Uchaguzi 2020 Itakuwaje kama Lissu akashinda Urais bila kupata Wabunge wa kutosha?

Anao uwezo wa kuitisha uchaguzi mpya wa wabunge , hapo ndio kifo cha mende
 

Jibu liko wazi na alishatamka mwenyewe.
Akishinda maana yake majimbo yote ambayo CCM wamepita bila kupingwa uchaguzi unarudiwa. Hapo lazima akina Nape wakajikojolee. Pili, hayo majimbo unayodhani CCM watashinda wabunge wengi, kama walishinda kwa kuiba kura lazima ngoma iende mahakamani, kuna watu watavuliwa ubunge.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…