Itakuwa sahihi CHADEMA kushiriki mazungumzo na Rais Samia huku Mwenyekiti wake akiwa ndani kwa kesi ya kubambikiziwa?

Mazungumzo yasito jikitankwenye Katiba Mpya na Tumr huru ya Uchaguzi ni mazungumzo Fake.
 
Hahahaa Vyama vinginr ni Raba stamp ya Mtungi
 
Mataga mwenye stress zake🤣🤣
 
Mkuu, tusisahau kuwa kuna vyama vya "upinzani" ambavyo mgombea wao wa Urais alikuwa ni wa CCM. Vyama kama hivyo unategemea kweli vitadai Katiba Mpya au vitaweza kuona mapungufu ya serikali iliyopo?

Amandla...
Ili mkutano wao ukubalike ndani na nje ya nchi, ni lazima watatoa mwaliko kwa CHADEMA na hapo ndipo CHADEMA watatakiwa kupima kwa makini maamuzi yao ya ama kukubali au kuukataa huo mwaliko.
 
Negotiate while advancing
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…