Pre GE2025 Itakuwa Aibu sana kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania kutumikishwa na mtu mdogo kama Albert Chalamila

Pre GE2025 Itakuwa Aibu sana kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania kutumikishwa na mtu mdogo kama Albert Chalamila

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Usichokijua ni kuwa majeshiCCM ni watiifu hata kwa wajumbe wa NEC ya CCM achilia mbali RC.

Kwahivyo hilo agizo litatekelezwa cha msingi watanzania wapiganie katiba mpya kuondokana na hawa washenzi .

Hebu jionee hapo zero brain mwingine wa mkoa huo huo anaangushiwa salute , wataacha kumtii mlevi na mropokaji kama Chalamila?
download (1).jpeg
 
Usichokijua ni kuwa majeshiCCM ni watiifu hata kwa wajumbe wa NEC ya CCM achilia mbali RC.

Kwahivyo hilo agizo litatekelezwa cha msingi watanzania wapiganie katiba mpya kuondokana na hawa washenzi .

Hebu jionee hapo zero brain mwingine wa mkoa huo huo anaangushiwa salute , wataacha kumtii mlevi na mropokaji kama Chalamila?
View attachment 2870937
Hao Polisi wamezoeleka
 
Jeshi la Wananchi wa Tanzania ni Taasisi kubwa sana , si Taasisi inayoweza kutumika Kisiasa kama anavyotaka kufanya RC wa Dar es Salaam , Albert Chalamila , ama Chalamila hajui mipaka ya Cheo Chake au analeta Usanii wake uliozoeleka , Bali ninachokijua ni Kwamba Chalamila ameropoka bila ku consult kiongozi yeyote wa juu .

Jeshi la Wananchi haliwezI kutii maagiizo ya kijinga kutoka kwa kiongozi wa chini kama Mkuu wa Mkoa , linaweza kutii maagizo ya Rais , Waziri wa Ulinzi au Mkuu wa Majeshi , Tuliwahi kumkataza Mkuu mmoja wa Wilaya Humu kuacha kuvaa sare za Jeshi kwenye shughuli zake (Tunashukuru kwamba alituelewa )

Kwahiyo nachukua nafasi hii kumkumbusha ndugu Chalamila kwamba hana mamlaka yoyote yale ya kuliamrisha Jeshi la Wananchi katika jambo lolote lile , kwanza anapaswa kuwajibika kwa kujiuzulu kutokana na dharau kwa JW kwa kulipa kazi ya kusafisha mitaro , hii si kazi ya JW , vinginevyo atueleze hawa Wakandarasi wazoa taka wanaolipwa hela nyingi na Wananchi wapo kwa ajili ya nini .

Natoa wito kwa viongozi wa chini kama hawa Wakuu wa Mikoa kuacha kukwepa hoja za kisiasa na kujificha kwenye majeshi yetu , Huo ni Udhalilishaji , Sisi wananchi hatutakubali .

View attachment 2870893
Kama mkuu wa mkoa ambaye ni mwakilishi wa Rais kawaomba wafanye usafi WATAFANYA kwenye tarehe tajwa.
 
Jeshi la Wananchi wa Tanzania ni Taasisi kubwa sana , si Taasisi inayoweza kutumika Kisiasa kama anavyotaka kufanya RC wa Dar es Salaam , Albert Chalamila , ama Chalamila hajui mipaka ya Cheo Chake au analeta Usanii wake uliozoeleka , Bali ninachokijua ni Kwamba Chalamila ameropoka bila ku consult kiongozi yeyote wa juu .

Jeshi la Wananchi haliwezI kutii maagiizo ya kijinga kutoka kwa kiongozi wa chini kama Mkuu wa Mkoa , linaweza kutii maagizo ya Rais , Waziri wa Ulinzi au Mkuu wa Majeshi , Tuliwahi kumkataza Mkuu mmoja wa Wilaya Humu kuacha kuvaa sare za Jeshi kwenye shughuli zake (Tunashukuru kwamba alituelewa )

Kwahiyo nachukua nafasi hii kumkumbusha ndugu Chalamila kwamba hana mamlaka yoyote yale ya kuliamrisha Jeshi la Wananchi katika jambo lolote lile , kwanza anapaswa kuwajibika kwa kujiuzulu kutokana na dharau kwa JW kwa kulipa kazi ya kusafisha mitaro , hii si kazi ya JW , vinginevyo atueleze hawa Wakandarasi wazoa taka wanaolipwa hela nyingi na Wananchi wapo kwa ajili ya nini .

Natoa wito kwa viongozi wa chini kama hawa Wakuu wa Mikoa kuacha kukwepa hoja za kisiasa na kujificha kwenye majeshi yetu , Huo ni Udhalilishaji , Sisi wananchi hatutakubali .

View attachment 2870893
Hapo umekosea. Mkuu wa Mkoa ndiye mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoani kwake.

Chalamila yuko sawa kuyatumia majeshi kwa kazi hiyo ya usafi. Ingekuwa anakwenda kwenye vita hapo angekuwa amekosea ba naamini hata makamanda wasingempa hata SMG moja wala kuruta mmoja
 
Hapo umekosea. Mkuu wa Mkoa ndiye mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoani kwake.

Chalamila yuko sawa kuyatumia majeshi kwa kazi hiyo ya usafi. Ingekuwa anakwenda kwenye vita hapo angekuwa amekosea ba naamini hata makamanda wasingempa hata SMG moja wala kuruta mmoja
Si kweli
 
Chalamila ni spika tu inayopokea maweimbi ya umeme na kutoa sauti. Jeshi ndio lijitafakari hichi linachifanyiwa ni heshima? Sema nchi ikiwa haina vita wanajeshi wanapokea mishahara ya bure acha wakafagie barabara ccm wamejiongeza.
 
