Ile gorofa yako moja umefikia wapi
Nimrikuta moja inajengwa mahali huku mkalama nikakukumbukaView attachment 2437603
Sasa mbona wameshaanza tayari kumrithisha mikoba! Mfano kwenye mechi iliyopita waliyocheza pale kwa Mkapa, huyo Gadiel Michael alitumwa na Wazee kwenda kukagua uwanja kabla ya mchezo wao Ligi kuu! [emoji2]
mimi binafsi napendekeza wa ndani wasajiliwe wacheza hawa[emoji117]Kichuya,Duchu,Lusajo,Mudathir Yahya.
wachezaji wa nje[emoji117]Lobi Manzoki au namba tisa yeyote mwenye uwezo wa kufunga kila anapopata nafasi,Kiungo mkabaji(half back six),Center half Narthan Idumba au beki mwingine mzuri wa kati.beki wa kushoto wa kumsaidia Tshabalala.
Wakuachwa wa kwanza baba maguvu Kibu,Nyoni,Momo,Akpan.
wakuwatoa kwa mkopo Gadiel,Boco,Mkude.
Okwa abaki akipona majeraha atakiwasha vizuri tu
Mnapanga usajili wa maana utadhani mna hela ya kusajili, hujui kuwa Kanjibai kaishajitoa kuhudumia timumimi binafsi napendekeza wa ndani wasajiliwe wacheza hawa[emoji117]Kichuya,Duchu,Lusajo,Mudathir Yahya.
wachezaji wa nje[emoji117]Lobi Manzoki au namba tisa yeyote mwenye uwezo wa kufunga kila anapopata nafasi,Kiungo mkabaji(half back six),Center half Narthan Idumba au beki mwingine mzuri wa kati.beki wa kushoto wa kumsaidia Tshabalala.
Wakuachwa wa kwanza baba maguvu Kibu,Nyoni,Momo,Akpan.
wakuwatoa kwa mkopo Gadiel,Boco,Mkude.
Okwa abaki akipona majeraha atakiwasha vizuri tu
πππMimi naona timu ipo vizuri tu. Hivyo hakuna sababu ya kusajili wachezaji wengine. Mfano Gadiel Michael tumeanza kumsogeza taratibu kwenye benchi la ufundi! Naamini miaka ijayo atatusaidia sana kwenye hicho kitengo.
Gadiel amesogezwa kwenye benchi la uchawi tu.Mimi naona timu ipo vizuri tu. Hivyo hakuna sababu ya kusajili wachezaji wengine. Mfano Gadiel Michael tumeanza kumsogeza taratibu kwenye benchi la ufundi! Naamini miaka ijayo atatusaidia sana kwenye hicho kitengo.