Issue ya huyu Mvulana kutongozwa na kushikwa shikwa makalio na mwalimu wa kiume

Issue ya huyu Mvulana kutongozwa na kushikwa shikwa makalio na mwalimu wa kiume

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Kuna kipindi nlisoma kijana mmoja humu ambaye ana jinsia ya kiume akilalamika na kutaka msaada kwa wanajamii kuhusiana na kushikwa shikwa makalio na kutongozwa na mwalimu wake wa kiume chuoni.

Kama week mbili hivi sikuweza kula kabisa... Nlijawa na hasira sana... Nlikuwa natetemeka tu kwa hasira na kila napokumbuka kifua kinajaa sana.

Nliwaza miaka yetu ile tunakua. Mtu akikushika makalio.... Mwisho wake ni mbaya sana. Yaani ingetangazwa kwenye vyombo vya hbari huyo mtu amepigwa na raia mwenye hasira kali na amelazwa. Huku raia akiwa chini ya uangalizi.

Hayo mambo ya kushikana makalio sisi wengine tunayaona tu huku Pwani miaka hiyo ya 80.kule kwetu Mara ..... Unamgusa mwanaume makalio.... Muraaaa..... Aaaargh hiro ni tusi kubwa sana mura... Tusi kubwa sana.

Yaani hapo mzazi wa mtu atafiriwa mwanawe on ze spot mura. Yaani kabisa kabisa mutu anakuja anashika makario yangu mimi mwanaume? Atacharangwa vibaya sana.
 
mbaya sana.
kwa nini alikubali kushikwa makalio bila kuhakikisha kamng'oa huyo mwalimu meno au kumpasua balbu(macho)
 
kwamba mwanafunzi wa chuo anashikwa shikwa makalio na mwalimu wake ? hata kama ni mjinga hawezi kuacha akafanyiwa mambo ya hovyo hivyo
 
Kuna kipindi nlisoma kijana mmoja humu ambaye ana jinsia ya kiume akilalamika na kutaka msaada kwa wanajamii kuhusiana na kushikwa shikwa makalio na kutongozwa na mwalimu wake wa kiume chuoni.

Kama week mbili hivi sikuweza kula kabisa... Nlijawa na hasira sana... Nlikuwa natetemeka tu kwa hasira na kila napokumbuka kifua kinajaa sana.

Nliwaza miaka yetu ile tunakua. Mtu akikushika makalio.... Mwisho wake ni mbaya sana. Yaani ingetangazwa kwenye vyombo vya hbari huyo mtu amepigwa na raia mwenye hasira kali na amelazwa. Huku raia akiwa chini ya uangalizi.

Hayo mambo ya kushikana makalio sisi wengine tunayaona tu huku Pwani miaka hiyo ya 80.kule kwetu Mara ..... Unamgusa mwanaume makalio.... Muraaaa..... Aaaargh hiro ni tusi kubwa sana mura... Tusi kubwa sana.

Yaani hapo mzazi wa mtu atafiriwa mwanawe on ze spot mura. Yaani kabisa kabisa mutu anakuja anashika makario yangu mimi mwanaume? Atacharangwa vibaya sana.
Weka picha mkuu
 
Kuna kipindi nlisoma kijana mmoja humu ambaye ana jinsia ya kiume akilalamika na kutaka msaada kwa wanajamii kuhusiana na kushikwa shikwa makalio na kutongozwa na mwalimu wake wa kiume chuoni.

Kama week mbili hivi sikuweza kula kabisa... Nlijawa na hasira sana... Nlikuwa natetemeka tu kwa hasira na kila napokumbuka kifua kinajaa sana.

Nliwaza miaka yetu ile tunakua. Mtu akikushika makalio.... Mwisho wake ni mbaya sana. Yaani ingetangazwa kwenye vyombo vya hbari huyo mtu amepigwa na raia mwenye hasira kali na amelazwa. Huku raia akiwa chini ya uangalizi.

Hayo mambo ya kushikana makalio sisi wengine tunayaona tu huku Pwani miaka hiyo ya 80.kule kwetu Mara ..... Unamgusa mwanaume makalio.... Muraaaa..... Aaaargh hiro ni tusi kubwa sana mura... Tusi kubwa sana.

Yaani hapo mzazi wa mtu atafiriwa mwanawe on ze spot mura. Yaani kabisa kabisa mutu anakuja anashika makario yangu mimi mwanaume? Atacharangwa vibaya sana.
Hata ukomavu tu unaweza kupelekea watu wa mara wasishikwe makalio. Hata tu mademu wa mara siwezi washika makalio sembuse wakiume.
Beatiful ready wa mara wa miaka yote ni lady jaydee.
Nakutania tu mwayego mura, udinitoe Jino bila ganzi!
 
Kuna kipindi nlisoma kijana mmoja humu ambaye ana jinsia ya kiume akilalamika na kutaka msaada kwa wanajamii kuhusiana na kushikwa shikwa makalio na kutongozwa na mwalimu wake wa kiume chuoni.

Kama week mbili hivi sikuweza kula kabisa... Nlijawa na hasira sana... Nlikuwa natetemeka tu kwa hasira na kila napokumbuka kifua kinajaa sana.

Nliwaza miaka yetu ile tunakua. Mtu akikushika makalio.... Mwisho wake ni mbaya sana. Yaani ingetangazwa kwenye vyombo vya hbari huyo mtu amepigwa na raia mwenye hasira kali na amelazwa. Huku raia akiwa chini ya uangalizi.

Hayo mambo ya kushikana makalio sisi wengine tunayaona tu huku Pwani miaka hiyo ya 80.kule kwetu Mara ..... Unamgusa mwanaume makalio.... Muraaaa..... Aaaargh hiro ni tusi kubwa sana mura... Tusi kubwa sana.

Yaani hapo mzazi wa mtu atafiriwa mwanawe on ze spot mura. Yaani kabisa kabisa mutu anakuja anashika makario yangu mimi mwanaume? Atacharangwa vibaya sana.
Nimeishia hapo kwenye "Wiki mbili sikuweza kula kabisa".
Kama hutojali naomba unisimulie kilichoendelea.
 
Hata ukomavu tu unaweza kupelekea watu wa mara wasishikwe makalio. Hata tu mademu wa mara siwezi washika makalio sembuse wakiume.
Beatiful ready wa mara wa miaka yote ni lady jaydee.
Nakutania tu mwayego mura, udinitoe Jino bila ganzi!
Mura kure kwetu kuna warembo wengi na wana shape mura... Wengi sana tu....
 
Basi anatokea huku bara !!
.Na alisema kwamba huyo lecturer kama ameshikilia hatma ya maisha yake katika masomo anaweza kumuharibua
Mura sisi kwetu ni gumu sana mtu kukugusa tako.... Ni fita mura fita ya kuua kabisa ... Atakuwa amekulia kinondoni...
 
Ni MWANAFUNZI wa chuo.


Mwalimu wake anamtaka kinyume na maumbile.

Alitaka KUMPA Milioni 2 amfanyie Hiyo dhambi.

Kijana alikataa kata kata.

Mwalimu alimtisha kwamba asiseme popote na akaambiwa hatomaliza chuo.
 
Alikuw anajitangaza

Achen kumpa heading line
 
Back
Top Bottom