Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Kwan hata vile vikambi vilikua vyakupigwa kirahisi vile na mbona vikachapwa nawafadhili wakubwa wa ugaidi ulimwenguni US hawakujibu kitu mpaka leo hii [emoji23][emoji3]Pumba...kwa akili yako meli za USA niza kuzamishwa kirahisi ivyo.au unazani wakati waki zamisha USA atakua kasimama tu
Kama walivyokimbia wao baada ya kutandikwa pale AIN al ASAAD [emoji23][emoji23][emoji23]Wakianza tandikwa wanakimbia na kuacha makobasi nyuma mtaanza sema marekani anaburuga nchi za wenzake. Marekani habari ingine kabisa
Zikipita tu ayatollah lazima apige simu UNKwan hata vile vikambi vilikua vyakupigwa kirahisi vile na mbona vikachapwa nawafadhili wakubwa wa ugaidi ulimwenguni US hawakujibu kitu mpaka leo hii [emoji23][emoji3]
Sent using My COVID-19
Ndugu hayo madude yanafaa kwa nchi kama Tz na sio Iran.Zikipita tu ayatollah lazima apige simu UN View attachment 1429942View attachment 1429943
Nilichouliza ndo nilichomaanisha, we jibu swali blah! blah! Hazisaidii.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bahati Mbaya Ama Nzuri Hua Siongelei Kiushabiki Hv Unawaza Nini Mpaka Unaifananisha RUSSIA na IRAN kijeshi ?!
Ama Hukukusudia RUSSIA !?.
Sent using My COVID-19
[emoji4]Ndugu hayo madude yanafaa kwa nchi kama Tz na sio Iran.
RUSSIANilichouliza ndo nilichomaanisha, we jibu swali blah! blah! Hazisaidii.
Sent using Jamii Forums mobile app
vipi Russia akimtandika iran, Iran atauweza kweli mziki wa Russia? au Russia ndo ataadhibiwa na Iran?RUSSIA
Sent using My COVID-19
Marekani hamna nchi inaiweza sababu wamjiimarisha duniani. Wana military base kila mahali. Yaani wakipbana na iran watakachofanya ni kusogeza manowari zilizo karibu na meli za kivita na kumaliza kazi huko huko iran huku us wakiwa wako bize na korona.
vipi Russia akimtandika iran, Iran atauweza kweli mziki wa Russia? au Russia ndo ataadhibiwa na Iran?
Sent using Jamii Forums mobile app
IRAN Sio RUSSIA tu Ama US IRAN Yeyote Atakaejitoa Ufahamu Atapewa Anachostahili Awe RUSSIA awe US awe UK awe GERMAN awe ISRAEL awe FRANCE ama Yeyote Atapewa Anachostahilivipi Russia akimtandika iran, Iran atauweza kweli mziki wa Russia? au Russia ndo ataadhibiwa na Iran?
Sent using Jamii Forums mobile app
akikujibu unitag ila atakwambia hawatakaa wapigane hao[emoji3][emoji16]
Uingereza atachezea kichapo kama amekaa, Tena kipigo cha mbwa koko.akikujibu unitag ila atakwambia hawatakaa wapigane hao[emoji3][emoji16]
Sent using My COVID-19
Mie siko kama wewe, kwa taarifa yako uingereza atatandikwa Kama mtoto mdogo.akikujibu unitag ila atakwambia hawatakaa wapigane hao[emoji3][emoji16]
Sent using My COVID-19
Uingereza atachezea kichapo kama amekaa, Tena kipigo cha mbwa koko.
Nimewajibu straight sio kama blah! blah! Zenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Atatandikwa kwakigezo gani kama TALEBAN Kakikundi cha Watu wawili watatu kimempelekesha Aje Ampige UK Anaumwa Labda Huyo UK ?!Uingereza atachezea kichapo kama amekaa, Tena kipigo cha mbwa koko.
Nimewajibu straight sio kama blah! blah! Zenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwishowe utasema hata majambazi tu yanayopora kule US yamewashinda[emoji23][emoji23]Unaweza ukajibu straight ila majibu yasiwe straightAtatandikwa kwakigezo gani kama TALEBAN Kakikundi cha Watu wawili watatu kimempelekesha Aje Ampige UK Anaumwa Labda Huyo UK ?!
Sent using My COVID-19
IRAN Hatakaa Apigwe Na US Nakama Anaweza Afanye Kama Anajaribu Tu AoneMwishowe utasema hata majambazi tu yanayopora kule US yamewashinda[emoji23][emoji23]
Vilevile mrusi anatandika Iran kama binti mdogo wa kike.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi mkuu.I keep saying,vita sio uwingi wa madege na mameli uliyo nayo.Ni morale,logistics na experience ya your fighters which matters.Wairan kwa haya yote ni moto wa kuotea mbali.Sasa Wasaudia wanatunia zaidi mercenaries,so no morale;hawana ujuzi wa silaha wanazozitumia na hawana experience ya vita.Wairan are real fighters and war hardened.Wanajua pia silaha zao vizuri kwa kuwa ni indigenous,besides ni nzuri.
Na vipi marekani kule Vietnam na Somalia ilipochezea kichapo cha mbwa koko mpka akakimbia?
Sent using Jamii Forums mobile app