Isssue ya Diamond ni Miguu tu


Ila wabongo dah unazani ni mashine hiyo kwamba hachok ?kuna clip alitoa kuonesha jinsi gan alivyokua busy alitoka kwenye show yao ya wasafi hata hakulala akaitwa zenji kwenye harusi hapo alitokea mtwara aende Dar kuchukua nguo aende kwenye harusi zenji hata kula hakula vizur just soda na keki sijui afu akarud kuendelea na show kusini huko tena hapo bora ana mwewe umemrahisishia kazi ,,,hivyo vyote utegemee asichoke,asipungue,,,,msemeni ila hamuez kumfikia mafanikio yake,,,jamaa yupo busy kuingiza mpunga!
 
Dah, mi nnapiga picha nyingiii saivi vyenye nipo kawaida sina stress za utajiri wala nn.

Nitapokuwa tajiri nikanenepa mkanizoea hivyo. Itafika wakati ntauzoea utajiri utakuwa new normal basi mwili utapungua mkisema amekuwajee nnawaambia hii ndo normal sasa ona picha zangu za zamani mimi ndo huyu sasa.

Nakumbuka Dimondi alikuwaga mwembamba akapata hela akajenga body (sijui ni gym au alidoppe pia sijui). Labda sasa ivi anairudia asili yake sasa ile ya Tandale boy. Mtafute dimondi wa mbagalaa ulinganishe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…