Eldoret is even more developed than this Mwanza farm.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mombasa ilinganishwe na Dar ,nje ya hapo hakuna mji mwingine Tzn wa kusogeza pua yake kwa MombasaSomeone is comparing Mombasa to Mwanza? Are they high on something? View attachment 1653059View attachment 1653060View attachment 1653061View attachment 1653067View attachment 1653068View attachment 1653069View attachment 1653070View attachment 1653071View attachment 1653072View attachment 1653075
Mwanza bado sana kwa Mombasa. Kubalini yaisheView attachment 1653096View attachment 1653097View attachment 1653098View attachment 1653099View attachment 1653100View attachment 1653101View attachment 1653102View attachment 1653103View attachment 1653104View attachment 1653106View attachment 1653107View attachment 1653109View attachment 1653110View attachment 1653111View attachment 1653112
Tzn tungekuwa hata na mji mwingine japo size ya Mombasa ingeleta maana sana sasa hakuna kitu na bado wanazidi kuijenga Dar,huwezi sikia mtu anatoka Mikoani anataka kuhamia Mji mwingine tofauti na Dar au utoke Dar uhamie mikoani.Mwanza bado sana kwa Mombasa. Kubalini yaisheView attachment 1653096View attachment 1653097View attachment 1653098View attachment 1653099View attachment 1653100View attachment 1653101View attachment 1653102View attachment 1653103View attachment 1653104View attachment 1653106View attachment 1653107View attachment 1653109View attachment 1653110View attachment 1653111View attachment 1653112
Eldoret is even more developed than this Mwanza farm.
Ukitazama picha hii unaona uswahili na disorganization yaani ustaarabu zero,viongozi wa Tzn ni shida kweli kweli sijui wanaona fahari gani kuacha makazi holela kiasi hiki
Viongozi uchwaraUkitazama picha hii unaona uswahili na disorganization yaani ustaarabu zero,viongozi wa Tzn ni shida kweli kweli sijui wanaona fahari gani kuacha makazi holela kiasi hiki
Unapenda ukweli kaka.,Tzn tungekuwa hata na mji mwingine japo size ya Mombasa ingeleta maana sana sasa hakuna kitu na bado wanazidi kuijenga Dar,huwezi sikia mtu anatoka Mikoani anataka kuhamia Mji mwingine tofauti na Dar au utoke Dar uhamie mikoani.
Yaani kuwapeleka tu Dom makao makuu walikuwa wanapinga na kukataa ila kwa sababu za njaa wanaenda shingo upande
Inferiority complex tu., wanalazimisha tu mambo, ukweli uko wazi tu., ichoboy01 hapa huwa anateseka sana [emoji23][emoji23]., anaweza nyonga mtu..,Someone is comparing Mombasa to Mwanza? Are they high on something? View attachment 1653059View attachment 1653060View attachment 1653061View attachment 1653067View attachment 1653068View attachment 1653069View attachment 1653070View attachment 1653071View attachment 1653072View attachment 1653075
Ss wewe maku unasema Tz ni Dar na Dar ni Tz zen hapo hapo huwa unamsifia JK kwamba alikuwa kiongozi bora, kwahiyo alikuwa wapi kuendeleza miji mingine? Hapo hapo huwa unaponda Magu anapojenga miundombinu sehemu nyingine kwa kusema kuwa hazina potential, mbn wewe malaya ni shetani wa kiwango cha ajabu sana kuwahi kutokea nchi hii, Mana hata mmeo ZZK hakufikii kwa unafki huu.Katika kitu kizuri kwa Kenya ni hili la kuwa na angalau mji 1 ambao una misuli ya kiuchumi ya kushindana na Nairobi,hii ni diversification nzuri unlike Tzn ambako Dar ndio kila kitu na Tzn ndio Dar nje ya hapo hakuna mji wa kusogeza pua kwa Dar huku Tzn,miji yote ni vijiji
Hii ni mbaya sana economically maana fursa kama soko nk nk ziko mji 1 tuu
Katika kitu kizuri kwa Kenya ni hili la kuwa na angalau mji 1 ambao una misuli ya kiuchumi ya kushindana na Nairobi,hii ni diversification nzuri unlike Tzn ambako Dar ndio kila kitu na Tzn ndio Dar nje ya hapo hakuna mji wa kusogeza pua kwa Dar huku Tzn,miji yote ni vijiji
Hii ni mbaya sana economically maana fursa kama soko nk nk ziko mji 1 tuu
Chuki binafsi zinafanya mpk anachukia nchi yake mbwa huyu.Labda kama hujaenda Tanzania hivi karibuni. Lkn kama umeenda, kuna uwekezaji mkubwa sana unaoendelea Dodoma, kanda ya ziwa, Arusha etc
Jk ndio aliongoza Tzn peke yake toka 1961? Jk aliifungua mikoa mingi ya Tzn kwa barabara,ilitarajiwa Magu amalizie lakini Hadi sasa hakuna kinachoendelea zaidi ya Chato,Dom na Dar tuu.Ss wewe maku unasema Tz ni Dar na Dar ni Tz zen hapo hapo huwa unamsifia JK kwamba alikuwa kiongozi bora, kwahiyo alikuwa wapi kuendeleza miji mingine? Hapo hapo huwa unaponda Magu anapojenga miundombinu sehemu nyingine kwa kusema kuwa hazina potential, mbn wewe malaya ni shetani wa kiwango cha ajabu sana kuwahi kutokea nchi hii, Mana hata mmeo ZZK hakufikii kwa unafki huu.
