Itakuaje Iran ikitumia kombora la Hypersonic?

Itakuaje Iran ikitumia kombora la Hypersonic?

Thread Imejaa Mahaba Kama Ndoa Ya Mke Mmoja
Asili Ya Vita Kila Mmoja Lazima Ajilinde Kwa Namna Anavyojua
Mahandaki Kwa Wenzetu Ni Sehemu Ambazo Ni Muhimu Na Zipo Kwa Matumizi Mbalimbali

Mfano Tanzania Hapo Safu Za Milima Ya Usambara Nasi Tungekuwa Na Yetu
Likitokea Lolote Watu Wanaingia
 
Vita ya Gaza ni complicated sababu Hamas wanajificha kwenye mashimo wanashambulia kwa kustukiza na wanaweka wamama na watoto kama ngao wanakaa kwenye majengo public na raia ukiwapiga lazima utaua raia ila kwa Iran ikipigana na Israel itakua open war kabisa Kambi za kesho za Iran ziko open kabisa zinajulikana itampa isarel muda mfupi kupiga targets zake
 
Yale masaa 48 ya waarabu wetu kulipua bado tu?
Masaa 48 hajatoa iran alisema USA kwa taarifa za intelligence zao sijui wametoa wapi na nyinyi ndio mnatuambia hata Russia alitoa saa 72 kuifuta ukraine hila ukitafuta source ya taarifa hupati uongo ndio sehemu ya maisha yenu
 
Hao makafiri wa shia wasithubutu kutupa hata ganda la ndizi ndani ya Israel na kama hawaamini basi wajaribu waone.
 
Vita ya Gaza ni complicated sababu Hamas wanajificha kwenye mashimo wanashambulia kwa kustukiza na wanaweka wamama na watoto kama ngao wanakaa kwenye majengo public na raia ukiwapiga lazima utaua raia ila kwa Iran ikipigana na Israel itakua open war kabisa Kambi za kesho za Iran ziko open kabisa zinajulikana itampa isarel muda mfupi kupiga targets zake
Kwaiyo mkuu ulitaka hamas wakae sehem za wazi?
 
Kwaiyo mkuu ulitaka hamas wakae sehem za wazi?
Kwann wajifiche nyuma ya raia Yan wanajichanganya na raia Ili ukipiga unaua na watoto ionekane issue ya genocide wavae uniform za jeshi wapigane kiume hii vita ya Gaza bila Dunia kuingilia kati ni kwel Israel atapiga kila kitu maana Hana muda wa kuchambua nani sie nani ndie
 
Masaa yanakaribia, Itakuaje Iran wakitumia makombora ya hypersonic kumbuka lile Kombora sifa yake huwa halitunguliki yana Speed kuliko sauti.

Maana nimeona Israel anavyohaha kuweka raia kwenye mahandaki, leo ni siku ya nne watu wamelala kwenye mahandaki kama Panya!!

Jamaa wanahaha kuactivate air defence system zao ni hofu imetawala kila mahali huko Israel silaha zinahamishwahamishwa kila saa kuhofia makombora na moto mkalo kutokea Iran

Iran akiamua kutumia hypersonic Israel itapokea uharibifu na hasara kubwa mno kuwahi kutokea!!

Hakika kisasi cha Iran hakijawah muacha mtu salama....Waisrael waendelee kujificha ila Wairan wanakujaView attachment 2954372View attachment 2954373View attachment 2954374
🤣🤣 Iran hebu tumia hizo hypersonic anasubiri nn ? Au saa 48 bado dunian kuna maajabu sana
 
Thread Imejaa Mahaba Kama Ndoa Ya Mke Mmoja
Asili Ya Vita Kila Mmoja Lazima Ajilinde Kwa Namna Anavyojua
Mahandaki Kwa Wenzetu Ni Sehemu Ambazo Ni Muhimu Na Zipo Kwa Matumizi Mbalimbali

Mfano Tanzania Hapo Safu Za Milima Ya Usambara Nasi Tungekuwa Na Yetu
Likitokea Lolote Watu Wanaingia
Lakini Israel inaona ni haramu kwa Hamas kuwa na maandaki
 
Iran wawe makini , tujifunze kwa Ukraine na Sadam Husein, Rusia ametumia hayo makombora ya hypersonic huko Ukraine lakini wapi! Sadamu alisifiwa kuwa atampiga USA, leo yako wapi? Hizo hypersonic za Iran zinazidi Nyuklia ambayo Israel anayo? Iran anaweza kuovercome air force ya Israel? Vita ya Israel na Iran itachukua mwezi mmoja tu kazi itakuwa imeisha. Mtaanza kusema Israel inaua watoto nchini Iran. So tuombe vita isitokee, Iran anaweza kuchezea nchi za NATO na USA lakini siyo Israel, hao wana huruma lakini siyo myahudi ambaye alishanusa kifo kipindi cha Hitra.
Unatia huruma sana, yaani Israel ina jeshi bora kuliko NATO?? Yaani hata marekani ni cha mtoto kuliko Wahuni wa Telaviv
 
Masaa yanakaribia, Itakuaje Iran wakitumia makombora ya hypersonic kumbuka lile Kombora sifa yake huwa halitunguliki yana Speed kuliko sauti.

Maana nimeona Israel anavyohaha kuweka raia kwenye mahandaki, leo ni siku ya nne watu wamelala kwenye mahandaki kama Panya!!

