Wewe hata Ukiwa na dushe ni KE tu
Kwa kiasi fulani Tabora mmebarikiwa kwa watoto wazuri.huwa naumia sana kujua uwoYa na wema wanaaasili Ya kwetu Tabora
binamu usitukanie uzazi bwana...alivyokua anamtukana tiffah ? au mnajisahaulisha, kama ukiwaambia watoto w wenzio wabaya mungu ata hyo mbaya hakupi
ushetani wake wema nini?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kumbe uwoya upo kama mimi eeh? Wema ni shetani, hafai sana yule ndio maana hazai mwanaizaya huyo mfyuuu.
Binamu issue ni hivi, siku zote walikua wapi kumtaja masogange? why akamatwe baada y wema kumtaja? we all know issue ya masogange in SA, na ilishaisha ila wema kairudisha, wema hajatenda haki kwa msichana mwenzie ,kamuaribiaSi Wema aliyefanya akamatwe, tuwe wa kweli.
Kama Wema alifanya akamatwe ina maana Wema kasema kweli kuhusu Masogange na Makonda?
Na alivyoshikwa SA, ni Wema alimchomea?
Masogange kama anataka kujisafisha aseme kweli tu.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] acha hizo binaaaaa.....Wema mchawi , na pale alikua hajui kama anarekodiwa anaanza kuropoka utumbo, mi limeniboa sana kwa kweli, unajua ni bora aggy angekamatwa kivyake sasa wema ndo kafanya akamatwe, hyo ni binadamu sasa?
Sent from my SM-J100H using JamiiForums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwa hiyo Wema asingesema Kama Makonda na Aggyy ni Mahawara basi angepata Mimba na kuzaa?