It is the matter of time before people realize how Evil Elon Musk is

Asili yake inazungumza
 
Huyo ndo mdau wa free speech in 21 th Century.
 
Tafuta hela ww acha kuita watu wenye pesa zao waovu.
 
Mwenye kumbukumbu yeyote naomba anikumbushe, "lini mliwahi kumsikia muislam au jumuia ya kiislam ikimsifia mtu au taasisi isio ya Kiislamu" Aanzie hapa Tanzania na popote
 
Zionists wana nguvu sana, wakati anainunua twitter aliwahi kuwatukana Waisrael..... Mambo yakabadilika sana baada kuonekana Israel kashikishwa ukuta(western wall), ni kama aliomba msamaha nyuma ya pazia na akapewa masharti magumu.

Zioz controls $$$$
 
Si busara Kum attack mtu ambaye Wala hausian na wew!!
1.Yeye si raisi wako
2. Si mzazi wako
3. Si kiongozi wako wa dini
4. Si mkeo/mumeo kiasi umpangie lifestyle
5. Si mbunge wako.
Sioni logic ya kumzungumzia mtafutaji kamA watafutaji wengine!!! Ni sawa kwenda kwa Mo dewji uanze kusema kwann haendi kanisani! Basi ni mbaguzi!

Tafuta pesa ufanane nae level, then kwea pepa nenda kamchane live, acha kuleta maneno ya kusema sema watu
 
Kale ka msemo ka kobaz kuwa waisiamu wanaongoza kwa pesa duniani kaliishia wapi ?
 
We ni mjinga bado uko kwenye level za kujadili kina Zuchu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…