Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 6,941
- 7,808
Bado tunaendelea kuchanga, wiki kama 1 iliyopita CEO wetu alituambia mchango uliopatikana ni milioni 60 tuendelee kuchanga kupitia NANI ZAIDI SIMBA Vs YANGA na mpaka sasa kwenye nani zaidi tumeshachanga milioni 60.9, ukijumlisha jumla tumechanga milioni 120.9