Mnyiramba
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,141
- 3,119
Binafsi nitafurahi Simba SC tukimsajili Saidi Ntibazonkiza!, wakikaa pale na chama tunakuwa na namba 10 wawili hatari!, hata siku chama amekosekana no problem!
Wachezaji hawa pia wakiondoka simba nitafurahi sana maana ni mizigo hawana mchango kwenye timu
1: Gadiel Michael (ameshindwa kabisa ku challenge Mohamed hussen)
2: Erasto Nyoni sijui anafanya nini pale msimbazi hadi sasa!
3: Victor Akpan uwezo wake bado hataisaidia Simba kwa vyovyote!
4: Nelson Okwa pesa pale imepotea tu bure hana maajabu ni mzigo tu!
5: Kibu Denis mwamba ana nguvu kweli kweli ila akili kisoda [emoji276]
Hao ndio wachezaji 5 ningependa kuona wanatupisha pale msimbazi ili waje watu wa kuisaidia timu
Wachezaji hawa pia wakiondoka simba nitafurahi sana maana ni mizigo hawana mchango kwenye timu
1: Gadiel Michael (ameshindwa kabisa ku challenge Mohamed hussen)
2: Erasto Nyoni sijui anafanya nini pale msimbazi hadi sasa!
3: Victor Akpan uwezo wake bado hataisaidia Simba kwa vyovyote!
4: Nelson Okwa pesa pale imepotea tu bure hana maajabu ni mzigo tu!
5: Kibu Denis mwamba ana nguvu kweli kweli ila akili kisoda [emoji276]
Hao ndio wachezaji 5 ningependa kuona wanatupisha pale msimbazi ili waje watu wa kuisaidia timu