Mwenyenzi Mungu naomba Kama kuna mtoto anaenda kuzaliwa mwenye roho mbaya, wivu,katili,mnafiki mithili ya yule uliyemkatilia mbali Kwa hasira yako, basi Mungu nakusihi mtoto huyo asizaliwe kamwe Katika Nchi hii ni bora ukamchukua ktk tumbo la mama yake ili Amani yako idumu katikati ya wana wa Nchi hii.Tuseme Ameeen!