It was nice being with you MMU

It was nice being with you MMU

Speaker

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2010
Posts
6,324
Reaction score
2,240
Nimefurahia mda mfupi nilio kaa nanyi humu MMU,
Tofauti na kwenye siasa huku nilicheka na kutabasamu!
Nachukua likizo ndefu ya BAN,nitarudi Mungu akijaaria!

One love MMU
 
:A S 13:.........sitakiiiiiiiiiii..............:A S-omg:
 
duh!!! afadhali tutapumzika na maudhi yako kidogo!!!

siasa ww ndio inakufaa!!!

All the best.

Mmmmh,kweli susy?
Nili kuboa kiasi hiko?
jamaniiiiii
 
duh!!! afadhali tutapumzika na maudhi yako kidogo!!!

siasa ww ndio inakufaa!!!

All the best.

sasa susy mbona unamfukuza bana!.. alafu avatar yako mpya imekaa kimajonzi zaidi.. mi naipenda ile ya zamani
 
sasa susy mbona unamfukuza bana!.. alafu avatar yako mpya imekaa kimajonzi zaidi.. mi naipenda ile ya zamani

Hiyo ina mfaa zaidi,maana susy ni mtu wa kulalamika tu mda wote!
 
Naenda kujinoa,nikija ntakua balaa,...i promise (either negatively or positively)

hapa pananitia shaka zaidi!!!!!! huwenda ukirudi ukapata ban baada ya siku 2.
 
hapa pananitia shaka zaidi!!!!!! huwenda ukirudi ukapata ban baada ya siku 2.

Awapi,najua jinsi ya ku-play safe hapa siwezi pata ban hovyo hovyo
 
Back
Top Bottom