It is worth it.......


Kamanda, I do agree with u, but mind u I'd rather define the red part of your post as "probabilities" rather than "general truth", and if I am right then, "probabilities" always have two opposing sides (never mind the ratio) . So While you and Mbu are defending only "A" side, am busy showing the "B" side as well (which I think ndio ilikuwa lengo la thread, I might be wrong though).
 
kweli wewe ni pilato.... yani yote hiyo ni kuongeza tu muda wa kesi ili uendelee kula alawanzi na fizi ya klayanti sio??? yani unakua kama statistician ambaye husema "hata ikiwa 99.999% bado kuna chance ya unlikelyhood"??

I rest my case aisee.... NGOJA NIENDELEE NA DAYDREAMING YANGU
 
hahah kamanda now u r talking, halaf nadhani ile Mbu kuweka picha ya tego lake la panya pia imenisababisha nijifanye kutetea hako ka 0.0001 %. Kumbuka JF inasomwa hadi North korea kamanda lol
 
hahah kamanda now u r talking, halaf nadhani ile Mbu kuweka picha ya tego lake la panya pia imenisababisha nijifanye kutetea hako ka 0.0001 %. Kumbuka JF inasomwa hadi North korea kamanda lol

Hii kali aisee, ngoja kamanda Mbu na kamanda MJ1 waje wafanye majumuisho ya tego kabla jury haijakaa
 

...dahhhh, hapo kwenye red naomba uifungulie thread siku nyingine tuifanyie mdahalo...
halafu, post #13 wewe umeitafsiri vipi kwani banaaaa?....lol!



...kamanda, nimemuuliza mod wa jukwaa hili, anasema kwenye red unaweza kurudia kuandika kwa herufi kubwa!
"Calling a spade a spade!"


ayaaaa!?....hebu soma tena hapa;

"Ina maanisha
unapotumia muda mwingi kumtokea mpenzi automatikali unatransfer mapenzi yako kwake- unapotumia nguvu nyingi ndipo anapoamini kuwia unampenda kiukwelii na atakapokukubali atakukubali kwa moyo mkunjufu."

...hebu acha ushabiki bana, are U still convinced na "utetezi" huu?, ...unless umejiamulia
"safari ya punda kwa picha ya karoti!"



..umeona ee?...dahhhh!?


hahah kamanda now u r talking, halaf nadhani ile Mbu kuweka picha ya tego lake la panya pia imenisababisha nijifanye kutetea hako ka 0.0001 %. Kumbuka JF inasomwa hadi North korea kamanda lol

...lol...umeshindwa kabisa ku connect the dots? hebu unganisha na msemo huu..."the second mice gets the cheese!"

Hii kali aisee, ngoja kamanda Mbu na kamanda MJ1 waje wafanye majumuisho ya tego kabla jury haijakaa

kamanda kesi tushashinda hii, JURY tayari nishawasoma wana unanimous decision....klorokwini bado tu kang'ang'ania mic, khaaa!?
 

hehehe dah kesi ngumu lol

Mkuu Mbu unless uniambie unaongelea "specific scenario" basi nitarest my case lakini otherwise its very clear kwamba wapo wadada wanaotumia muda kuwaelewa wakaka na saikolojia ya mwanamke inakubalina na hili, at the same time wapo wadada wanaotumia kipengele cha ku buy time as an excuse ya kuwakataa wasiowataka, hizi principle zote mbili zinakubalika na zinatokana na weakness acting ya saikolojia ya kinadada.

Acha nimquote tena MJ1 kama ulivyomkoti
"Ina maanisha unapotumia muda mwingi kumtokea mpenzi automatikali unatransfer mapenzi yako kwake- unapotumia nguvu nyingi ndipo anapoamini kuwia unampenda kiukwelii na atakapokukubali atakukubali kwa moyo mkunjufu."

nikiondoa neno automatikali hapo juu all I can see ni mdada ambae ameamua kutumia energy ya mwanaume kwenye uvumilivu kuwa ni kigezo cha mapenzi (which sounds at least to me kwamba she is so correct).

Back to u:
How could u conclude there is a second mouse? mmmh am I missin something here?, Are we dealing with a specific case?. hahaha I must admit , yep I did not connect them dots right cuz I never imagined there could be a second mouse. (Ref: oroginal post of the thread)
 

hapana kaka, tupo ukurasa mmoja mpaka hapa iwapo tu kuna kigezo cha kupimwa uaminifu.

2nd mouse anatokana na game of chance kama alivyotanabahisha MTM...
sio lazima i apply kwenye situation zote.

kinachonipa mashaka kwenye mdahalo huu, ni pamoja na hiyo kauli kwamba
- ndipo anapoamini kuwia unampenda kiukwelii na atakapokukubali atakukubali kwa moyo mkunjufu.-
haijakaa vizuri aisee, mwj1 kwa mara nyingine tena anafungua mlango wa "usukule" hapa...
msome tena Bishanga post #89 kuhusu "mwanamme king'ang'anizi!"
 

