Itakuaje siku Diamond akiwaomba radhi clouds TV?

Itakuaje siku Diamond akiwaomba radhi clouds TV?

kawaida kuomba radhi mkuu .. only strong people can do that .. sio kila mtuuu anaweza ... chuki haijawahi kumuacha mtu salama...
 
Mkuu upo deep kwene haya mambo kuna kipindi walisema dai ananunua royce rolls ukasema hana kipato cha kumiliki ndiga hyo watu walikuponda mwisho wa siku mpaka leo hyo gari sijui iliishia wapi, ukweli ndio huo ana pesa za bando na nauli tu ya south africa
hongera wew una zaidi yake
Hili bifu la clouds fm na WCB kiasi fulani linanishangaza
na linanipa maswali kibao......

But nakumbuka jinsi TID enzi zake anajiita 'TOP IN DAR'
alivyowavimbia clouds hadi siku ile anaitisha press na kuwaomba msamaha...
wengi kwa kweli hatukuamini na hatukuelewa hasa anaomba msamaha kwa kosa
gani? na hata alipoulizwa why unaomba msamaha alishindwa kujibu..

Kwa sasa mashabiki wa Diamond wanasema clouds si lolote si chochote
WCB ni kubwa kuliko CLOUDS......sasa najiuliza tu je huu mpambano nani atashindwa?
je 'wataalam ' wa fitna safari hii wamekutana uso kwa uso?
na siku ikitokea Diamond au meneja wake yeyote anawaomba msamaha clouds...
itakuaje?...

Binafsi nna maswali kibao....
1.ugomvi huu hasa chanzo ni nini?
2.Mkubwa Fella yuko upande upi?
3.tv ya WCB ni yao wao au wana sponsor? sponsor wao ni nani?
4.Ruge na Salaam wana bifuu lingine la personal?
5.mikataba ya Diamond kwenye karanga na perfume itakuwa canceled ?
6.victims wa beef hili watachagua upande?...

WCB wakiweza hili beef kuibuka washindi naona ndo itakua mwanzo wa mwisho wa clouds
kuwa na nguvu hii kwenye industry but je wataweza?

au na wao wataishia kama TID na Ruby kuja kuomba msamaha?
 
Hili bifu la clouds fm na WCB kiasi fulani linanishangaza
na linanipa maswali kibao......

But nakumbuka jinsi TID enzi zake anajiita 'TOP IN DAR'
alivyowavimbia clouds hadi siku ile anaitisha press na kuwaomba msamaha...
wengi kwa kweli hatukuamini na hatukuelewa hasa anaomba msamaha kwa kosa
gani? na hata alipoulizwa why unaomba msamaha alishindwa kujibu..

Kwa sasa mashabiki wa Diamond wanasema clouds si lolote si chochote
WCB ni kubwa kuliko CLOUDS......sasa najiuliza tu je huu mpambano nani atashindwa?
je 'wataalam ' wa fitna safari hii wamekutana uso kwa uso?
na siku ikitokea Diamond au meneja wake yeyote anawaomba msamaha clouds...
itakuaje?...

Binafsi nna maswali kibao....
1.ugomvi huu hasa chanzo ni nini?
2.Mkubwa Fella yuko upande upi?
3.tv ya WCB ni yao wao au wana sponsor? sponsor wao ni nani?
4.Ruge na Salaam wana bifuu lingine la personal?
5.mikataba ya Diamond kwenye karanga na perfume itakuwa canceled ?
6.victims wa beef hili watachagua upande?...

WCB wakiweza hili beef kuibuka washindi naona ndo itakua mwanzo wa mwisho wa clouds
kuwa na nguvu hii kwenye industry but je wataweza?

au na wao wataishia kama TID na Ruby kuja kuomba msamaha?
Kuna kuomba msamaha hapo ,
Diamond anawalipa watu zaidi ya 50+ hela na khamisa + matunzo na nyumba aliyodai kununua South+madale
Hii life awaulize kina Davido ,Tecno Whizy wana Base.
Mziki hawapigii njaa, by the wao huwaoni hawa jamaa ni maarufu duniani kutembea na bouncer,wala mameneja 20,kuongozana na mama zao, watoto,wapambe kwe tour moja.
Zari kashacheza na akili za huyu dogo wa Tandale.
 
Mkuu upo deep kwene haya mambo kuna kipindi walisema dai ananunua royce rolls ukasema hana kipato cha kumiliki ndiga hyo watu walikuponda mwisho wa siku mpaka leo hyo gari sijui iliishia wapi, ukweli ndio huo ana pesa za bando na nauli tu ya south africa
Haya kumekucha Da Mange anamwaga mambo hadharani huko Insta saa hizi.

Ruge ndio manager wa Diamond under cover of Babu Tale na Sallam.
Kuna kuomba msamaha hapo ,
Diamond anawalipa watu zaidi ya 50+ hela na khamisa + matunzo na nyumba aliyodai kununua South+madale
Hii life awaulize kina Davido ,Tecno Whizy wana Base.
Mziki hawapigii njaa, by the wao huwaoni hawa jamaa ni maarufu duniani kutembea na bouncer,wala mameneja 20,kuongozana na mama zao, watoto,wapambe kwe tour moja.
Zari kashacheza na akili za huyu dogo wa Tandale.
 
Hili bifu la clouds fm na WCB kiasi fulani linanishangaza
na linanipa maswali kibao......

But nakumbuka jinsi TID enzi zake anajiita 'TOP IN DAR'
alivyowavimbia clouds hadi siku ile anaitisha press na kuwaomba msamaha...
wengi kwa kweli hatukuamini na hatukuelewa hasa anaomba msamaha kwa kosa
gani? na hata alipoulizwa why unaomba msamaha alishindwa kujibu..

Kwa sasa mashabiki wa Diamond wanasema clouds si lolote si chochote
WCB ni kubwa kuliko CLOUDS......sasa najiuliza tu je huu mpambano nani atashindwa?
je 'wataalam ' wa fitna safari hii wamekutana uso kwa uso?
na siku ikitokea Diamond au meneja wake yeyote anawaomba msamaha clouds...
itakuaje?...

Binafsi nna maswali kibao....
1.ugomvi huu hasa chanzo ni nini?
2.Mkubwa Fella yuko upande upi?
3.tv ya WCB ni yao wao au wana sponsor? sponsor wao ni nani?
4.Ruge na Salaam wana bifuu lingine la personal?
5.mikataba ya Diamond kwenye karanga na perfume itakuwa canceled ?
6.victims wa beef hili watachagua upande?...

WCB wakiweza hili beef kuibuka washindi naona ndo itakua mwanzo wa mwisho wa clouds
kuwa na nguvu hii kwenye industry but je wataweza?

au na wao wataishia kama TID na Ruby kuja kuomba msamaha?
Mange ameshajibu yote hayo....karipoti kwenye page yake plzzz
 
Halafu ingekuwa rahisi wao kupigana na clouds kama
wangekuwa hawashirikiani kwa lolote
sasa wao kumbe karanga na perfume ni biashara za clouds..
halafu wanakuja kutunisha misuli hapo sijawaelewa kabisa...
MISS YOU BROTHER
 
Back
Top Bottom