It happen today a stupid bus conductor insulted a female school Tegeta Nyuki Ubungo2000

It happen today a stupid bus conductor insulted a female school Tegeta Nyuki Ubungo2000

Jamani, uwiiiii, kumbe! Kwa hiyo baada ya hapo MO aliweza kuongea na waandishi wa habari? nimependa hii thread yako ulivyoelezea jinsi MO alivyopatikana!!!!!
 
Katika kusoma lugha kuna ishu inaitwa 'Error' na 'Mistake' mtu anayeijua lugha akikosea tunasema ni 'Mistake' asiyeijua akikosea ni 'Error'

Kwa makosa ya jamaa na namna ya uandishi kunatosha kujua anajifunza. Nyinyi ambao mmeelewa kua kuna makosa hamkua na sababu ya hizi koments, kwasababu kiukweli ingawa kakosea ila ujumbe wake unaeleweka.

Usipoelewa na wewe upo kwenye level ya 'Error'

Tujifunze kupeana moyo.
Umeongea kikubwa sana mkuu
 
title ili bidi iwe hivi"today it has happened a stupid bus conductor insulted a female student at tegeta nyuki ubungo 2000" ila kwa kweli upo kwenye nafasi nzuri na umeeleweka kwa kweli thumb up never give up you will be good at this language ongeza bidii unaweza kwa kweli wengine salam tu shida
 
Halaf anakuja mtu Ukute hata uingereza hajawahi kufika "u know*
 
Kumpa binadamu mwenzio moyo...au hata kurekebisha kistaarabu Ni kipaji na wanacho wachache Sana. Be blessed
 
title ili bidi iwe hivi"today it has happened a stupid bus conductor insulted a female student at tegeta nyuki ubungo 2000" ila kwa kweli upo kwenye nafasi nzuri na umeeleweka kwa kweli thumb up never give up you will be good at this language ongeza bidii unaweza kwa kweli wengine salam tu shida
Kwa kweli nilikosea ..aliyenyanyaswa ni mwalimu wa kike mdogo mdogo, hivi... alikuwa na kitambulisho Cha mwalimu, wale walimu wa dar salaam wanavijua.
 
Back
Top Bottom