IST inauzwaa, tizama hapa!

IST inauzwaa, tizama hapa!

wakuu kitu hicho acheni bla bla bei karibu na ya bure. Ndo tatizo la si waswahili maneno mengi mno.
 
hizo glass za tinted si ndio za wale jamaa...........?
 
wakuu kitu hicho acheni bla bla bei karibu na ya bure. Ndo tatizo la si waswahili maneno mengi mno.

hahaha sema nimechemka kaka ngoma ipo chini sana sasa wale wasiokuwa na lami ngoma lazima igonge chini. nataka nikainyayue japo inch 1 au 2
 
aisee dully I shld av seen this car wkt ule wa raum nyeupe wangu! It has been my dream car vile tu watu hawalijui ikawa ngumu kulipata na kuagiza sikutaka, I dont av the risk taking spirit.

Wadu lichangamkieni, bei poa kabisa hiyo tena na kuna room ya kunegoiate!
 
aisee dully I shld av seen this car wkt ule wa raum nyeupe wangu! It has been my dream car vile tu watu hawalijui ikawa ngumu kulipata na kuagiza sikutaka, I dont av the risk taking spirit.

Wadu lichangamkieni, bei poa kabisa hiyo tena na kuna room ya kunegoiate!

ah si unajua tena kipindi kile mambo yalikuwa hayajakaa sawa. vp ulipata gari gani tena?au hukuchukua tena?
 
Back
Top Bottom