It is called ‘subterfuge’

It is called ‘subterfuge’

Sasa hii ndo english iliyonyooka.

Jiwe angebahatika kucharaza ngeli kama hii angetusumbua sana na safari za nje.

Lakini thubutu kaamua kubaki nchini hapahapa, ngeli mgogoro!

Wajameni ngeli muhimu!
Mimi naanza kushawishika kuwa Magufuli anaogopa kwenda nje ya Afrika kwa sababu anajua haimudu vizuri lugha ya Kiingereza.

Maana nje ya Afrika itakuwa ngumu kwa yeye kuzungumza Kiswahili.

Lakini ndani ya Afrika anaweza kuzuga kuwa kwa kuongea Kiswahili, anakuwa anaienzi lugha hiyo.

Deep down naamini hata yeye anajua kuwa Kiingereza hakimudu vizuri.
 
Mimi naanza kushawishika kuwa Magufuli anaogopa kwenda nje ya Afrika kwa sababu anajua haimudu vizuri lugha ya Kiingereza.

Maana nje ya Afrika itakuwa ngumu kwa yeye kuzungumza Kiswahili.

Lakini ndani ya Afrika anaweza kuzuga kuwa kwa kuongea Kiswahili, anakuwa anaienzi lugha hiyo.

Deep down naamini hata yeye anajua kuwa Kiingereza hakimudu vizuri.

Yes, inferiority complex.

Atafanya kila kitu hata kama ni to the extreme ili kuficha udhaifu wake.

Ana hofu kuwa counterparts wake watamchukuliaje?

Pia hayuko well versed kwenye international affairs, social-economic dynamics za dunia hii, sasa akipigwa maswali ya angle hizo anaweza kubaki anang'aang'aa macho tu, Ndiyo maana anaona bora lawama kuliko fedheha ajikalie tu nyumbani.
 
Nadhan umeanza kumchokoza na bahati nzur anakujua mpk kwenu,mwenyew ameshasema hajaribiwi
Mimi naanza kushawishika kuwa Magufuli anaogopa kwenda nje ya Afrika kwa sababu anajua haimudu vizuri lugha ya Kiingereza.

Maana nje ya Afrika itakuwa ngumu kwa yeye kuzungumza Kiswahili.

Lakini ndani ya Afrika anaweza kuzuga kuwa kwa kuongea Kiswahili, anakuwa anaienzi lugha hiyo.

Deep down naamini hata yeye anajua kuwa Kiingereza hakimudu vizuri.
 
Achana na Lisu anayetumika na mabeberu.

Twende na Magufuli

We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that he is there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction ...

Sent using Jamii Forums mobile app
kingreza kama cha mtu "aliyeutwika!!"
 
What Lissu is doing is one way to awaken the people na akirudi kwenye kilinge cha kampeni isiwe tabu.
 
..Yap!!

..You said it, and he was at Mlimani City today.

🤣 🤣
Exactly!

Ila hii serikali ya CCM haina kabisa weledi.

Sasa hivi Lissu anapiga kampeni bila kupiga kampeni.

Maana hahitaji kusimama jukwaani na kuongea na kipaza sauti.

Anachohitaji kufanya ni kwenda sehemu tofauti tofauti kujichanganya na watu, kitu ambacho ni kampeni vilevile.
 
Mfundishe lugha mgombea wetu c6cm tutakupa cheo cha ubalozi huko
 
Exactly!

Ila hii serikali ya CCM haina kabisa weledi.

Sasa hivi Lissu anapiga kampeni bila kupiga kampeni.

Maana hahitaji kusimama jukwaani na kuongea na kipaza sauti.

Anachohitaji kufanya ni kwenda sehemu tofauti tofauti kujichanganya na watu, kitu ambacho ni kampeni vilevile.

..Kweli.

..Na wanavyomuandama wanachafuka kwa kuonekana wanaisaidia CCM.

..Vilevile haonyeshi kutikisika kutokana na vitisho wanavyompa, na hiyo inamuongezea umaarufu.

..All in all,nadhani kampeni hizi zilihitaji mgombea kama TL, kwasababu wagombea wengine wote wako too submissive kwa CCM.

..Wagombea wangekuwa ni Lazaro Nyalandu, Bernard Membe, Prof.Lipumba, John Shibuda, ...wananchi wasingekuwa na interest na kampeni za mwaka huu.
 
