Itakuaje Tanzania na DR Congo zikiungana?

Itakuaje Tanzania na DR Congo zikiungana?

GoldDhahabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2023
Posts
7,189
Reaction score
10,375
Ukiacha tabia za utekaji zilizoibuka nchini hivi karibuni na kasoro zinginezo ambazo zimekuwepo kwa miaka mingi, Tanzania bado ni kati ya nchi ambayo naamini Raia wa Congo wanatamani nchi yao ingekuwa na amani kama ya Tanzania.

Kama ikitokea kwa mfano, Baraza la Mawaziri la Congo DRC likapitisha azimio la kuisalimisha nchi yao ya DRC kwa Tanzania, kwamba Congo DRC iwe nchi moja na Tanzania, kwamba Rais wa Congo na mawaziri wote wa Congo wapangiwe majukumu mengine na Rais wa Tanzania, unafikiri ingekuwaje?

1. Tanzania ingekubali kuchukua nchi ya Congo DRC iwe sehemu ya ardhi yake ilhali ina migogoro lukuki?

2. Raia wa Congo wangelipokeaje hilo?

3. Machafuko ya Congo yangeweza kuisha?

4. Kama madai kuwa vurugu za Congo DRC zinachochewa na PK na M7 zina ukweli, wangeacha kufanya hivyo baada ya DRC kuwa ardhi ya Tanzania?

5. Wewe kama wewe ungekubali Congo DRC. iwe sehemu ya ya Tanzania? Kwamba Wakongo wawe raia Tanzania kama wewe ulivyo raia wa Tanzania?
 
Ukiacha tabia za utekaji zilizoibuka nchini hivi karibuni, na kasoro zinginezo ambazo zimekuwepo kwa miaka mingi, Tanzania bado ni kati ya nchi ambayo naamini Raia wa Congo wanatamani nchi yao ingekuwa na amani kama ya Tanzania.

Kama ikitokea, kwa mfano, Baraza la Mawaziri la Congo DRC likapitisha azimio la kuisalimisha nchi yao ya DRC kwa Tanzania, kwamba Congo DRC iwe nchi moja na Tanzania, kwamba Rais wa Congo na mawaziri wote wa Congo wapangiwe majukumu mengine na Rais wa Tanzania, unafikiri ingekuwaje?
1. Tanzania ingekubali kuchukua nchi ya Congo DRC iwe sehemu ya ardhi yake ilhali ina migogoro lukuki?

2. Raia wa Congo wangelipokeaje hilo?

3. Machafuko ya Congo yangeweza kuisha?

4. Kama madai kuwa vurugu za Congo DRC zinachochewa na PK na M7 zina ukweli, wangeacha kufanya hivyo baada ya DRC kuwa ardhi ya Tanzania?

5. Wewe kama wewe ungekubali Congo DRC. iwe sehemu ya ya Tanzania? Kwamba Wakongo wawe raia Tanzania kama wewe ulivyo raia wa Tanzania?
Kweli unacheza wewe...
Ni kujibebesha mzigo na shida za jirani ambazo hatuwezi kuzitatua katu. Lile ni shamba la bibi na hatuna ubavu wa kulilinda plus matatizo yetu miaka zaidi ya 60 baada ya uhuru bado ni yale yale hatujayatatua.
 
Ukiacha tabia za utekaji zilizoibuka nchini hivi karibuni, na kasoro zinginezo ambazo zimekuwepo kwa miaka mingi, Tanzania bado ni kati ya nchi ambayo naamini Raia wa Congo wanatamani nchi yao ingekuwa na amani kama ya Tanzania.

Kama ikitokea, kwa mfano, Baraza la Mawaziri la Congo DRC likapitisha azimio la kuisalimisha nchi yao ya DRC kwa Tanzania, kwamba Congo DRC iwe nchi moja na Tanzania, kwamba Rais wa Congo na mawaziri wote wa Congo wapangiwe majukumu mengine na Rais wa Tanzania, unafikiri ingekuwaje?
1. Tanzania ingekubali kuchukua nchi ya Congo DRC iwe sehemu ya ardhi yake ilhali ina migogoro lukuki?

2. Raia wa Congo wangelipokeaje hilo?

3. Machafuko ya Congo yangeweza kuisha?

4. Kama madai kuwa vurugu za Congo DRC zinachochewa na PK na M7 zina ukweli, wangeacha kufanya hivyo baada ya DRC kuwa ardhi ya Tanzania?

5. Wew.e kama wewe ungekubali Congo DRC. iwe sehemu ya ya Tanzania? Kwamba Wakongo wawe raia Tanzania kama wewe ulivyo raia wa Tanzania?
Hii ni ramli chonganishi na unatakiwa ushughulikiwe.Huko CHADEMA kimewaka halafu wewe unaongea mambo ya Congo.Tumalizane na Lisu kwanza Bro.
 
Tuhakikishe mashariki ya Kongo inajitenga na Kongo.

Halafu wajiunge huku ila tutoe Jimbo la Kivu

Tuhakikishe Lubumbashi inajitegemea.
 
Ukiacha tabia za utekaji zilizoibuka nchini hivi karibuni na kasoro zinginezo ambazo zimekuwepo kwa miaka mingi, Tanzania bado ni kati ya nchi ambayo naamini Raia wa Congo wanatamani nchi yao ingekuwa na amani kama ya Tanzania.

Kama ikitokea kwa mfano, Baraza la Mawaziri la Congo DRC likapitisha azimio la kuisalimisha nchi yao ya DRC kwa Tanzania, kwamba Congo DRC iwe nchi moja na Tanzania, kwamba Rais wa Congo na mawaziri wote wa Congo wapangiwe majukumu mengine na Rais wa Tanzania, unafikiri ingekuwaje?

1. Tanzania ingekubali kuchukua nchi ya Congo DRC iwe sehemu ya ardhi yake ilhali ina migogoro lukuki?

2. Raia wa Congo wangelipokeaje hilo?

3. Machafuko ya Congo yangeweza kuisha?

4. Kama madai kuwa vurugu za Congo DRC zinachochewa na PK na M7 zina ukweli, wangeacha kufanya hivyo baada ya DRC kuwa ardhi ya Tanzania?

5. Wewe kama wewe ungekubali Congo DRC. iwe sehemu ya ya Tanzania? Kwamba Wakongo wawe raia Tanzania kama wewe ulivyo raia wa Tanzania?
First of all hiyo ni impossible . Jamii tofauti, culture tofauti. Hakutakuwa na muungano hata iweje
 
Tutakuwa tumeamua kuingia kk wenye matatizo makubwa,kwa sababu resource nyingi za congo tunazo,ila tumefeli wenyewe ,fikiria mnakaa miaka mitano anagombea raisi kutoka Kongo na anashinda then aanze kumpeleka maendeleo majimbobya huko kwao ambapo hakuna hata bara bara
 
Halao hao wakongo ni watu wenye akili ,ni wajanja wajanga kama wanaigeria
 
Then congo ni vigumu kussetle migogoro yao,hawajawahi kuacha kugombea madaraka tokea miaka ya 1400,walikuwa ni watu wakupigana pigana wakigombea madaraka
 
Back
Top Bottom