It is officially: Ujenzi wa reli ya Tanzania mpaka Rwanda kuanza Oktoba mwaka 2018

Hata hivyo lilitakiwa liwe listed long before ila sababu tayari ni independent company litafanya kazi sasa kibiashara zaidi easy profit no competitors
Share zake zingedorora TRL walikosea kuwauzia RITES kampuni.
 
Share zake zingedorora TRL walikosea kuwauzia RITES kampuni.
Na hiyo rites ndio iliopelekea TRL kuwa worst ever awali kabla hawajawapa wahindi walikua somehow at least ila walivyopewa rites mpaka zile route za tanga moshi Arusha wakaziua kabisa, kadogosa ndio amelifufua shirika.

Hizi proposed SGR routes zote zikikamilika TRL litakua shirika lenye ukwasi wa kutisha baada ya miaka 10 tu.
 
TRL Itakuwa listed later on so wenye mabasi wanaweza kufahidika. Na pia kama usafiri wa mabasi haujafa Ulaya kwann ufe Bongo? Sanasana naona utapunguza gharama za mabasi
kumbe hitachi wanatengeneza Train??
 
Tupeni mrejesho wa awamu ya kwanza. Tumefikia wapi . Tuwekeeni picha tujidai na sisi
 
ndio changomoto ya teknolojia hiyo mkuu lazima upande fulani uumie ila kwa faida ya wengi na usalama pia
 
Tupeni mrejesho wa awamu ya kwanza. Tumefikia wapi . Tuwekeeni picha tujidai na sisi
Kuna fununu serikali inazuia picha, ije kuzitoa kupitia media ikulu. Wanapendaga sifa.
 
Pacha wa thread hii huyu hapa:

It is officially: Ujenzi wa reli ya Tanzania mpaka Rwanda kuanza Oktoba mwaka 2018
 
Wataya-divert sehemu zingine.
 
Me sio mwepesi kushangilia maandishi hadi nione imeanza tekelezwa,tumelishwa maneno matamu mengi sana na ccm toka Uhuru,tunaelekea kuzeeka hakuna cha maana tangible kimefangika
 
Wenye uzi mbona kimya? Hii white elephant kama ile bagamoyo mbona haina funding?
 
Wazee wa kulaunch bado wanalaunch. Waiter niongeze tusker mbili
 
Its official.... Sio its officially... English ngumu
 
Kwa umeme gani labda tuswaze masaa machache ya kufika mwanza bila resource
 
Kwa umeme gani labda tuswaze masaa machache ya kufika mwanza bila resource
Wewe ndio mwenye akili sana kuliko wataalam waliokaa na kuleta hii project?

Kaa subiri train iletwe ikose umeme ndio uongee otherwise you should shut up.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…