Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado machozi yanakubugujika au 😅😅Nitampeleka ephen apate uzoefu Kabla ya kujiandaa kwa majukumu mazito atakapokuwa Mrs Mwashambwa
Hilo sio tatizo, akiwa na consistency ya miaka miwili Hadi mitatu seriously anakuwa mkali tu sanaaa huenda hata zaidi ya walio mtanguliaShida ya Bongo IT anajifunza codes yupo Chuo anamiaka labda 19 kuendelea unategemea uwezo wake ufanane na wa Mzungu anayejifunza codes akiwa na miaka 10.
UKO SERIOUS KWELI???Hilo sio tatizo, akiwa na consistency ya miaka miwili Hadi mitatu seriously anakuwa mkali tu sanaaa huenda hata zaidi ya walio mtangulia
Nafundisha na nina project kubwa kabisa.. kama mtu ana consistency ya 2 Year yupo mbali kabisaUKO SERIOUS KWELI???
Unaijua codes? Au unahisi ni notes za history unakalili?
Na machozi ya furaha...Lucas Mwashambwa amebubujikwa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣IT wa bongo wanajua kuweka mziki kwenye flash tu
Msaidieni kukiendeleza kipaji chake, uelekeo umeshaonekana.Kuna ka kijana kangu katundu sana ngoja niendelee kukaacha kavumbue vumbue vitu..kuna siku katuambia kitu kwny gari hata hatukuwa tunajua kama kunauwezekano wa kufanya hivyo...ni vingi tuu amekua msaada japo yupo drs la 5....kuna siku katakua huko kwa Elon musk
Sawa jitihada zinamfanya mtu awe bora lakini mzungu mwenye consistency ya codes toka akiwa na miaka kumi experience yake sio sawa na mbongo mwenye consistency ya codes toka akiwa na miaka 19. Hata Elon Musk alianza kujishughulisha na computer tangu akiwa mdogo.Hilo sio tatizo, akiwa na consistency ya miaka miwili Hadi mitatu seriously anakuwa mkali tu sanaaa huenda hata zaidi ya walio mtangulia
Huyo siyo IT. Ni tap kid, yaani wale wanaotatua matatizo ya tech device kwa kugoogle au kuangalia tutorials za YouTube.Bongo hamna IT ni wazugaji tu.
Nilipeleka simu yangu kwa jamaa aliyesifika kuwa ni nguli wa ku unlock network.
Nilipofika pale akanitajia bei nikasema poa nitalipia akaniambia kaa hapo. Kacheza nayo pale mezani na laptop yake kama lisaa hivi kila akigusa ngoma ngumu.
Baada ya muda jamaa akashusha laptop chini so nikawa sioni kinachoendelea.
Then kama sekunde kadhaa akiwa huko chini nikasikia "welcome guys this is my YouTube channel and today we'll learn how to unlock network" kabla hata haijamaliza nikamwambia hiyo tutorial ya huyo muhindi hata mimi nimeiangalia.
Akasimama akasema "eeeeh basi hii haiwezekani mzee"
Code ni sanaa, code ni kichwa cha mtu namna alivyopesi kufikiri na kupata majibu. Kuna hao wabongo walio julia code ukubwani, wanafanya vizuri sana huko ulaya kuliko hao waliojifunza utotoni..Sawa jitihada zinamfanya mtu awe bora lakini mzungu mwenye consistency ya codes toka akiwa na miaka kumi experience yake sio sawa na mbongo mwenye consistency ya codes toka akiwa na miaka 19. Hata Elon Musk alianza kujishughulisha na computer tangu akiwa mdogo.
Sio miaka 10, ni miaka 4.Shida ya Bongo IT anajifunza codes yupo Chuo anamiaka labda 19 kuendelea unategemea uwezo wake ufanane na wa Mzungu anayejifunza codes akiwa na miaka 10.
Acheni kulalamika, mwamba ametoa shavu bila masharti magumu!Hakuna cha unamjua fulani, tuma kazi yako!
View: https://x.com/elonmusk/status/1879531470886465545
😂😂😂😂 Hii ilinitokea pia kariakoo, fundi nguli kafail, akasema nakuja., akatokomea huko😏Bongo hamna IT ni wazugaji tu.
Nilipeleka simu yangu kwa jamaa aliyesifika kuwa ni nguli wa ku unlock network.
Nilipofika pale akanitajia bei nikasema poa nitalipia akaniambia kaa hapo. Kacheza nayo pale mezani na laptop yake kama lisaa hivi kila akigusa ngoma ngumu.
Baada ya muda jamaa akashusha laptop chini so nikawa sioni kinachoendelea.
Then kama sekunde kadhaa akiwa huko chini nikasikia "welcome guys this is my YouTube channel and today we'll learn how to unlock network" kabla hata haijamaliza nikamwambia hiyo tutorial ya huyo muhindi hata mimi nimeiangalia.
Akasimama akasema "eeeeh basi hii haiwezekani mzee"