It is called ‘subterfuge’

It is called ‘subterfuge’

Mimi naanza kushawishika kuwa Magufuli anaogopa kwenda nje ya Afrika kwa sababu anajua haimudu vizuri lugha ya Kiingereza.

Maana nje ya Afrika itakuwa ngumu kwa yeye kuzungumza Kiswahili.

Lakini ndani ya Afrika anaweza kuzuga kuwa kwa kuongea Kiswahili, anakuwa anaienzi lugha hiyo.

Deep down naamini hata yeye anajua kuwa Kiingereza hakimudu vizuri....
Hee hee hee ''Your excellency i am just trying to preach but .... but I can't reach you'' alisikika Magufuli akimwambia rais wa Malawi. Hii ni tafsiri ya moja kwa moja ya neno kwa neno, hata Google nafuu. ''Mheshimiwa najaribu tu kuhubiri lakini siwezi kukufikia (level yako ya kuhubiri)''

Mimi huwa namwonea huruma sana anavyokuwa anajikakamua anapozungumza kiingereza. Inaonekana tangu zamani amekuwa anachekwa au anaona aibu kuzungumza hivyo anakuwa anajishtukia mwenyewe. Ameshaingia kwenye vicious circle mbaya sana ya kutojiamini. Naona tatizo lake liko zaidi kwenye kutojiamini na kuona aibu kuliko kujua kiingereza. Ni lazima atakuwa anaweza kuongea vizuri zaidi lakini kutojiamini na aibu kunachangia afanye vibaya zaidi.
 
Hahahaaa....yawezekana labda alipita humu JF na akauona uzi wangu.

Ila yawezekana pia labda tulikuwa na mawazo yanayofanana.

Weekend hii ningependa kumwona anaenda Coco beach au sehemu ingine kama baa...ambayo inabamba kwa sasa...
Kesho atakuwa msikiti wa Mtoro sala ya Ijumaa.
 
Achana na Lisu anayetumika na mabeberu.

Twende na Magufuli

We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that he is there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction ...

Sent using Jamii Forums mobile app
It was until your comment appeared on my screen when I realized the sad truth that those who cheers CCM and its deeds to our beloved land, most of them are morons.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Muwekee na ile uliyosemaga akipona na kurudi hakuna atakayeweza kumzuia!!

Hata mie ninekuwa natofautiana na wewe sana Ngabu ila nikiri mara kadhaa umekuwa ukimtendea haki Lissu
Ahsante!

Wewe ni mmoja wa wachache humu mlio na akili.
 
Yes, inferiority complex.

Atafanya kila kitu hata kama ni to the extreme ili kuficha udhaifu wake.

Ana hofu kuwa counterparts wake watamchukuliaje?

Pia hayuko well versed kwenye international affairs, social-economic dynamics za dunia hii, sasa akipigwa maswali ya angle hizo anaweza kubaki anang'aang'aa macho tu, Ndiyo maana anaona bora lawama kuliko fedheha ajikalie tu nyumbani
Hayo uyasemayo yalishampata Uganda, Museven anaanza kumuokoa kujibu. Tangu pale hataki tena mambo ya nje
 
We ni mshenzi sana ktk lugha ya malkia...yaani huwa wapangilia maneno ktk ustadi wa hali ya juu. Watumia misamiati migumu lakini kwa tunaopenda kujifunza hatuchoki kukusoma. Hongera zako Nyani Ngabu👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
 
We ni mshenzi sana ktk lugha ya malkia...yaani huwa wapangilia maneno ktk ustadi wa hali ya juu. Watumia misamiati migumu lakini kwa tunaopenda kujifunza hatuchoki kukusoma. Hongera zako Nyani Ngabu👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Ahsante sana.

Ila ni msamiati gani hapo ambao umeuona ni mgumu?
 
Mimi naanza kushawishika kuwa Magufuli anaogopa kwenda nje ya Afrika kwa sababu anajua haimudu vizuri lugha ya Kiingereza.

Maana nje ya Afrika itakuwa ngumu kwa yeye kuzungumza Kiswahili.

Lakini ndani ya Afrika anaweza kuzuga kuwa kwa kuongea Kiswahili, anakuwa anaienzi lugha hiyo.

Deep down naamini hata yeye anajua kuwa Kiingereza hakimudu vizuri.
Inawezekana kabisa,lakini ukweli mwingine hata Kiswahili hajui vizuri kama sio hajui kabisa, kajitahidi sana na kawa mwenye bahati sana kufika hapo alipo, upande mwingine namkubali sana kwenye kusimamia miradi, kitu ambacho watanzania wengi hatuwezi,hii tu yaweza fanya nimpigie kura angalau ahudumu miaka mitano mingine
 
Since you gave birth to a healthy baby daughter couple months ago, you’ve been working hard on your new found hobby to get more child support out of your dead beat baby daddy. Well, seems to me “Subterfugery” or whatever it is, is something you attorney coached you as part of your court room antics In your pending child support case.
 
Since you gave birth to a healthy baby daughter couple months ago, you’ve been working hard on your knew found hobby to get more child support out of your dead beat baby daddy. Seems like “Subterfugery” or whatever it is, is something you attorney coached you as part of your court room antics In front of the judge.
That must be your inner monologue.

Btw, who’s the champ that knocked you up?
 
Achana na Lisu anayetumika na mabeberu.

Twende na Magufuli

We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that he is there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction ...

Sent using Jamii Forums mobile app
Hey,hii kiinglishi nimekumbuka Ni verse flani za Jana state house magogoni
 
Back
Top Bottom