Enhee sasa nimekupata kamanda , na trust me hapo tuko sambamba kabisa, na hiyo buluu kuna neno ningelitumia lakini liko so negative, na MJ1 ni client mtiifu sasa bora niuchune tu. (the way ninavyokuelewa am sure ushaelewa nilichofikiria lol)
 
Reactions: Mbu
Enhee sasa nimekupata kamanda, na trust me hapo tuko sambamba kabisa, na hiyo buluu kuna neno ningelitumia lakini liko so negative, na MJ1 ni client mtiifu sasa bora niuchune tu. (the way ninavyokuelewa am sure ushaelewa nilichofikiria lol)

umeona ee?....basi uchune tu...hilo neno ukilitumia hapa, kiukweli nitakuombea indefinately ban toka kwa mod kiongozi,
sitakubali unitukanie mwj1 hapa...
 
Jamani mdahalo huu umekuwa mtamu sana unfoprtunately ndo narudishiwa umeme! Naomba nijiunge nanyi kesho tukijaaliwa.

Klorokwin aksante sana Shem langu, MTM na Mbu nina maswali yenu kibao hapa.
 
Jamani mdahalo huu umekuwa mtamu sana unfoprtunately ndo narudishiwa umeme! Naomba nijiunge nanyi kesho tukijaaliwa.

Klorokwin aksante sana Shem langu, MTM na Mbu nina maswali yenu kibao hapa.

lol...maswali tena? haya, bismillah...
ulale unono.

 
It is worth it.......sometimes yes, sometimes no!! Yabidi kuangalia na muelekeo wa unayemuimbisha!

Kipipi nakubalianana wewe kuwa inategemea so it is worthy but kutegemeana na muelekeo wa anayeimbishwa! Kwa sababu kama anakuyeyusha zipo dalili zake kwa mtu makini lakini kama ni kuzungushwa genuinely utagundua pia
 

♪ ♫....whistling!.....♪ ♫
Hahahahah hii bana hapana Mbu ulitakiwa uweke two scenerio hiyo yenye mtego na nyingine isokuwa na mtego. Mtego unainfluence behavior ya panya bana akiuona au hisi kuwa kuna mtego basi cheese lazima iozee hapo bana!
 

Hahahahaha hii inanifanya nifikirie kile kitendawili cha kuku na yai kipi kilitangulia? Yaani wasichana wameisahau vipi hii Golden rule kama waliotakiwa kupewa wenyewe hawahihitaji tena? Mwanamke anapofuatwa anawezaamua kukukubali haraka haraka kwa kuwa anahofia akichelewesha mwanaume utamwacha na kwenda kwa mwingine ambaye atakukubali haraka haraka. But usipomwonyesha presha ya kukata tamaa unaweza ukajikuta unazila mbivu zilizoivia mtini na si za kuvundika. So given in a situation where wanaume watahitaji 'wanawake wa-take their time pasipo kukata tamaa- Newton's law can be applied
 
MwanajamiiOne naomba nitofautiane na wewe,kiuhalisia hii principle hai apply siku hizi coz mwanaume ukichelewesha msichana anakushangaa siku hizi ni tit for tat huwa najuta sometimes kwa nn hata nime flirt na mtu

Bushloiaz nimekuelewa na kinachonishangaza ni what happened to change this, kama iliwezekana kipindi kile kwa nini leo haiwezekani??
 



....MTM hizo za kufukuziana khaaa?...labda tuangalie 'kibiashara' zaidi, present value na future worth...




klorokwini ushaanza maswali yako ya kipolisi, ...Objection Sustained!...

Duh so demand imeincrease purchasing power inapungua duh!! Lakini kuna haja ya kuongezea line ya Quality hapo then tufanye regression Mbu.
 
Reactions: Mbu
Duh so demand imeincrease purchasing power inapungua duh!! Lakini kuna haja ya kuongezea line ya Quality hapo then tufanye regression Mbu.
he!! umesahau kwamba hakuna law yoyote inayoapply kwenye demand na supply chain njuruu?? hata hii hapa chini (which literally applies to kids and kids-wannabe
 
Reactions: Mbu
...lol....mwj1....ningependa siku moja utuwekee mdahalo huu wa conditional expectations yanavyo apply kwenye mapenzi.
" If X and Y are independent, then the expectation of Y conditionally to X = X is equal to the (unconditional) expectation of Y..."

he!! umesahau kwamba hakuna law yoyote inayoapply kwenye demand na supply chain njuruu?? hata hii hapa chini (which literally applies to kids and kids-wannabe
View attachment 41503

...'free-fall' excitements hizo mkuu...mambo ya gravity, kinetic energy na potential energy hayo kamanda,
sasa ukija kwenye mapenzi, nambie nani ana enjoy hizi free falls? ...I Dont!

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…