Ukweli anachokifanya Moo ni kuhakikisha watu ambao wanaweza leta upinzani wa yeye kufanya maamuzi ndani ya Simba waondoke wabaki mafala ambao kila anachosema wanaitika yes
Nkwambi alihoji moo analipa kias gan kiweka matangazo kwenye jezi akawekewa zengwe
Mo anasema anatoa bil 5 kila mwaka
Iv mapato yanaenda wap?
Pesa ya wadhamin inaenda wap?
Mauzo ya jezi yanaenda wap?
Hela ya caf inaenda wap?
Yanga juzi wametoa mapato na matumizi inaonekana wamepata faida japo ni kdg
Lini Moo atatoa mapato na matimizi ili tuone kweli anatoaga hela simba na tujue analipa kias gan kwa matangazo yake kwenye jezi
Moo nakwambia endelea kuona watu mafala wanakuvumilia sababu timu inafanya vzr ila ikikosea Simba ikayumba kwenye matokeo ndo utawajua Watanzania na utaeleza ukweli
Yanga nwashaur msikubali mwekezaji mmoja kuwen nao wawili au watatu ili kwenye maamuzi asifanye mmoja kuwe na kuhojiana
Simba wangekuwwpo wawekezaji wawili tungejua mapato na matumizi/ tungejua moo analipa kias gan kwenye matangazo na babra asingeifanya simba ya moo
Nimemaliza ila kaa mjua simba ni bomu ambalo halijalipuka
Nkwambi alihoji moo analipa kias gan kiweka matangazo kwenye jezi akawekewa zengwe
Mo anasema anatoa bil 5 kila mwaka
Iv mapato yanaenda wap?
Pesa ya wadhamin inaenda wap?
Mauzo ya jezi yanaenda wap?
Hela ya caf inaenda wap?
Yanga juzi wametoa mapato na matumizi inaonekana wamepata faida japo ni kdg
Lini Moo atatoa mapato na matimizi ili tuone kweli anatoaga hela simba na tujue analipa kias gan kwa matangazo yake kwenye jezi
Moo nakwambia endelea kuona watu mafala wanakuvumilia sababu timu inafanya vzr ila ikikosea Simba ikayumba kwenye matokeo ndo utawajua Watanzania na utaeleza ukweli
Yanga nwashaur msikubali mwekezaji mmoja kuwen nao wawili au watatu ili kwenye maamuzi asifanye mmoja kuwe na kuhojiana
Simba wangekuwwpo wawekezaji wawili tungejua mapato na matumizi/ tungejua moo analipa kias gan kwenye matangazo na babra asingeifanya simba ya moo
Nimemaliza ila kaa mjua simba ni bomu ambalo halijalipuka