Itachukua miaka mingi mno kuja kuwapata ma Rais wa kariba ya Mkapa na Magufuli

Mungu aepushie mbali tusijepata tena viongozi kama Mkapa na Magufuli.
 
Babu ulikuwa na cheti feki nini!
 
Hawa fesibukers na instagramaz wana shida sana na huyu wanayemuita babayao, hawana habari na yanayoendelea kwenye utawala wa nchi. ila sio kosa lao walikuwa wanaoneshwa upande mmoja tu, huu mwingine walikuwa hawaujui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…