Uwekezaji gani huo,wa kujenga stand au? Akili kisoda nyie watu wanazidi kuogelea kwenye umaskiniLabda kama hujaenda Tanzania hivi karibuni. Lkn kama umeenda, kuna uwekezaji mkubwa sana unaoendelea Dodoma, kanda ya ziwa, Arusha etc
Jk ndio aliongoza Tzn peke yake toka 1961? Jk aliifungua mikoa mingi ya Tzn kwa barabara,ilitarajiwa Magu amalizie lakini Hadi sasa hakuna kinachoendelea zaidi ya Chato,Dom na Dar tuu.
Malizieni barabara ndio zinawasaidia watu sio mareli yenu hayo afu WB bank umesikia wanasema uchumi ukoje huko?
Mtaishia kutoa mapovu na kujifariji kwa matusi ila mkipotosha nawaumbua
Tzn tungekuwa hata na mji mwingine japo size ya Mombasa ingeleta maana sana sasa hakuna kitu na bado wanazidi kuijenga Dar,huwezi sikia mtu anatoka Mikoani anataka kuhamia Mji mwingine tofauti na Dar au utoke Dar uhamie mikoani.
Yaani kuwapeleka tu Dom makao makuu walikuwa wanapinga na kukataa ila kwa sababu za njaa wanaenda shingo upande
Mombasa ilinganishwe na Dar ,nje ya hapo hakuna mji mwingine Tzn wa kusogeza pua yake kwa Mombasa
Nawashangaa wakenya mnajisumbua,hizi picha mungeweka kula Dar vs Mombasa ndio zinge make sense sio kujiabisha kwa kubishana na mataga waliojaa upuuzi wakati ukweli wanaujua.Mwanza ni takataka tuu labda ilinganishe na Kisii huko
Ss wewe maku unasema Tz ni Dar na Dar ni Tz zen hapo hapo huwa unamsifia JK kwamba alikuwa kiongozi bora, kwahiyo alikuwa wapi kuendeleza miji mingine? Hapo hapo huwa unaponda Magu anapojenga miundombinu sehemu nyingine kwa kusema kuwa hazina potential, mbn wewe malaya ni shetani wa kiwango cha ajabu sana kuwahi kutokea nchi hii, Mana hata mmeo ZZK hakufikii kwa unafki huu.
Labda kama hujaenda Tanzania hivi karibuni. Lkn kama umeenda, kuna uwekezaji mkubwa sana unaoendelea Dodoma, kanda ya ziwa, Arusha etc
Chuki binafsi zinafanya mpk anachukia nchi yake mbwa huyu.
Jk ndio aliongoza Tzn peke yake toka 1961? Jk aliifungua mikoa mingi ya Tzn kwa barabara,ilitarajiwa Magu amalizie lakini Hadi sasa hakuna kinachoendelea zaidi ya Chato,Dom na Dar tuu.
Malizieni barabara ndio zinawasaidia watu sio mareli yenu hayo afu WB bank umesikia wanasema uchumi ukoje huko?
Mtaishia kutoa mapovu na kujifariji kwa matusi ila mkipotosha nawaumbua
Ukweli ni uchungu sana kwa blind patriotism [emoji28][emoji28][emoji23][emoji23], vitu vingine viko too obvious kupinga, ni aibu na dharau watu wanajiletea humu.Wee si umesema huko ni stand tu ndiyo zinajengwa?
Umeongea vyemaKatika kitu kizuri kwa Kenya ni hili la kuwa na angalau mji 1 ambao una misuli ya kiuchumi ya kushindana na Nairobi,hii ni diversification nzuri unlike Tzn ambako Dar ndio kila kitu na Tzn ndio Dar nje ya hapo hakuna mji wa kusogeza pua kwa Dar huku Tzn,miji yote ni vijiji
Hii ni mbaya sana economically maana fursa kama soko nk nk ziko mji 1 tuu
Anayesema Mwanza bado kulingana na Mombasa anatakiwa kupimwa akili sio bure,Kwa Mwanza hii wakenya mtabaki midomo wazi.Wale WA kulinganisha kijiji cha Mwanza na Mombasa bado mpo? View attachment 1653125View attachment 1653126View attachment 1653127View attachment 1653128View attachment 1653129View attachment 1653130View attachment 1653131View attachment 1653132View attachment 1653133View attachment 1653134View attachment 1653135View attachment 1653142View attachment 1653144View attachment 1653145