Yes, it is called subterfuge.

A clever way of achieving something.

That is what Tundu Lissu is employing to circumvent the ludicrous NEC ban, suspension, or whatever you wanna call it.

Close to two months ago, I warned of the possibility of Mr. Lissu not making it on the ballot paper.

Per usual, I was ridiculed, brushed off, etc.

You can check out what I said right here.

I still have a sneaky feeling that CCM and its NEC aren’t done with him, yet.

I think they still have a couple more shenanigans to pull out of in their wheelhouse, before Election Day.

But since being suspended, Lissu has employed a brilliant strategy or ‘strategery’, as GWB would have it 😄.

Each day during the suspension period just come up with something that will create headlines, keep you in the news cycle, and allow you to campaign without actually campaigning.

Show up to some local CHADEMA branch in your vice-chair capacity and talk to your party members about party issues. Have a standoff with the police for the whole entire day.

Next day hop in the bus and go to Kariakoo to buy some groceries with journalists and their cameras in tow.

Hop out of the bus and walk around the market surrounded by a throng of supporters chanting ‘raisi, raisi, raisi’.

Chess moves.

Who remembers this song ‘We miss you Manelo’? It came out during Apartheid South Africa.

If you listen to it carefully, are they saying ‘we miss you Manelo’ or ‘we miss you Mandela’?

Mind you, at that time anything having to do with Nelson Mandela was forbidden....but somehow folks found a way around it.



Bravo bravissimo Tundu Lissu and Co. for your brilliant ‘campaign’ strategies.

Can’t wait to see what’s next....a trip to Mlimani city mall, maybe? Or Coco beach on Sunday to decompress? Shoot, a trip to Ubungo bus terminal to go buy a ticket wouldn’t hurt either 😉. Just sayin’.

Thank you for the free lessons on the meaning behind that song.
 
First positive "thing" from you about TAL
 
..Kweli.

..Na wanavyomuandama wanachafuka kwa kuonekana wanaisaidia CCM.

..Vilevile haonyeshi kutikisika kutokana na vitisho wanavyompa, na hiyo inamuongezea umaarufu.

..All in all,nadhani kampeni hizi zilihitaji mgombea kama TL, kwasababu wagombea wengine wote wako too submissive kwa CCM.

..Wagombea wangekuwa ni Lazaro Nyalandu, Bernard Membe, Prof.Lipumba, John Shibuda, ...wananchi wasingekuwa na interest na kampeni za mwaka huu.
Lissu kabadili kabisa kampeni za urais.

Btw, Membe yuko wapi? Bado anagombea?
 
Mimi naanza kushawishika kuwa Magufuli anaogopa kwenda nje ya Afrika kwa sababu anajua haimudu vizuri lugha ya Kiingereza.

Maana nje ya Afrika itakuwa ngumu kwa yeye kuzungumza Kiswahili.

Lakini ndani ya Afrika anaweza kuzuga kuwa kwa kuongea Kiswahili, anakuwa anaienzi lugha hiyo.

Deep down naamini hata yeye anajua kuwa Kiingereza hakimudu vizuri....
Angekuwa na nia ya kukijua angeshakijua

Mondi aliweza chini ya ualimu wa Wema Sepetu, JPM angemtumia BWM hii miaka minne angeshakijua
 
Kama bwana Lissu atapita hapa basi namshauri kesho au keshokutwa aende kwenye baa mbili au tatu zinazobamba kwa sasa akanywe bia mbili tatu.

Anywe tu bia. Lakini asile chochote....
Asisahau watu wa makamera na pia kutanguliza wafuasi wake kwenye baa hizo
 
Lissu kabadili kabisa kampeni za urais.

Btw, Membe yuko wapi? Bado anagombea?

..Membe has learned the hard way that running for President in this country is not as easy as he had thought.

..I am one of those who believe that ppl need to join the opposition parties at a young age.

..It is true that Membe was mistreated by CCM, but I dont think that can be compared to what Mbowe, Zitto, Maalim Seif, and others in the opposition, have been subjected to by the police, tume, and the govt'.

..Membe alitakiwa astaafu siasa na siyo kujiunga na upinzani.
 
Back
Top Bottom