kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,500
- 5,164
Acha utani ww E FM inasikilizwa mikoani huko usiongee kitu kama hujafanya research na kwa burudani sasa hiv ndiyo TV ipo vizur hasa hata ubora wa picha za ETV hata hao Clouds TV hawafiki .E FM wenyewe wanaonekana kushindwa, walekua ktk game 2016 2017 lkn hadi kufikia Leo, naona bado hawajatoboa tena hao wana TV wana radio, sembuse msanii wa kawaida!!!?
Clouds Tv sio tv ile,channel mwaka mzima inaonesha fiesta[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]Istoshe ETV sasa hv Wapo vizuri zaidi ya Clouds tv
Aiseee ila kweli aisee yule mdada mgumuu cjui hata ni kabila ganKomando ni jay dee
Ooh hao channel ten ndio wana hali mbaya sana mkuu, yaani hapa bongo ITV itaendelea kuwakimbiza sana tuClouds Tv sio tv ile,channel mwaka mzima inaonesha fiesta[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Channel za vijana zenye tija ni etv na eatv.
Channel ten siku hizi wameyumba sana.
Ruge ndiyo alisanda na baada ya sugu kuanza harakati bungeni akimkomalia Ruge ishu ya mikataba na kodi za wasaan wa nje enzi za fiesta , na ugovi Mkubwa ilikuwa ni ule mradi aliomtapeliwa na ruge wa malaria na ishu zingineSugu hapana mkuu,Sugu kasanda,ugomvi wao uliisha kwa kigezo cha kusema Mbowe alikutana na Ruge hili waweze kupata mwafaka...SUGU kashamaliza ugomvi na Ruge.
ITV nae kwa sasa azam anamuachaOoh hao channel ten ndio wana hali mbaya sana mkuu, yaani hapa bongo ITV itaendelea kuwakimbiza sana tu
Mkurya ajawai kuomba msamaha paka leoAiseee ila kweli aisee yule mdada mgumuu cjui hata ni kabila gan
Mwambie huyo afu muulize ishu ya ubunifu wao na hata TV yao ubora wa graphics kibongo bongo E TV ni ya pili baada ya Azam TV kwenye ubora wa picha zaoE Fm ulitaka watoboaje kwa mfano.
Redio ambayo imeanza 2016 leo inasikika mikoa 10 masafa ya Fm na inasikika dunia nzima kwenye mtandao na inasikika nch nzima kwenye madish ya azam.
Aisee nani alianza ndani ya mwaka akasambaa mikoa 10?
Wamejitahidi sana
Azam n kweli wanamuonekano mzuri sana kuzidi ITV sema ITV anawapiga gape wenzie kwakua na mpangilio mzuri wa vipindiITV nae kwa sasa azam anamuacha
Mtu wa mkoa wa Mara yule wakina wambula ni kabila gan huko maraAiseee ila kweli aisee yule mdada mgumuu cjui hata ni kabila gan
Sugu alipatanishwa na Nchimbi,
Sasa unaweza kusema kasanda alisandaje kwa mfano?Clouds walikuwa wakimponda kwenye kampeni za 2010 kapita,haya 2015 ndo kaongoza kwa kura and he's still moving,sasa huyo amesanda kweli?
Aaah mkuu hap umenifunguaa maan nasikiaa sikiaa dai kajenga madale nikajua ana ekal za kutoxhaa kumbe kam me tyu huku kwetuu hhaha ASANTE MUNGU KIMBE NAMI SIOO MDOGO SNAA KAM NAVYOZANIIIHapana sizungumzii sehemu,nazungumzia msanii kama yeye kuishi kwenye kiwanja kama kiganja cha mkono.....Sehemu zote ni sawa tu,tena nje ya mji ndio kuzuri,ona kina 50 cent wanakaa nje ya mji ila ana ekari za kutosha.
Ndio maana nyuma yuko karibu sana na kinje,kumbe ni snowmanDimond hana Uwezo wa kufungua Radio na TV,kuna watu wapo nyuma,achaneni na maisha ya instagram na facebook ya wasanii,maisha ya uhalisia ni tofauti na instagram,awamu ya 4 dimond alikuwa anatumia migongo ya kina rizmoko kufanya dili zake za "SNOW",Dimond mziki haumlipi hata kidogo,Show anazofanya wakati ana kundi la watu 20 wote hiyo hiyo hela ya show zinatosha? Hata akipiga show kwa 20m,mtagawana vipi? Fela,Tale,Mwarabu koko salamu,Dancers,Walinzi etc
Kwasasa wanajipendekeza kwa BASHITE awape madili haramu kama enzi za awamu ya nne,endorsements za dimond za kuhesabu ambazo haziwezi kumlipa mpaka kununua nyumba instagram iliyopo S.A,mtu mwenye hela hawezi kuishi kwenye kiwanja cha 25 kwa 25 madale,ilitakiwa awe na 140m kwa 140m ESTATE na si viwanja ukijenga hata Gari mbili ndani haziingii.
Wasanii maisha yao yote ni maigizo tu.
Tuambie gharama zake kwa kua unazijuaHivi unajua gharama ya msanii kufanya kazi na mtu kama rick ross
Hii ya mradi wa maralia tunalishwa tango poli?Sugu alipatanishwa na Nchimbi,
Sasa unaweza kusema kasanda alisandaje kwa mfano?Clouds walikuwa wakimponda kwenye kampeni za 2010 kapita,haya 2015 ndo kaongoza kwa kura and he's still moving,sasa huyo amesanda kweli?
Wewe hapa hujachangia?,au hiyo wewe unaiitaje?Mliochangia huu uzi wote mnagongwa na tumbili.
Mkuu upo deep kwene haya mambo kuna kipindi walisema dai ananunua royce rolls ukasema hana kipato cha kumiliki ndiga hyo watu walikuponda mwisho wa siku mpaka leo hyo gari sijui iliishia wapi, ukweli ndio huo ana pesa za bando na nauli tu ya south africaDimond hana Uwezo wa kufungua Radio na TV,kuna watu wapo nyuma,achaneni na maisha ya instagram na facebook ya wasanii,maisha ya uhalisia ni tofauti na instagram,awamu ya 4 dimond alikuwa anatumia migongo ya kina rizmoko kufanya dili zake za "SNOW",Dimond mziki haumlipi hata kidogo,Show anazofanya wakati ana kundi la watu 20 wote hiyo hiyo hela ya show zinatosha? Hata akipiga show kwa 20m,mtagawana vipi? Fela,Tale,Mwarabu koko salamu,Dancers,Walinzi etc
Kwasasa wanajipendekeza kwa BASHITE awape madili haramu kama enzi za awamu ya nne,endorsements za dimond za kuhesabu ambazo haziwezi kumlipa mpaka kununua nyumba instagram iliyopo S.A,mtu mwenye hela hawezi kuishi kwenye kiwanja cha 25 kwa 25 madale,ilitakiwa awe na 140m kwa 140m ESTATE na si viwanja ukijenga hata Gari mbili ndani haziingii.
Wasanii maisha yao yote ni maigizo tu.