Lazima ujue jeshi liko chini ya wananchi na wanasiasa ndio wawakilishi wa wananchi
 
Mkuu si bure! Huenda RC amepokea Maagizo kutoka kwa Amiri Mkuu wa Majeshi!
Kwahiyo ametangaza kwa niamba ya Rais kuwa Tanzania nzima JW wafanye usafi? Duniani kuna mambo sana yaani Rais aachen kumpatia mkuu wa majeshi maagizo then ampatie RC wa Dar ampatie mkuu wa majeshi?
 
Jeshi la Wananchi wa Tanzania ni Taasisi kubwa sana , si Taasisi inayoweza kutumika Kisiasa kama anavyotaka kufanya RC wa Dar es Salaam , Albert Chalamila , ama Chalamila hajui mipaka ya Cheo Chake au analeta Usanii wake uliozoeleka , Bali ninachokijua ni Kwamba Chalamila ameropoka bila ku consult kiongozi yeyote wa juu .

Jeshi la Wananchi haliwezI kutii maagiizo ya kijinga kutoka kwa kiongozi wa chini kama Mkuu wa Mkoa , linaweza kutii maagizo ya Rais , Waziri wa Ulinzi au Mkuu wa Majeshi , Tuliwahi kumkataza Mkuu mmoja wa Wilaya Humu kuacha kuvaa sare za Jeshi kwenye shughuli zake (Tunashukuru kwamba alituelewa )

Kwahiyo nachukua nafasi hii kumkumbusha ndugu Chalamila kwamba hana mamlaka yoyote yale ya kuliamrisha Jeshi la Wananchi katika jambo lolote lile , kwanza anapaswa kuwajibika kwa kujiuzulu kutokana na dharau kwa JW kwa kulipa kazi ya kusafisha mitaro , hii si kazi ya JW , vinginevyo atueleze hawa Wakandarasi wazoa taka wanaolipwa hela nyingi na Wananchi wapo kwa ajili ya nini .

Natoa wito kwa viongozi wa chini kama hawa Wakuu wa Mikoa kuacha kukwepa hoja za kisiasa na kujificha kwenye majeshi yetu , Huo ni Udhalilishaji , Sisi wananchi hatutakubali .
Jeshi la Wananchi wa Tanzania ni Taasisi kubwa sana , si Taasisi inayoweza kutumika Kisiasa kama anavyotaka kufanya RC wa Dar es Salaam , Albert Chalamila , ama Chalamila hajui mipaka ya Cheo Chake au analeta Usanii wake uliozoeleka , Bali ninachokijua ni Kwamba Chalamila ameropoka bila ku consult kiongozi yeyote wa juu .

Jeshi la Wananchi haliwezI kutii maagiizo ya kijinga kutoka kwa kiongozi wa chini kama Mkuu wa Mkoa , linaweza kutii maagizo ya Rais , Waziri wa Ulinzi au Mkuu wa Majeshi , Tuliwahi kumkataza Mkuu mmoja wa Wilaya Humu kuacha kuvaa sare za Jeshi kwenye shughuli zake (Tunashukuru kwamba alituelewa )

Kwahiyo nachukua nafasi hii kumkumbusha ndugu Chalamila kwamba hana mamlaka yoyote yale ya kuliamrisha Jeshi la Wananchi katika jambo lolote lile , kwanza anapaswa kuwajibika kwa kujiuzulu kutokana na dharau kwa JW kwa kulipa kazi ya kusafisha mitaro , hii si kazi ya JW , vinginevyo atueleze hawa Wakandarasi wazoa taka wanaolipwa hela nyingi na Wananchi wapo kwa ajili ya nini .

Natoa wito kwa viongozi wa chini kama hawa Wakuu wa Mikoa kuacha kukwepa hoja za kisiasa na kujificha kwenye majeshi yetu , Huo ni Udhalilishaji , Sisi wananchi hatutakubali .

View attachment 2870893
Itakuwa ni dharau kubwa sana kwa wanajeshi wetu kuamrishwa na mtu mdogo sana kama RC wakafanye usafi hii ni aibu
 
Kwahiyo ametangaza kwa niamba ya Rais kuwa Tanzania nzima JW wafanye usafi? Duniani kuna mambo sana yaani Rais aachen kumpatia mkuu wa majeshi maagizo then ampatie RC wa Dar ampatie mkuu wa majeshi?
Peleka makende yako barabarani siku hiyo kama unataka kupima uwezo wa Chalamila
 
JWTZ Ina hadhi na heshima kubwa sana nchi hii. Lkn maagizo kama haya ndiyo yanaloshushia hadhi na heshima. Kuna wakati JWTZ waliambiwa wabebe korosho, tukaachwa midomo wazi.

Sasa Chalamila ameamuru JWTZ wakazoe takataka mitaani na kudeki vyoo vya stendi. Hii ni dharau kwa jeshi hili endapo watatii agizo la Chalamila.
 
Peleka makende yako barabarani siku hiyo kama unataka kupima uwezo wa Chalamila
Umenielewa au na wewe kichwa maji? Mimi nimezungumzia chain of command then wewe unaleta mambo ya makende, nikisema wewe ni ndo kende zangu nitakuwa sahihi.
 
Back
Top Bottom