Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Kwa Tanzania labda tujiulize kama tutapata tena mchezaji kama Hussein Amani Masha... (Kwa ile kucheza kwake kwa madaha na kupiga mapande yaliyoshiba) huku ametulia wala hana papara wala haraka) Yaani anapiga Tackling kama Viera na Mapande kama Andrea Pirlo