Issue ya huyu Mvulana kutongozwa na kushikwa shikwa makalio na mwalimu wa kiume

Issue ya huyu Mvulana kutongozwa na kushikwa shikwa makalio na mwalimu wa kiume

Kuna kipindi nlisoma kijana mmoja humu ambaye ana jinsia ya kiume akilalamika na kutaka msaada kwa wanajamii kuhusiana na kushikwa shikwa makalio na kutongozwa na mwalimu wake wa kiume chuoni.

Kama week mbili hivi sikuweza kula kabisa... Nlijawa na hasira sana... Nlikuwa natetemeka tu kwa hasira na kila napokumbuka kifua kinajaa sana.

Nliwaza miaka yetu ile tunakua. Mtu akikushika makalio.... Mwisho wake ni mbaya sana. Yaani ingetangazwa kwenye vyombo vya hbari huyo mtu amepigwa na raia mwenye hasira kali na amelazwa. Huku raia akiwa chini ya uangalizi.

Hayo mambo ya kushikana makalio sisi wengine tunayaona tu huku Pwani miaka hiyo ya 80.kule kwetu Mara ..... Unamgusa mwanaume makalio.... Muraaaa..... Aaaargh hiro ni tusi kubwa sana mura... Tusi kubwa sana.

Yaani hapo mzazi wa mtu atafiriwa mwanawe on ze spot mura. Yaani kabisa kabisa mutu anakuja anashika makario yangu mimi mwanaume? Atacharangwa vibaya sana.
Acha unafiki, unachofanya ni muendelezo wa haya masuala, kila wiki isikosekane nyuzi inayoongelea hayo mambo. Ungeutafuta ule uzi ukayaongelea haya. Hasira gani?!!!
 
Acha unafiki, unachofanya ni muendelezo wa haya masuala, kila wiki isikosekane nyuzi inayoongelea hayo mambo. Ungeutafuta ule uzi ukayaongelea haya. Hasira gani?!!!
Ukaze makalio dogo unashikwa shikwa makalio unakuja kulia lia huku? Nyie watu ikitokea tumekutana njiani ntakugonga sana
 
Kuna kipindi nlisoma kijana mmoja humu ambaye ana jinsia ya kiume akilalamika na kutaka msaada kwa wanajamii kuhusiana na kushikwa shikwa makalio na kutongozwa na mwalimu wake wa kiume chuoni.

Kama week mbili hivi sikuweza kula kabisa... Nlijawa na hasira sana... Nlikuwa natetemeka tu kwa hasira na kila napokumbuka kifua kinajaa sana.

Nliwaza miaka yetu ile tunakua. Mtu akikushika makalio.... Mwisho wake ni mbaya sana. Yaani ingetangazwa kwenye vyombo vya hbari huyo mtu amepigwa na raia mwenye hasira kali na amelazwa. Huku raia akiwa chini ya uangalizi.

Hayo mambo ya kushikana makalio sisi wengine tunayaona tu huku Pwani miaka hiyo ya 80.kule kwetu Mara ..... Unamgusa mwanaume makalio.... Muraaaa..... Aaaargh hiro ni tusi kubwa sana mura... Tusi kubwa sana.

Yaani hapo mzazi wa mtu atafiriwa mwanawe on ze spot mura. Yaani kabisa kabisa mutu anakuja anashika makario yangu mimi mwanaume? Atacharangwa vibaya sana.
Walimu wa hivi fukuza kazi haraka sana.
 
Kuna kipindi nlisoma kijana mmoja humu ambaye ana jinsia ya kiume akilalamika na kutaka msaada kwa wanajamii kuhusiana na kushikwa shikwa makalio na kutongozwa na mwalimu wake wa kiume chuoni.

Kama week mbili hivi sikuweza kula kabisa... Nlijawa na hasira sana... Nlikuwa natetemeka tu kwa hasira na kila napokumbuka kifua kinajaa sana.

Nliwaza miaka yetu ile tunakua. Mtu akikushika makalio.... Mwisho wake ni mbaya sana. Yaani ingetangazwa kwenye vyombo vya hbari huyo mtu amepigwa na raia mwenye hasira kali na amelazwa. Huku raia akiwa chini ya uangalizi.

Hayo mambo ya kushikana makalio sisi wengine tunayaona tu huku Pwani miaka hiyo ya 80.kule kwetu Mara ..... Unamgusa mwanaume makalio.... Muraaaa..... Aaaargh hiro ni tusi kubwa sana mura... Tusi kubwa sana.

Yaani hapo mzazi wa mtu atafiriwa mwanawe on ze spot mura. Yaani kabisa kabisa mutu anakuja anashika makario yangu mimi mwanaume? Atacharangwa vibaya sana.
Hawa wanaoandika hivi ndio hao hao wafanyao mchezo huu
 
Kijana yule alikuwa Ana vitu viwili vinavyopingana mara kawekewa hela mara mtihani atafelishwa.
In short yule mwanaume wa kike.
 
Back
Top Bottom