It is stupid to compare Mwanza to Mombasa

It is stupid to compare Mwanza to Mombasa

Mombasa ilinganishwe na Dar ,nje ya hapo hakuna mji mwingine Tzn wa kusogeza pua yake kwa Mombasa

Nawashangaa wakenya mnajisumbua,hizi picha mungeweka kula Dar vs Mombasa ndio zinge make sense sio kujiabisha kwa kubishana na mataga waliojaa upuuzi wakati ukweli wanaujua.Mwanza ni takataka tuu labda ilinganishe na Kisii huko
 
Mwanza city

1614754908795.png
 
Tzn tungekuwa hata na mji mwingine japo size ya Mombasa ingeleta maana sana sasa hakuna kitu na bado wanazidi kuijenga Dar,huwezi sikia mtu anatoka Mikoani anataka kuhamia Mji mwingine tofauti na Dar au utoke Dar uhamie mikoani.

Yaani kuwapeleka tu Dom makao makuu walikuwa wanapinga na kukataa ila kwa sababu za njaa wanaenda shingo upande
 
Tzn tungekuwa hata na mji mwingine japo size ya Mombasa ingeleta maana sana sasa hakuna kitu na bado wanazidi kuijenga Dar,huwezi sikia mtu anatoka Mikoani anataka kuhamia Mji mwingine tofauti na Dar au utoke Dar uhamie mikoani.

Yaani kuwapeleka tu Dom makao makuu walikuwa wanapinga na kukataa ila kwa sababu za njaa wanaenda shingo upande
Unapenda ukweli kaka.,
 
Katika kitu kizuri kwa Kenya ni hili la kuwa na angalau mji 1 ambao una misuli ya kiuchumi ya kushindana na Nairobi,hii ni diversification nzuri unlike Tzn ambako Dar ndio kila kitu na Tzn ndio Dar nje ya hapo hakuna mji wa kusogeza pua kwa Dar huku Tzn,miji yote ni vijiji
Hii ni mbaya sana economically maana fursa kama soko nk nk ziko mji 1 tuu
Ss wewe maku unasema Tz ni Dar na Dar ni Tz zen hapo hapo huwa unamsifia JK kwamba alikuwa kiongozi bora, kwahiyo alikuwa wapi kuendeleza miji mingine? Hapo hapo huwa unaponda Magu anapojenga miundombinu sehemu nyingine kwa kusema kuwa hazina potential, mbn wewe malaya ni shetani wa kiwango cha ajabu sana kuwahi kutokea nchi hii, Mana hata mmeo ZZK hakufikii kwa unafki huu.
 
Katika kitu kizuri kwa Kenya ni hili la kuwa na angalau mji 1 ambao una misuli ya kiuchumi ya kushindana na Nairobi,hii ni diversification nzuri unlike Tzn ambako Dar ndio kila kitu na Tzn ndio Dar nje ya hapo hakuna mji wa kusogeza pua kwa Dar huku Tzn,miji yote ni vijiji
Hii ni mbaya sana economically maana fursa kama soko nk nk ziko mji 1 tuu

Labda kama hujaenda Tanzania hivi karibuni. Lkn kama umeenda, kuna uwekezaji mkubwa sana unaoendelea Dodoma, kanda ya ziwa, Arusha etc
 
Ss wewe maku unasema Tz ni Dar na Dar ni Tz zen hapo hapo huwa unamsifia JK kwamba alikuwa kiongozi bora, kwahiyo alikuwa wapi kuendeleza miji mingine? Hapo hapo huwa unaponda Magu anapojenga miundombinu sehemu nyingine kwa kusema kuwa hazina potential, mbn wewe malaya ni shetani wa kiwango cha ajabu sana kuwahi kutokea nchi hii, Mana hata mmeo ZZK hakufikii kwa unafki huu.
Jk ndio aliongoza Tzn peke yake toka 1961? Jk aliifungua mikoa mingi ya Tzn kwa barabara,ilitarajiwa Magu amalizie lakini Hadi sasa hakuna kinachoendelea zaidi ya Chato,Dom na Dar tuu.

Malizieni barabara ndio zinawasaidia watu sio mareli yenu hayo afu WB bank umesikia wanasema uchumi ukoje huko?

Mtaishia kutoa mapovu na kujifariji kwa matusi ila mkipotosha nawaumbua
 
Jk ndio aliongoza Tzn peke yake toka 1961? Jk aliifungua mikoa mingi ya Tzn kwa barabara,ilitarajiwa Magu amalizie lakini Hadi sasa hakuna kinachoendelea zaidi ya Chato,Dom na Dar tuu.