Jamaa wanahaha kuactivate air defence system zao ni hofu imetawala kila mahali huko Israel silaha zinahamishwahamishwa kila saa kuhofia makombora na moto mkalo kutokea Iran

Iran akiamua kutumia hypersonic Israel itapokea uharibifu na hasara kubwa mno kuwahi kutokea!!

Hakika kisasi cha Iran hakijawah muacha mtu salama....Waisrael waendelee kujificha ila Wairan wanakujaView attachment 2954372View attachment 2954373View attachment 2954374
Unajua hypersonic ni spidi gani, na kombora hilo linafanyake kazi au unasoma stori za propaganda tu.
 
Iran wawe makini , tujifunze kwa Ukraine na Sadam Husein, Rusia ametumia hayo makombora ya hypersonic huko Ukraine lakini wapi! Sadamu alisifiwa kuwa atampiga USA, leo yako wapi? Hizo hypersonic za Iran zinazidi Nyuklia ambayo Israel anayo? Iran anaweza kuovercome air force ya Israel? Vita ya Israel na Iran itachukua mwezi mmoja tu kazi itakuwa imeisha. Mtaanza kusema Israel inaua watoto nchini Iran. So tuombe vita isitokee, Iran anaweza kuchezea nchi za NATO na USA lakini siyo Israel, hao wana huruma lakini siyo myahudi ambaye alishanusa kifo kipindi cha Hitra.
😂😂😂😂 Kaka hapa unaongelea ushabiki tu. Kama umepitia makala ya Operation Entebe ilofanywa na israel kuwaokoa mateka wao Uganda ambako ni thousands of Kms from Israel, imeshindwaje mpaka sasa kuokoa mateka wao ambao mpaka sasa hawajui wamefichwa wapi ndani ya Gaza ambayo wanashea mpaka??
Israel tunai overrate sisi wenyewe, lakini ukiangalia jinsi inavyoendesha operation yake Gaza unaona kabisa ni kama Panya road wamevamia mtaa.
Iran sio Gaza, wala Iran sio Syria, wala Iran sio Uganda au Jordan.
Acha ushabiki nenda kwenye uhalisiaa.
Iran wawe makini , tujifunze kwa Ukraine na Sadam Husein, Rusia ametumia hayo makombora ya hypersonic huko Ukraine lakini wapi! Sadamu alisifiwa kuwa atampiga USA, leo yako wapi? Hizo hypersonic za Iran zinazidi Nyuklia ambayo Israel anayo? Iran anaweza kuovercome air force ya Israel? Vita ya Israel na Iran itachukua mwezi mmoja tu kazi itakuwa imeisha. Mtaanza kusema Israel inaua watoto nchini Iran. So tuombe vita isitokee, Iran anaweza kuchezea nchi za NATO na USA lakini siyo Israel, hao wana huruma lakini siyo myahudi ambaye alishanusa kifo kipindi cha Hitra.
😂😂😂😂 Kaka hapa unaongelea ushabiki tu. Kama umepitia makala ya Operation Entebe ilofanywa na israel kuwaokoa mateka wao Uganda ambako ni thousands of Kms from Israel, imeshindwaje mpaka sasa kuokoa mateka wao ambao mpaka sasa hawajui wamefichwa wapi ndani ya Gaza ambayo wanashea mpaka??
Israel tunai overrate sisi wenyewe, lakini ukiangalia jinsi inavyoendesha operation yake Gaza unaona kabisa ni kama Panya road wamevamia mtaa.
Iran sio Gaza, wala Iran sio Syria, wala Iran sio Uganda au Jordan.
Acha ushabiki nenda kwenye uhalisiaa.
 
Wapo watu wanaodhani irani anapiga mikwara kwa israel. Ukwel ni kwamba, irani ndio mastermind wa yote anayofanyiwa israel na vikundi vya iraq, syria, lebanon na yemen.

Mpaka sasa inatosha kusema irani inampiga vikali israel.
Wengi tunategemea irani ilushe bomu kutoka tehran. Hilo halotokaa litokee. Irani itamshambulia israel kupitia nje ya tehran.

Israel anatumika kumchokonoa irani ili irani ajibu directly ipatikane sababu ya kumvamia.

Tusitegemee irani atajibu kama tunavyotaka
 
Mahaba yasiyotumia akili ni mabaya sana. Yaani Israel hii hii inayoingia Miezi sita na Hamasa tena katika kaeneo kadogo kama kijiji ndo itumie mwezi moja tu kuisambaratisha Iran. Kwa Mzungu na Mwaarabu hawakutuacha salama.
Hio vita na Hamas isingekuwa pressure ya kimataia, Israel ana uwezo wa kuifuta Gaza chini ya saa 24, lakini maafa yataluwa makubwa sana.
 
Maislam mnashadadia sana Iran aipe Israel ila soon mnaanza hoooo Israel anaua Waislam
 
Masaa ya Iran yanaenda polepole Sana maana 48 hours sasa ni wiki.
 
Ninachohisi,Iran haitarusha kombora lao direct from their territory. Watatumia base nyingine kuhadaa dunia. Otherwise tuhesabu Teheran itakuwa majivu in a matter of a minute. Aliyekuwa anatafutwa kupitia vita ya Gaza ni Iran baba la ugaidi
😂😂😂
 
Screenshot_20241013-222943.png
 
Back
Top Bottom