It is the matter of time before people realize how Evil Elon Musk is

It is the matter of time before people realize how Evil Elon Musk is

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Elon anaonekana anaendeshwa na chuki kali, ubaguzi wa rangi, na hofu dhidi ya makundi fulani.

  • Ukweli kwake ni yale tu anayoyakubali, na chochote kinacasichokikubali kwake ni uongo.
  • Hapendi kuulizwa maswali.
  • Anataka kuwa juu ya kila kitu; aliwahi kumshambulia Sam Altman na baadaye kuanzisha AI yake mwenyewe, akitamani kuwa mmiliki wa ChatGPT.
  • Pia ana chuki dhidi ya Waislamu. Ingawa Trump ni mbaya zaidi lakini kuambatana kwa pamoja kumefanya combo yao kuwa hatari zaidi
  • Hajali kuhusu ubinadamu au chochote kingine; anajali tu kuhusu yeye mwenyewe na utajiri wake.
  • Kwa mtu yeyote mwenye fikra huru, ni wakati wa kutomchukulia kwa uzito.
Ni suala la muda tu, watu wataona rangi zake halisi.

=====================================================

The man seems to be driven with deep hate, racism and phobia of some groups.
-It is only the truth if he likes it and lie when is against him
  • he does not want to be questioned.
  • he want to be on top of everything, he once attacked Sam altaman and later came up with his own AI, he wish he could be the owner of chatgpt.
He also have hate against Muslims, I think Trump is worse, but he made more mistake to take him as well, adding more misery.
- he does not care about humanity or anything, he only care about himself and his fortune. fro any open minded person, it is time to not take the guy serious

It is the matter of time, people will see his true color.

1736089290272.png
 
The man seems to be driven with deep hate, racism and phobia of some groups.
-It is only the truth of he likes it and lie when is against him
  • he does not want to be question
  • he want to be on top of everything, he want attacked Sam altaman and tick and later cape app with his own ai, he wish he could be the owner of chatgpt.
_he also have hate against Muslims, I think Trump is worse, but he made more mistake to take him as well, adding more misery.
- he does not care about humanity or anything, he only care about himself and his fortune. fro any open minded person, it is time to not take the guy serious

It is the matter of time, people will see his true color.
View attachment 3193335
Namwonaga msanii na mtu mwenye wivu.
Kwa open ai ana hoja japo hoja yake imejengwa ajuu ya wivu maana alikuwa watu wa mwanzo waanzilishi wa open ai na ilikuwa ibaki kama non profit hivyo anapitia hapo kuzuia isiwe kwa ajili ya faida maana anaona watapiga ela na ataikosa kwa kujitoa.
Na ni kweli hapendi kuhojiwa wakati yeye anahoji wenzake.
Mjanja mjanja na anatumia ujanja wake kumanipulate financial markets sometimes ili apige faida.
 
Namwonaga msanii na mtu mwenye wivu.
Kwa open ai ana hoja japo hoja yake imejengwa ajuu ya wivu maana alikuwa watu wa mwanzo waanzilishi wa open ai na ilikuwa ibaki kama non profit hivyo anapitia hapo kuzuia isiwe kwa ajili ya faida maana anaona watapiga ela na ataikosa kwa kujitoa.
Na ni kweli hapendi kuhojiwa wakati yeye anahoji wenzake.
Mjanja mjanja na anatumia ujanja wake kumanipulate financial markets sometimes ili apige faida.
You are a good man if you have notes that.
Kuna kipindi aliiandama Venezuela kume alinyimwa resources flani. Ila time will expose him.
 
Unaandika kiiengereza cha kibongo, bora ungeandika kiswahili tu. Umekosea ulipoandika anawachukia muslims, ambao a.k.a yao ni kobazi. Acha kufanya kundi hilo ni la kinyonge sana duniani wakati vurugu zao zinajulikana mpaka magaidi hujinasibu ni muslims
Unauwezo mdogo wa akili ilizidiwa na hisia, husezi kuelewa
 
Unaandika kiiengereza cha kibongo, bora ungeandika kiswahili tu. Umekosea ulipoandika anawachukia muslims, ambao a.k.a yao ni kobazi. Acha kufanya kundi hilo ni la kinyonge sana duniani wakati vurugu zao zinajulikana mpaka magaidi hujinasibu ni muslims
Bonge la mbaguzi huyu!
 
Back
Top Bottom