futa machozi basiiiduh!!! afadhali tutapumzika na maudhi yako kidogo!!!
siasa ww ndio inakufaa!!!
All the best.
duh!!! afadhali tutapumzika na maudhi yako kidogo!!!
siasa ww ndio inakufaa!!!
All the best.
Mmmmh,kweli susy?
Nili kuboa kiasi hiko?
jamaniiiiii
Naenda kujinoa,nikija ntakua balaa,...i promise (either negatively or positively)
Hiyo ina mfaa zaidi,maana susy ni mtu wa kulalamika tu mda wote!
Asante mkuu,naona mda wa ban kunifikia una karibia so nitawamiss sana