pesa au ni pesa za walipa kodi?

Kwa vile wewe uko ughaibuni, unafurahia picha na updates huna cha kupoteza, lazima umpe credit Michuzi. Kwa wengine ambao katika mishahara yetu tunakatwa PAYE (pay as you earn) kutoka kwenye mishahara yetu, tunapata uchungu kuona pesa zinazotokana na jasho letu zinatumika ndivyo sivyo.

Hujanielewa point yangu Mkuu! Sote tunaelewa Daily News inaendeshwa kwa fedha ya Serikali ambapo kwa lugha nyengine ni fedha ya walipa kodi.
Nilichokwambia mimi ni kwamba Michuzi amepewa kazi ambayo aende kuifanya huko na anaifanya, Daily news wameamua reporter/photographer atakaewafaa katika hii safari ni Michuzi na as long as He's doing what he's suppossed to be doing then where's the problem? Jee kama Daily news wangeamua kumpeleka journalist mwengine bado ungelipiga kelele?
Japo nipo Ughaibuni lakini nachangia kodi na nina uchungu sawa na wewe ulie nyumbani ila ninachoshindwa kuelewa tatizo hapa nini? Majournalist wengi hata wa mashirika makubwa BBC,CNN, REUTER's ni Bloggers, hata baadhi ya politicians ni Bloggers sasa tatizo mnataka Michuzi awe Daily news tu asiwe Mjasirimali?
 
  1. Alipiga zengwe mpaka akaingizwa ktk kamati maalum ya ushauri ya uanzishwaji nyumba ya utamaduni kwa kumtoa mdau mahsusi aliyechaguliwa kuwawakilisha wasanii ktk kamati hiyo ambapo matokeo yake kamati ile imefanya madudu yanayofunikwa hadi sasa. sijui kwa nini CAG hamuliki hizi kamati ndogondogo za kiraia.
  2. Ingawa ameajiriwa na serikali anatumia muda wake mwingi wa kazi kufanya kazi zake binafsi ambapo ukiondoa ile kampuni ya upigishaji picha pale posta mpya ambayo ana maslahi mule pia hutumia kamera ya ofisi (labda adeclare kuwa hajapewa vitendea kazi) kupiga deal zake binafsi.
Ukweli lazima usemwe. Na sisi tulio mtaa wa pili hatuna shaka kwani tunajua ktk mtaa wetu tunaelimika na kuburudika lakini yeye ktk mtaa wake anaburudisha tu bila kuelimisha.

Michuzi ni fisadi, na pia hayuko accountable na responsible kwa muajiri, wananchi anaowatumikia na taifa kwa ujumla.

Mtu responsible na accountable hawezi kupewa kazi na mwajiri wake, halafu badala ya kuwaambia wananchi ametumwa na mwajiri kuliwakilisha taifa, yeye anajigamba kwamba amekwenda vekesheni. Michuzi ni muongo. Kadanganya umma. Michuzi kakosa uzalendo.

Michuzi jiuzulu, waachie wenye moyo waifanye kazi hiyo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom