Itakuaje Iran ikitumia kombora la Hypersonic?

Itakuaje Iran ikitumia kombora la Hypersonic?

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Masaa yanakaribia, Itakuaje Iran wakitumia makombora ya hypersonic kumbuka lile Kombora sifa yake huwa halitunguliki yana Speed kuliko sauti.

Maana nimeona Israel anavyohaha kuweka raia kwenye mahandaki, leo ni siku ya nne watu wamelala kwenye mahandaki kama Panya!!

Jamaa wanahaha kuactivate air defence system zao ni hofu imetawala kila mahali huko Israel silaha zinahamishwahamishwa kila saa kuhofia makombora na moto mkalo kutokea Iran

Iran akiamua kutumia hypersonic Israel itapokea uharibifu na hasara kubwa mno kuwahi kutokea!!

Hakika kisasi cha Iran hakijawah muacha mtu salama....Waisrael waendelee kujificha ila Wairan wanakuja
images - 2024-04-05T114518.156.jpg
View attachment 2954373
images - 2024-04-05T114410.065.jpg
 
Acha wauawe tu hao makafiri, wameshapoteza maelfu ya wasio na hatia, wameuwa mpaka Mitume wa Mwenyezi Mungu! Sio wa kuacha hao
 
Masaa yanakaribia, Itakuaje Iran wakitumia makombora ya hypersonic kumbuka lile Kombora sifa yake huwa halitunguliki yana Speed kuliko sauti.

Maana nimeona Israel anavyohaha kuweka raia kwenye mahandaki, leo ni siku ya nne watu wamelala kwenye mahandaki kama Panya!!

Jamaa wanahaha kuactivate air defence system zao ni hofu imetawala kila mahali huko Israel silaha zinahamishwahamishwa kila saa kuhofia makombora na moto mkalo kutokea Iran

Iran akiamua kutumia hypersonic Israel itapokea uharibifu na hasara kubwa mno kuwahi kutokea!!

Hakika kisasi cha Iran hakijawah muacha mtu salama....Waisrael waendelee kujificha ila Wairan wanakujaView attachment 2954372View attachment 2954373View attachment 2954374
Ng'ombe atachinjwa atakavyo lala
 
Iran wawe makini , tujifunze kwa Ukraine na Sadam Husein, Rusia ametumia hayo makombora ya hypersonic huko Ukraine lakini wapi! Sadamu alisifiwa kuwa atampiga USA, leo yako wapi? Hizo hypersonic za Iran zinazidi Nyuklia ambayo Israel anayo? Iran anaweza kuovercome air force ya Israel? Vita ya Israel na Iran itachukua mwezi mmoja tu kazi itakuwa imeisha. Mtaanza kusema Israel inaua watoto nchini Iran. So tuombe vita isitokee, Iran anaweza kuchezea nchi za NATO na USA lakini siyo Israel, hao wana huruma lakini siyo myahudi ambaye alishanusa kifo kipindi cha Hitra.
 
Iran wawe makini , tujifunze kwa Ukraine na Sadam Husein, Rusia ametumia hayo makombora ya hypersonic huko Ukraine lakini wapi! Sadamu alisifiwa kuwa atampiga USA, leo yako wapi? Hizo hypersonic za Iran zinazidi Nyuklia ambayo Israel anayo? Iran anaweza kuovercome air force ya Israel? Vita ya Israel na Iran itachukua mwezi mmoja tu kazi itakuwa imeisha. Mtaanza kusema Israel inaua watoto nchini Iran. So tuombe vita isitokee, Iran anaweza kuchezea nchi za NATO na USA lakini siyo Israel, hao wana huruma lakini siyo myahudi ambaye alishanusa kifo kipindi cha Hitra.

Mahaba yasiyotumia akili ni mabaya sana. Yaani Israel hii hii inayoingia Miezi sita na Hamasa tena katika kaeneo kadogo kama kijiji ndo itumie mwezi moja tu kuisambaratisha Iran. Kwa Mzungu na Mwaarabu hawakutuacha salama.
 
Masaa yanakaribia, Itakuaje Iran wakitumia makombora ya hypersonic kumbuka lile Kombora sifa yake huwa halitunguliki yana Speed kuliko sauti.

Maana nimeona Israel anavyohaha kuweka raia kwenye mahandaki, leo ni siku ya nne watu wamelala kwenye mahandaki kama Panya!!

Jamaa wanahaha kuactivate air defence system zao ni hofu imetawala kila mahali huko Israel silaha zinahamishwahamishwa kila saa kuhofia makombora na moto mkalo kutokea Iran

Iran akiamua kutumia hypersonic Israel itapokea uharibifu na hasara kubwa mno kuwahi kutokea!!

Hakika kisasi cha Iran hakijawah muacha mtu salama....Waisrael waendelee kujificha ila Wairan wanakujaView attachment 2954372View attachment 2954373View attachment 2954374
Akitumia hilo kombora Iran itafutwe, na utawala wa Ayatollah utakuwa umeishia hapo
 
Iran wawe makini , tujifunze kwa Ukraine na Sadam Husein, Rusia ametumia hayo makombora ya hypersonic huko Ukraine lakini wapi! Sadamu alisifiwa kuwa atampiga USA, leo yako wapi? Hizo hypersonic za Iran zinazidi Nyuklia ambayo Israel anayo? Iran anaweza kuovercome air force ya Israel? Vita ya Israel na Iran itachukua mwezi mmoja tu kazi itakuwa imeisha. Mtaanza kusema Israel inaua watoto nchini Iran. So tuombe vita isitokee, Iran anaweza kuchezea nchi za NATO na USA lakini siyo Israel, hao wana huruma lakini siyo myahudi ambaye alishanusa kifo kipindi cha Hitra.
Anachokozwa ili ajae, awape watu sababu. Bora ajibu kwa kiwango cha kawaida tu.
 
Mahaba yasiyotumia akili ni mabaya sana. Yaani Israel hii hii inayoingia Miezi sita na Hamasa tena katika kaeneo kadogo kama kijiji ndo itumie mwezi moja tu kuisambaratisha Iran. Kwa Mzungu na Mwaarabu hawakutuacha salama.
Anao uwezo wa kumpiga hata cku mbili na Iran akanyoosha mikono ikiwa tu atatumia nyuklia. Lakin sio kwa silah nyingine. Pili Iran na Israel tatizo lao ni la kijografia zaid. Umbali. Vita havipiganwi na makombora mzee. Yenyewe yapo kurahisisha njia. Vita ni vya ardhini so Iran au Israel kwa umbali uliopo kupigana vita vya ardhini ni ngumu. Tatu. Mataifa yote ya kiarabu hasa ya kisuni hawaiungi mkono Iran
 
Iran wawe makini , tujifunze kwa Ukraine na Sadam Husein, Rusia ametumia hayo makombora ya hypersonic huko Ukraine lakini wapi! Sadamu alisifiwa kuwa atampiga USA, leo yako wapi? Hizo hypersonic za Iran zinazidi Nyuklia ambayo Israel anayo? Iran anaweza kuovercome air force ya Israel? Vita ya Israel na Iran itachukua mwezi mmoja tu kazi itakuwa imeisha. Mtaanza kusema Israel inaua watoto nchini Iran. So tuombe vita isitokee, Iran anaweza kuchezea nchi za NATO na USA lakini siyo Israel, hao wana huruma lakini siyo myahudi ambaye alishanusa kifo kipindi cha Hitra.
Vita ya kupigana na vitoto vya Hamas imechukua mwezi tu??kama hamas wanawatoa kamas watamuweza mnyama mkali kama iran?
 
Masaa yanakaribia, Itakuaje Iran wakitumia makombora ya hypersonic kumbuka lile Kombora sifa yake huwa halitunguliki yana Speed kuliko sauti.

Maana nimeona Israel anavyohaha kuweka raia kwenye mahandaki, leo ni siku ya nne watu wamelala kwenye mahandaki kama Panya!!

Jamaa wanahaha kuactivate air defence system zao ni hofu imetawala kila mahali huko Israel silaha zinahamishwahamishwa kila saa kuhofia makombora na moto mkalo kutokea Iran

Iran akiamua kutumia hypersonic Israel itapokea uharibifu na hasara kubwa mno kuwahi kutokea!!

Hakika kisasi cha Iran hakijawah muacha mtu salama....Waisrael waendelee kujificha ila Wairan wanakujaView attachment 2954372View attachment 2954373View attachment 2954374
Ninachohisi,Iran haitarusha kombora lao direct from their territory. Watatumia base nyingine kuhadaa dunia. Otherwise tuhesabu Teheran itakuwa majivu in a matter of a minute. Aliyekuwa anatafutwa kupitia vita ya Gaza ni Iran baba la ugaidi
 
Itakuwa vzr mkuu ili tujue upande wa pili kuna nini? kwa kuwa siyo kila silaha inayotengenezwa huwa inatangazwa...
 
Back
Top Bottom