Itakuwa vigumu sana kupata tena kocha wa kuifunga Simba goli 5

Itakuwa vigumu sana kupata tena kocha wa kuifunga Simba goli 5

Muite

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
2,971
Reaction score
6,607
Miaka kadhaa takwimu zinaonyesha kuwa Simba imekuwa ikiinyanyasa sana Yanga kwa kuifunga idadi kubwa ya magoli hadi goli tano.

Yanga ilikuwa ikishinda unakuta ni kagoli kamoja tu au viwili. Yanga ikampata Gamondi aliyekuja na kufanikiwa kuifunga Simba goli tano(5).

Nadhani kikosi kazi cha Simba kimekaa chini na kufanikisha clandestine Operation ya kumuondoa Gamondi na katika hili tayari wamefanikiwa pakubwa bila yanga kujua. kwenye masuala ya ujasusi simba wapo juu sana kuliko yanga.

Nadhani itachukuwa miaka 30 Yanga kuifunga tena Simba goli tano
 
Miaka kadhaa takwimu zinaonyesha kuwa Simba imekuwa ikiinyanyasa sana Yanga kwa kuifunga idadi kubwa ya magoli hadi goli tano. Yanga ilikuwa ikishinda unakuta ni kagoli kamoja tu au viwili. Yanga ikampata Gamondi aliyekuja na kufanikiwa kuifunga Simba goli tano(5).
Nadhani kikosi kazi cha Simba kimekaa chini na kufanikisha clandestine Operation ya kumuondoa Gamondi na katika hili TAYARI WAMEFANIKIWA PAKUBWA BILA YANGA KUJUA. KWENYE MASUALA YA UJASUSI SIMBA WAPO JUU SANA KULIKO YANGA.

Nadhani itachukuwa miaka 30 Yanga kuifunga tena Simba goli tano
Lakini mpira unadunda mkuu, hata Man U baada ya Alex kuondoka imefunga goli nyingi tu. Tuachane na ubingwa.
 
Sababu nyingine na ya msingi ni yeye Gamond kukataa viongozi wasinunue mechi na madawa/sindano za kusisimua misuli ya wachezaji hasa pale timu inaposhambuliwa kwa sababu kocha alikataa hayo yote kwa sababu yanadhoofisha vipaji vya wachezaji
 
Sababu nyingine na ya msingi ni yeye Gamond kukataa viongozi wasinunue mechi na madawa/sindano za kusisimua misuli ya wachezaji hasa pale timu inaposhambuliwa kwa sababu kocha alikataa hayo yote kwa sababu yanadhoofisha vipaji vya wachezaji
Hebu acha utoto na wewe kila post unapaste huu ujinga
 
Miaka kadhaa takwimu zinaonyesha kuwa Simba imekuwa ikiinyanyasa sana Yanga kwa kuifunga idadi kubwa ya magoli hadi goli tano. Yanga ilikuwa ikishinda unakuta ni kagoli kamoja tu au viwili. Yanga ikampata Gamondi aliyekuja na kufanikiwa kuifunga Simba goli tano(5).
Nadhani kikosi kazi cha Simba kimekaa chini na kufanikisha clandestine Operation ya kumuondoa Gamondi na katika hili TAYARI WAMEFANIKIWA PAKUBWA BILA YANGA KUJUA. KWENYE MASUALA YA UJASUSI SIMBA WAPO JUU SANA KULIKO YANGA.

Nadhani itachukuwa miaka 30 Yanga kuifunga tena Simba goli tano
Uzuri simba ni wanapenda furaha za muda mfupi
Mzunguko wa pili tutakutana ndiyo tutakapowashenyeta tena ndiyo mtajua
 
Zile tano zenyewe aliyomfunga Simba ni maduka waliopewa pesa wapo sita plus refa..yanga haina uwezo wa kuifunga timu namba 1 Tanzania,Afrika mashariki na kati
Tuache visingizio vya kilugulu. Wewe elewa tu kuwa zile 5 tayari zipo kwenye maktaba za duniani kote. Na katika hizo kumbukumbu zinaonyesha Uwanja, Mwaka, Mwezi , Masaa, dakika za kila goli na wafungaji. Hazionyeshi hayo yenu mnayoyaongea. Hayo yenu mnayoyaongea ni MAPEPO ndani ya vichwa vyenu.
Baada ya kufungwa mfululizo na Yanga hakika Simba wameumia sana na wanachokifanya ni kuendesha propaganda za KIZANDIKI .
 
Uzuri simba ni wanapenda furaha za muda mfupi
Mzunguko wa pili tutakutana ndiyo tutakapowashenyeta tena ndiyo mtajua
Sema nini, viongozi wetu tuwaambie ukweli.
Uongozi wa Yanga umefanya kosa kumfukuza Gamond katikati ya mashindano na kumleta SEAD RAMOVIC.
Huko TS Galaxy anakotoka kaiacha timu ipo nafasi ya pili toka mkiani. Ina pointi 2 tu baada ya mechi 6.
 
WEWE HUJUI MPIRA KABISA AISEE.

YANGA ILISUKWA NA NABI NA IKASUKIKA.

GAMONDI ALIKUWA ANATEMBEA NA COPY YA NABI NA NYONGEZA YA WACHEZAJI KAMA PAKOME, MAX, NA YAO TUMU IKAWA BORA MNO.

GAMONDI NI KOCHA WA KAWAIDA MNO
 
Kama unaamini kuwa huyo kocha ndio alisababisha Yanga kushinda 5 , nakusikitikia mno mkuu.
 
Zile tano zenyewe aliyomfunga Simba ni maduka waliopewa pesa wapo sita plus refa..yanga haina uwezo wa kuifunga timu namba 1 Tanzania,Afrika mashariki na kati
Gamondi aliifanya Simba kama demu wake, leo atapiga kifo cha mende, kesho mbuzi kagoma, keshokutwa popo kanyea mbingu.
 
Back
Top Bottom