It is worth it.......

Duh FLY you got me mpaka uliposema "mtashtiti" na kumalizia na "Na hili kaseme" :]
 
Hahahaaa....mi nipo kama sipo.

Hawa watu wanaharasha kweli kweli...

Lakini ndo hivyo "power corrupts and absolute power corrupts absolutely".

Inabidi umezee sometimes japo hutaki
 
Hawa watu wanaharasha kweli kweli...

Lakini ndo hivyo "power corrupts and absolute power corrupts absolutely".

Inabidi umezee sometimes japo hutaki

Yaani we acha tu! Saa ingine wanakufanya ujisikie kama uko 'persona non grata'. Ila ndo hivyo tena...wengine neno 'kushindwa' halipo kwenye msamiati wetu.

Ila hata iweje, haondoki mtu hapa. Tutabanana humu humu! Lol
 
Yaani we acha tu! Saa ingine wanakufanya ujisikie kama uko 'persona non grata'. Ila ndo hivyo tena...wengine neno 'kushindwa' halipo kwenye msamiati wetu.

Ila hata iweje, haondoki mtu hapa. Tutabanana humu humu! Lol

Kazi wanayo mbona!
 

gotcha bro... just see the cheese and imagine its there after a week, with all the wadudus slowwwly diminishing our expected returns, and oopps the trap dislodge and its all for one and one for all

 
Ah hii thread imenifanya niamini kuwa watu humu ni MaGreat thinkers! Yaani nimecheka hadi ndotoni! Haya bana nxt time tutaangalia Archimedes Principle and its application in mapenzi na mahusiano! Hah
 
Energy can neither be created nor destroyed .....


Kama penzi halipo halipo tu hata ufukuzie mpaka kiama kisimame!

kind think the same

Baada ya kusema hayo namba mniambie hapa tunazungumzia laws za thermodynamics au? MJ1 tuisheni sh ngapi kwa siye MEMKWA
 
Kaka kwanza shkamoo.
Pili nimekumisi.
Tatu nakushukuru for everything (natumia principles za kibunge, nadhani niko sahihi)
Nne nijibu swali: utangulizi- tatizo la memkwa bila blackboard na chaki hamuelewi.
Hapa zaongelewa applications of the thermodynamics laws kwa maisha haya ya sasa hivi, case study ya MJ1

kind think the same

Baada ya kusema hayo namba mniambie hapa tunazungumzia laws za thermodynamics au? MJ1 tuisheni sh ngapi kwa siye MEMKWA
 
kind think the same

Baada ya kusema hayo namba mniambie hapa tunazungumzia laws za thermodynamics au? MJ1 tuisheni sh ngapi kwa siye MEMKWA
MEMKWA... ohhh MEMKWA!!!

at least cousin umezungumzia thermodynamics na sio thermos na cheese ya Mbu
 
Reactions: Mbu

.....lol....klorokwini unaniangusha bana....khaaaaaaaaa? "....kwi kwi kwi!"

 
Ningekua na uwezo ningelifuta hilo la kuzungushana.Sasa unamzungusha mtu for what?Huwa linanikera sana,na hilo ni moja ya mambo ambayo linanipa uvivu kumtokea mwanamke,huwa napata hasira sana!
 
Energy can neither be created nor destroyed .....


Kama penzi halipo halipo tu hata ufukuzie mpaka kiama kisimame!

.....pheeeewwww! ubarikiwe sana kwa bandiko hili....
...penzi la kuunga unga na sellotape...hahaha...MMU never fails to amaze me!
 
Ningekua na uwezo ningelifuta hilo la kuzungushana.Sasa unamzungusha mtu for what?Huwa linanikera sana,na hilo ni moja ya mambo ambayo linanipa uvivu kumtokea mwanamke,huwa napata hasira sana!

unamzungusha mtu ili umuelewe vizuri. Maneno tu hayatoshi. Lol.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…