Malizieni barabara ndio zinawasaidia watu sio mareli yenu hayo afu WB bank umesikia wanasema uchumi ukoje huko?

Mtaishia kutoa mapovu na kujifariji kwa matusi ila mkipotosha nawaumbua

Wee si umesema huko ni stand tu ndiyo zinajengwa?
 
Tzn tungekuwa hata na mji mwingine japo size ya Mombasa ingeleta maana sana sasa hakuna kitu na bado wanazidi kuijenga Dar,huwezi sikia mtu anatoka Mikoani anataka kuhamia Mji mwingine tofauti na Dar au utoke Dar uhamie mikoani.

Yaani kuwapeleka tu Dom makao makuu walikuwa wanapinga na kukataa ila kwa sababu za njaa wanaenda shingo upande
Mombasa ilinganishwe na Dar ,nje ya hapo hakuna mji mwingine Tzn wa kusogeza pua yake kwa Mombasa

Nawashangaa wakenya mnajisumbua,hizi picha mungeweka kula Dar vs Mombasa ndio zinge make sense sio kujiabisha kwa kubishana na mataga waliojaa upuuzi wakati ukweli wanaujua.Mwanza ni takataka tuu labda ilinganishe na Kisii huko
Ss wewe maku unasema Tz ni Dar na Dar ni Tz zen hapo hapo huwa unamsifia JK kwamba alikuwa kiongozi bora, kwahiyo alikuwa wapi kuendeleza miji mingine? Hapo hapo huwa unaponda Magu anapojenga miundombinu sehemu nyingine kwa kusema kuwa hazina potential, mbn wewe malaya ni shetani wa kiwango cha ajabu sana kuwahi kutokea nchi hii, Mana hata mmeo ZZK hakufikii kwa unafki huu.
Labda kama hujaenda Tanzania hivi karibuni. Lkn kama umeenda, kuna uwekezaji mkubwa sana unaoendelea Dodoma, kanda ya ziwa, Arusha etc
Chuki binafsi zinafanya mpk anachukia nchi yake mbwa huyu.
Jk ndio aliongoza Tzn peke yake toka 1961? Jk aliifungua mikoa mingi ya Tzn kwa barabara,ilitarajiwa Magu amalizie lakini Hadi sasa hakuna kinachoendelea zaidi ya Chato,Dom na Dar tuu.

Malizieni barabara ndio zinawasaidia watu sio mareli yenu hayo afu WB bank umesikia wanasema uchumi ukoje huko?

Mtaishia kutoa mapovu na kujifariji kwa matusi ila mkipotosha nawaumbua
Wee si umesema huko ni stand tu ndiyo zinajengwa?
Ukweli ni uchungu sana kwa blind patriotism [emoji28][emoji28][emoji23][emoji23], vitu vingine viko too obvious kupinga, ni aibu na dharau watu wanajiletea humu.
 
Katika kitu kizuri kwa Kenya ni hili la kuwa na angalau mji 1 ambao una misuli ya kiuchumi ya kushindana na Nairobi,hii ni diversification nzuri unlike Tzn ambako Dar ndio kila kitu na Tzn ndio Dar nje ya hapo hakuna mji wa kusogeza pua kwa Dar huku Tzn,miji yote ni vijiji
Hii ni mbaya sana economically maana fursa kama soko nk nk ziko mji 1 tuu
Umeongea vyema
 
 

Attachments

  • 2981232_28313112047_b0d082e307_b.jpg
    2981232_28313112047_b0d082e307_b.jpg
    132.4 KB · Views: 17
  • 2981224_43182604571_3e865ff8ac_b.jpg
    2981224_43182604571_3e865ff8ac_b.jpg
    78 KB · Views: 17
  • 2022-01-15.jpg
    2022-01-15.jpg
    907.9 KB · Views: 17
  • 1541877_62614_560675270636121_374086059_n.jpg
    1541877_62614_560675270636121_374086059_n.jpg
    114.7 KB · Views: 19
  • 1558901_FB_IMG_1501526271274.jpg
    1558901_FB_IMG_1501526271274.jpg
    54.9 KB · Views: 19
  • 2984237_images.jpg
    2984237_images.jpg
    18.1 KB · Views: 22
  • _20220809_194801.JPG
    _20220809_194801.JPG
    433.3 KB · Views: 21
  • _20220809_191822.JPG
    _20220809_191822.JPG
    437.3 KB · Views: 16
  • 2183352_IMG_20191015_133306.jpg
    2183352_IMG_20191015_133306.jpg
    63 KB · Views: 16
Back
Top Bottom