Issue ya Gamondi na Yanga ipo hivi

Issue ya Gamondi na Yanga ipo hivi

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Wengi wanajiuliza kuporomoka ghafla kwa uwezo wa Yanga msimu huu kumetokana na nini.

Kuna mvutano mmoja umekuwa unaendelea kati ya Gamondi na uongozi wa Yanga. Ni kwamba, Yanga imekuwa inamlazimisha Gamondi kuzipa mbinu na maelekezo timu pinzani zinazocheza na Simba na Gamondi amekuwa hakubaliani na hilo akisema hilo siyo jukumu lake pale Yanga na mshahara wake haujumuishi jukumu hilo. Hata anapofanya hivyo amekuwa anafanya hivyo kwa shingo upande.

Shida ilikuwa kubwa zaidi pale Simba ilipokuwa inacheza na Al Ahly Tripoli, uongozi wa Yanga ulimshinikiza kweli kweli Gamondi awachoree mfumo Al Ahly wa kuifunga Simba. Pale ndiyo walivurugana hasa na ndiyo imepelekea mazingira tunayoona sasa ya pande mbili kusalitiana na kuhujumiana.

Gamondi hatutakula naye Christmas.
 
Al Ahly wamtumie kocha wa Yanga.
Hii ni takataka TU
All the best
 
Wengi wanajiuliza kuporomoka ghafla kwa uwezo wa Yanga msimu huu kumetokana na nini.

Kuna mvutano mmoja umekuwa unaendelea kati ya Gamondi na uongozi wa Yanga. Ni kwamba, Yanga imekuwa inamlazimisha Gamondi kuzipa mbinu na maelekezo timu pinzani zinazocheza na Simba na Gamondi amekuwa hakubaliani na hilo akisema hilo siyo jukumu lake pale Yanga na mshahara wake haujumuishi jukumu hilo. Hata anapofanya hivyo amekuwa anafanya hivyo kwa shingo upande.

Shida ilikuwa kubwa zaidi pale Simba ilipokuwa inacheza na Al Ahly Tripoli, uongozi wa Yanga ulimshinikiza kweli kweli Gamondi awachoree mfumo Al Ahly wa kuifunga Simba. Pale ndiyo walivurugana hasa na ndiyo imepelekea mazingira tunayoona sasa ya pande mbili kusalitiana na kuhujumiana.

Gamondi hatutakula naye Christmas.
Shida ilikuwa kubwa zaidi pale Simba ilipokuwa inacheza na Al Ahly Tripoli, uongozi wa Yanga ulimshinikiza kweli kweli Gamondi awachoree mfumo Al Ahly wa kuifunga Simba. Pale ndiyo walivurugana hasa na ndiyo imepelekea mazingira tunayoona sasa ya pande mbili kusalitiana na kuhujumiana.🥍🥍🥍
 
Mbona sasa yeye nusura afungwe na simbs
 
Kuna mada nyingine ukizisoma tu, akili inakurudisha moja kwa moja kwenye kile kikao maarufu cha Rage na wanachama.
 
Back
Top Bottom