kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,500
- 5,164
Acha utani ww E FM inasikilizwa mikoani huko usiongee kitu kama hujafanya research na kwa burudani sasa hiv ndiyo TV ipo vizur hasa hata ubora wa picha za ETV hata hao Clouds TV hawafiki .E FM wenyewe wanaonekana kushindwa, walekua ktk game 2016 2017 lkn hadi kufikia Leo, naona bado hawajatoboa tena hao wana TV wana radio, sembuse msanii wa kawaida!!!?
Nazan baada ya muda atakuwa vizuri zaid wameanza vizuri sana