Issa Shivji: watu wasiojulikana hawatajulikana kwa sababu wanajulikana asiyejulikana sio mtu ni jitu

Issa Shivji: watu wasiojulikana hawatajulikana kwa sababu wanajulikana asiyejulikana sio mtu ni jitu

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2012
Posts
4,572
Reaction score
26,885
shivji.JPG

Sio Kila Anayekuja Kukupa Pole Ukiwa Mgonjwa/Msibani Anamaanisha Wengine Wanakuwa Wamekuja Kujionea Matokeo ya Kazi Walioifanya Gizani.
 
Hivi na waliompiga sumu Mangula ni wa category ipi?

Wasiojulikana vs Wanaojulikana.
 
View attachment 1473898

Sio Kila Anayekuja Kukupa Pole Ukiwa Mgonjwa/Msibani Anamaanisha Wengine Wanakuwa Wamekuja Kujionea Matokeo ya Kazi Walioifanya Gizani.
Makengeza, si bure unaitwa Makengeza. Wanajulikana sana kama wasiojulikana. Richard Mabala, mwandishi mahiri, anajulikana sana kama Makengeza na lile pua lake. Wanajulikana sana wasiojulikana!
Mchezo umeishaanza wa safari ya wasiojulikana wanaojulikana. Wimbo wa Jualikali, Kibajaji na Musukuma na kiitikio cha Spika umefana sana. Yale makofi ya watunga sheria wetu ni ushahidi tosha. Muruto, licha ya maneno ya kuisumbua serkali kusikika na washambuliaji, anasema shambulio lisihusishwe na siasa! Kwa upelelezi upi kusema hayo?
 
Back
Top Bottom