Duuh!Kwa ufinyu wako wa akili.
Fiscal year 2016/2017 1.5 trillions ilipotea hazina. Fiscal year 2017/2018 1.2 trillions ilipotea hazina na hizi zote ziliripotiwa na CAG kwenye ripoti na akazuia uchunguzi huru. Ben Saanane, Azory na Watanzania wengi walipotea na wengine kuokotwa miili yao ufukweni mwa bahari akazuia uchunguzi huru. Shambulizi la Lissu aliloamuru na kusimamiwa na Bashite pia alizuia uchunguzi huru. Wapuuzi kama wewe ni tatizo kubwa nchini. View attachment 1825705
nilikua nasema siku zote ,kuna kizazi cha kikoloni kinatakiwa kiishe. kizazi kile ukiwa nae kalibu hata siku ukivaa vizuri kuliko yeye anachukia anaweza hata kukufukuza kazi.Kwa hakika wazee wetu hao wamekufa na kamwe hatutawaona tena na huo ndiyo ukweli!
Lakini pamoja na vifo vyao ukweli ni kwamba kuja kumpata Rais mwenye maamuzi na asiye mwoga wa matendo na kufanya kama wale wazee si leo hakika.
BM & JPM walikuwa ni wazee wa kuamua na kutenda pasi kujali lolote liwalo ama baya ama jema wao walikuwa ni waamini wa kutenda na pia walionelea bora lawama kuliko fedheha.
Mungu awalaze mahali pema wazee wetu wale.
Huwezi kumfananisha Magufuli na Mkapa, Magufuli anafanana na Idd Amin DadaKwa hakika wazee wetu hao wamekufa na kamwe hatutawaona tena na huo ndiyo ukweli!
Lakini pamoja na vifo vyao ukweli ni kwamba kuja kumpata Rais mwenye maamuzi na asiye mwoga wa matendo na kufanya kama wale wazee si leo hakika.
BM & JPM walikuwa ni wazee wa kuamua na kutenda pasi kujali lolote liwalo ama baya ama jema wao walikuwa ni waamini wa kutenda na pia walionelea bora lawama kuliko fedheha.
Mungu awalaze mahali pema wazee wetu wale.
Yaan una wasifu watu wasiojua kutenganisha baya na nzuri aisee! Kwel watz tunashida saana!Kwa hakika wazee wetu hao wamekufa na kamwe hatutawaona tena na huo ndiyo ukweli!
Lakini pamoja na vifo vyao ukweli ni kwamba kuja kumpata Rais mwenye maamuzi na asiye mwoga wa matendo na kufanya kama wale wazee si leo hakika.
BM & JPM walikuwa ni wazee wa kuamua na kutenda pasi kujali lolote liwalo ama baya ama jema wao walikuwa ni waamini wa kutenda na pia walionelea bora lawama kuliko fedheha.
Mungu awalaze mahali pema wazee wetu wale.
Kumsifia muuaji na katili Kama Magufuli ndo kuwa na akili?Huna akili wewe
Mkuu,wanaompenda Magufuli ni wagonjwa wa akili....Hakuna intellectual wa kumpenda katili yuleKwa ufinyu wako wa akili.
Fiscal year 2016/2017 1.5 trillions ilipotea hazina. Fiscal year 2017/2018 1.2 trillions ilipotea hazina na hizi zote ziliripotiwa na CAG kwenye ripoti na akazuia uchunguzi huru. Ben Saanane, Azory na Watanzania wengi walipotea na wengine kuokotwa miili yao ufukweni mwa bahari akazuia uchunguzi huru. Shambulizi la Lissu aliloamuru na kusimamiwa na Bashite pia alizuia uchunguzi huru. Wapuuzi kama wewe ni tatizo kubwa nchini. View attachment 1825705
Hawakuwa viongozi wazuri kwa karne hiii,walikuwa na hasira sana ,hawakutaka kukosolewa wakwende huko,wanashindwa hats na mtoto Mdogo Uhuru mwigai,wakufe tu.Kwa hakika wazee wetu hao wamekufa na kamwe hatutawaona tena na huo ndiyo ukweli!
Lakini pamoja na vifo vyao ukweli ni kwamba kuja kumpata Rais mwenye maamuzi na asiye mwoga wa matendo na kufanya kama wale wazee si leo hakika.
BM & JPM walikuwa ni wazee wa kuamua na kutenda pasi kujali lolote liwalo ama baya ama jema wao walikuwa ni waamini wa kutenda na pia walionelea bora lawama kuliko fedheha.
Mungu awalaze mahali pema wazee wetu wale.
Yeah labda kwa perspectives za wasiofikiria mambo kwa kina!Ni jambazi muuaji from your perspective, ni kiongozi bora from other folks perspective, kwa iyo usishupaze sana, ashakufa.
Eti ni kiongozi Bora from other perspective, aisee...si ajabu unachoongea kwa sababu hata shetani ana supporters wengi sana,ije kuwa Magufuli?Ni jambazi muuaji from your perspective, ni kiongozi bora from other folks perspective, kwa iyo usishupaze sana, ashakufa.
Magufuli alikuwa dikteta mwenye roho mbayaKwa hakika wazee wetu hao wamekufa na kamwe hatutawaona tena na huo ndiyo ukweli!
Lakini pamoja na vifo vyao ukweli ni kwamba kuja kumpata Rais mwenye maamuzi na asiye mwoga wa matendo na kufanya kama wale wazee si leo hakika.
BM & JPM walikuwa ni wazee wa kuamua na kutenda pasi kujali lolote liwalo ama baya ama jema wao walikuwa ni waamini wa kutenda na pia walionelea bora lawama kuliko fedheha.
Mungu awalaze mahali pema wazee wetu wale.
Aisee....JPM was a useless President ever, nilikuwaga najiuliza several times,huyu mtu twende naye hadi 2025? MUNGU hakika ni mkubwa,kamvuna mapema ili kuwaponya Watanzania na Balaa kubwa zaidi.Mkapa ni nafuu na Rais bora mara mia moja ya JPM.
JPM hakuwa na maarifa au uamuzi wenye busara.. Fikiria suala la korosho kupeleka jeshi akifikiri Serikali inaweza kufanya biashara..
JPM alifikiri kuwa na hela basi unahusika na wizi.. Alihusudu uhujumu uchumi na vyombo vya dola kama nguzo kuu ya kutisha watu na kutawala..
JPM hakupenda demokrasia na alikuwa akitaka kila mtu apende anachofikiria yeye.. Hata kama sio sahihi.. Mfano daraja la Tanzanite.. Pembeni ya Salender.. Ni aibu kufikiri litaondoa foleni
Umeandika kama uko kwenye mtikisiko ukifika andika upya!!Mkapa akili kubwa..! MAGUFULI ANA MAAMUZI MAGUMU NA MTENDAJI MZURI SEMA YUPO MANUAL!
SAMIA HAMNA KITU