Itakuwa nchi haina wazee kama kuna mtu atanyanyuwa mdomo kumjibu Jaji Warioba

Itakuwa nchi haina wazee kama kuna mtu atanyanyuwa mdomo kumjibu Jaji Warioba

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Nitashanga na nitajiuliza mara kujiuliza kama kuna mwana ccm au mtu yeyote atamjibu Mzee Warioba.

Pili sio kila Mzee ni wakumjibu Jaji Warioba ameona mengi na anonyesha amekuwa kiongozi alie penda haki hata pale wakuu wake walipo fanya maamuzi yalikinzana na taratibu.

Jaji Warioba hatupaswi kumjibu ila tunapaswa kumsikiliza nakufanyia kazi.

Jeshi letu na idara zake hazipaswi kuingizwa kwenye siasa huwo ni ukweli mchungu tena mchungu sana na una madhara makubwa tukiudharau.

Nasisi tiza kumbukeni maneno yayule alie sema mzee anawashwa washwa na mwisho wake.

Jaji Warioba amesema kwa niaba ya wazee na mh Jakaya aliwahi sema "ukitaka nchi itulie sikiliza wazee" vijana tuache mihemko hichi chama hawa wazee wakiamua wanakipindua na mipango yenu yote mtaikuta baharini WAZEE WASIKILIZWE NA KUHESHIMIWE.
 
CPA PEDESHEE AMOS MAKALA aka baba Gadi nahisi kama sio Nchimbi angesha mbwatukia.
Ila CCM watatumia machawa au vibaraka kama Mchungaji Msigwa kujibu.
 
Nitashanga na nitajiuliza mara kujiuliza kama kuna mwana ccm au mtu yeyote atamjibu Mzee Warioba.

Pili sio kila Mzee ni wakumjibu Jaji Warioba ameona mengi na anonyesha amekuwa kiongozi alie penda haki hata pale wakuu wake walipo fanya maamuzi yalikinzana na taratibu.

Jaji Warioba hatupaswi kumjibu ila tunapaswa kumsikiliza nakufanyia kazi.

Jeshi letu na idara zake hazipaswi kuingizwa kwenye siasa huwo ni ukweli mchungu tena mchungu sana na una madhara makubwa tukiudharau.

Nasisi tiza kumbukeni maneno yayule alie sema mzee anawashwa washwa na mwisho wake.

Jaji Warioba amesema kwa niaba ya wazee na mh Jakaya aliwahi sema "ukitaka nchi itulie sikiliza wazee" vijana tuache mihemko hichi chama hawa wazee wakiamua wanakipindua na mipango yenu yote mtaikuta baharini WAZEE WASIKILIZWE NA KUHESHIMIWE.
Kuna mmoja pia amedai kwamba Warioba hajawahi kuwa JaJi na kwamba Kwa nini muda wote huu amekuwa akiwaaminisha watu wamwite Jaji huku akijua kwamba siye? Ikabidi nitafiti kubaini ukweli. Ukweli nilioupata ni huu kwa wale wanaodhani hajawahi kuwa Jaji. Huyo mchangiaji amedai pia hawajawahi kuona hukumu iliyosainiwa na Warioba. Hii claim ya mwisho kwangu ni pointless, kwa sababu kutoona hukumu ya JaJi si ushahidi kwamba mtu si Jaji. Anyway, chanzo changu cha habari kinatoa information hii kuhusu Joseph Sinde Warioba:
1) Attorney General (1976-1983)
2) Minister for Justice (1983-1985)
3) Prime Minister (1985-1990)
4) Judge on the International Tribunal for the Law of the Sea (1996-1999)
5) Judge at the East African Court of Justice (2001-2006).
 
Kuna mmoja pia amedai kwamba Warioba hajawahi kuwa JaJi na kwamba Kwa nini muda wote huu amekuwa akiwaaminisha watu wamwite Jaji huku akijua kwamba siye? Ikabidi nitafiti kubaini ukweli. Ukweli nilioupata ni huu kwa wale wanaodhani hajawahi kuwa Jaji. Huyo mchangiaji amedai pia hawajawahi kuona hukumu iliyosainiwa na Warioba. Hii claim ya mwisho kwangu ni pointless, kwa sababu kutoona hukumu ya JaJi si ushahidi kwamba mtu si Jaji. Anyway, chanzo changu cha habari kinatoa information hii kuhusu Joseph Sinde Warioba:
1) Attorney General (1976-1983)
2) Minister for Justice (1983-1985)
3) Prime Minister (1985-1990)
4) Judge on the International Tribunal for the Law of the Sea (1996-1999)
5) Judge at the East African Court of Justice (2001-2006).
Hao wanaobisha , almost wote hawana cv nzito kama ya huyo mzee. Ni kikund fulani chenye vijana wenye njaa
 
Huyu mzee ndiye alitunga katiba ya sasa inayolitesa taifa, na pia alitunga sheria za kuweka watu kizuizini enzi akiwa Mwanasheria Mkuu wa serikali
 
Nitashanga na nitajiuliza mara kujiuliza kama kuna mwana ccm au mtu yeyote atamjibu Mzee Warioba.

Pili sio kila Mzee ni wakumjibu Jaji Warioba ameona mengi na anonyesha amekuwa kiongozi alie penda haki hata pale wakuu wake walipo fanya maamuzi yalikinzana na taratibu.

Jaji Warioba hatupaswi kumjibu ila tunapaswa kumsikiliza nakufanyia kazi.

Jeshi letu na idara zake hazipaswi kuingizwa kwenye siasa huwo ni ukweli mchungu tena mchungu sana na una madhara makubwa tukiudharau.

Nasisi tiza kumbukeni maneno yayule alie sema mzee anawashwa washwa na mwisho wake.

Jaji Warioba amesema kwa niaba ya wazee na mh Jakaya aliwahi sema "ukitaka nchi itulie sikiliza wazee" vijana tuache mihemko hichi chama hawa wazee wakiamua wanakipindua na mipango yenu yote mtaikuta baharini WAZEE WASIKILIZWE NA KUHESHIMIWE.
TumainiEl leo siku ya 4 tangu uweke Thread hii na umepotea haupo online, vipi upo salama?
Wasiojulikana hawajapita na wewe?
 
Nitashanga na nitajiuliza mara kujiuliza kama kuna mwana ccm au mtu yeyote atamjibu Mzee Warioba.

Pili sio kila Mzee ni wakumjibu Jaji Warioba ameona mengi na anonyesha amekuwa kiongozi alie penda haki hata pale wakuu wake walipo fanya maamuzi yalikinzana na taratibu.

Jaji Warioba hatupaswi kumjibu ila tunapaswa kumsikiliza nakufanyia kazi.

Jeshi letu na idara zake hazipaswi kuingizwa kwenye siasa huwo ni ukweli mchungu tena mchungu sana na una madhara makubwa tukiudharau.

Nasisi tiza kumbukeni maneno yayule alie sema mzee anawashwa washwa na mwisho wake.

Jaji Warioba amesema kwa niaba ya wazee na mh Jakaya aliwahi sema "ukitaka nchi itulie sikiliza wazee" vijana tuache mihemko hichi chama hawa wazee wakiamua wanakipindua na mipango yenu yote mtaikuta baharini WAZEE WASIKILIZWE NA KUHESHIMIWE.
TumainiEl leo siku ya 4 tangu uweke Thread hii na umepotea haupo online, vipi upo salama?
Wasiojulikana hawajapita na wewe?
 
Back
Top Bottom