IT ilivyokuwa msaada mkubwa kwangu - Read and get motivated

H
Ebu msaidie bro Maxence Melo kurekebisha hii ya kwake mpya coz hata siielewi
 
Mkuu hii story yko n Nzur sana. Lakn ungeandika kwenye Story of Changes ingekua poa zaid. Cz inakuelezea ulipotoka na unapokwenda. Pia inaenda kuwapa vijana weng nguvu ya kupamabna zaid
 
Nilianza na frontend pia.
 
Acha
Ujakutana na steji IT ila hii ya hapa ni ya kawaida tu hongera.
ukienda USA ndio utaona IT yeru ni candycrash
Fikra potofu, hao marekani wenyewe watu kibao hawaendi class kusoma IT na wanafanya kazi kubwa tu. IT ni field unajifunza daily.
 
Naomba no yako tutafutane maana hata Mimi nimeanza na flutter sahiz napenda Sana au tuchekiane 0624 443992 IPO na watsapp....naomba tutafutane nataka tuorganise nakufanya project kubwa pamoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…