Issue ya Feitoto inanikumbusha nilivyoamua kuacha kazi

Nimeunga mkono 100% kwa hili yanga wamezingua sana. Sijui injinia aliwaza nini juu ya fei
 
Mkuu unadhani in reality kabisa yanga wanaweza kumruhusu Feisal ajiunge na Azam kwa sasa?? Kuna wakati inabidi ufanye maamuzi magumu kwa ajili ya maisha yako. Njia hii inaweza kumgharimu lakini ndio the "hard way" to success. Hata asipoenda Azam akabaki Yanga tayari amewakumbusha kwamba anastahili kulipwa vizuri. Binafsi namuunga mkono Feisal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…